Kutana na muuza maji ya madumu anayetengeneza pesa nyingi kwa mwezi zaidi ya mtu mwenye shahada

Kutana na muuza maji ya madumu anayetengeneza pesa nyingi kwa mwezi zaidi ya mtu mwenye shahada

Zina kataa vipi? shida zenu nyie mentality zenu ni za Kazi tu na viashara ni either saloon, Min super market. Mimu kuna mama mmoja ni kama ndugu ana somesha watoto wawili chuo kikuu mmoja ushirika na mwingine Tumaini Mama anauza Mihogo na Samki tu.

Nafurahi sana ninavyo kutana na coment za aina hii safi sana

Sent using Jamii Forums mobile app
eti kwa kuuza samaki na mihogo. Kalagabaho, karibu mjini hapa.
 
Shubamit!! Mkokoteni mmoja madumu 50?? Huo ni mkokoteni au mkokotwenty??
Alafu kumlinganisha na mtu mwenyewe degree ndy umeona umefanya mlinganisho sahihi kabisa au ww kwa uelewa wako unadhani mtu wa degree ndy anajua kila kitu na anatakiwa kulinganishwa na mtu yoyote???
Acha uboya!! Alafu mwanaume mzima unakaa unajumlisha mapato ya mwanaume mwenzio huo ni ujinga na ww pambana ufikie malengo yako sio kukaa na kumlishia wenzio tu.
Pambana na hali yako kama anaingiza pesa zaidi yako na ww jifunze kutumia fursa acha story za kwenye kahawa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Pambana na hali yako??


Hebu ona mwanamume mzima unatumia misemo iliyoanzishwa na wanaume wenzio badala ya kuanzisha yako
 
Hiyo ela sio take home,since anakula na kunywa then unatangaza kupata 750,000? Kwani haumwi?? Sio tu yeye Bali familia yake?
Kwani hata kama wewe unachukua take home ya milioni moja kwa kazi yako ya ofisini, huitumii?

Hapa sijazungumzia matumizi, bali Nimezungumzia mapato. Hata uwe unaingiza mshahara mkubwa vipi, huo mshahara utautumia kwa kula na matumizi mengine mengi
 
Punguza munkari let's go slowly like the fkng night.
1. Hao unaodai wanalipwa laki 3 wanafanya Kazi saa ngapi - saa ngapi?
Per day anapata elfu 25,let me ask you...mkokoteni ukiharibika anautengeneza kwa gharama zipi?
Toa gharama za kujaza hayo madumu,plus kujaza upepo. Plus yeye Kazi yake ni very tough than them.
Mkuu, pampu anayo yake mwenyewe.

Maji anachota bure pale usalama magomeni

Masuala ya pancha anaziba mwenyewe. Na ikitokea kuna ulazima wa kupeleka kwa fundi, mkokoteni hauna gharama kubwa
 
Ishu sio kula wala hiyo laki saba.
Ishu ni kuonesha kuwa jamaa ana kiwanja mbezi na ujenzi umeanza, wakati hesabu zinakataa. Kama ana mishe nyingine muongezee vinginevyo utabaki peke yako kutetea hoja.
Hesabu zinakataa kivip mkuu?

We unampigia hesabu ya daladala na bodaboda akati hapandi gari wala pikipiki, mwezi mzima yupo magomeni
 
Zina kataa vipi? shida zenu nyie mentality zenu ni za Kazi tu na viashara ni either saloon, Min super market. Mimu kuna mama mmoja ni kama ndugu ana somesha watoto wawili chuo kikuu mmoja ushirika na mwingine Tumaini Mama anauza Mihogo na Samki tu.

Nafurahi sana ninavyo kutana na coment za aina hii safi sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Wengi wanajitahidi kujipiga upofu kwa kupinga hili.

Na wengi hao ni hao hao wa degree wanapoona mtu wa namna hii anapiga hela huku wao wanasota kitaa
 
Wasikubishie mininae kaka hiyo ndo kazi yake anauza maji Kama huyo Ana madumu 50 kwenye mkokoteni Kwanza asubuhi ile saa kumu anaenda kuchota maji anazungungusaha kwa waliompa tenda saa tano anarudia anauza jioni saa kumi anafata ya kulaza ambae atahitaji kwajioni anakuja anampelekea na kwasiku anaingiza elandefu Sana kwasasa anasomesha watoto wanne mmoja yuko form six wawili wakike wako form three mmoja wakiume yuko darasa la nne wote wako private isipokua huyo wa form six na siku hizi amenunua punda ndo wanasukuma huo mkoko teni pi kaajili vijana ndo wanapiga kazi kuna wakufata maji kunawakati kila mteja anapohitaji naanaseama yeye kuajiliwa labda mshahara uanzie milioni tano kwa mwezi na ameshafungua duka kwa kazi yake hiyohiyo nawateja wake nimchanganyiko wanachuo na raia kwahiyo ulicho kisaema ni sahihi kabisa wanaokubeza hao niwale wanategemea mama au baba

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaobisha wengi ni wale wa degree wanaozidiwa kipato na huyu bwana
 
Sasa hivi wana hali ngumu.

Nimepita juzi pale sinza mori, nimekutana nayo pembeni ya Bigbon wakanivuta wanahitaji niwape hata buku tu.

Na mm ninavyojua ku bargain, nikamwambia nina jero, akasema poa, akaniingiza Kichumba chake, nikapata goli moja kwa jero nikaondoka zangu mwepesi
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]

My own brand!!
 
Salaam wakuu,

Siku chache tu zilizopita, nilihamisha makazi yangu kutoka Sinza na kuhamia Magomeni Makanya.

Hapa pana shida ya maji sana. Sasa kuna kijana mmoja wa Kisukuma almaharufu kwa jina la Ngosha, anauza maji ya madumu kwa ajili ya matumizi. dumu moja anauza shilingi 500.

Ana jumla ya madumu 50. Huamka asubuhi na mapema sana majira ya saa kumi. Huyafuata maji na mkokoteni wake hadi majira ya saa moja, anakua amejaza madumu yote 50 na kuyaleta Makanya kuyauza.

Ikifika mida ya saa nane mchana, hua anakua ameuza madumu karibu 40, hivyo anafuata madumu mengine kama 20 hivi kwa ajili ya kuuza jioni. Anauza maji hadi saa tano usiku. Kuna wakati ikifika mida ya saa tatu usiku, anakuwa amemaliza maji na anakwenda kupumzika.

Nilimuuliza siku biashara ikiwa mbaya, anakuwa ameuza madumu mangapi, akaniambia 50. Sasa tuchukue hii minimum tuifanye ndo kwa kila siku, kwa mwezi inakuwa ni pesa nyingi zaidi ya hata mtu anayelipwa mshahara wa degree.

Chukua 50x500= 25,000. Alafu chukua 25000x30=750,000. Kwahiyo huyo kijana anapata shilingi laki saba na nusu kwa mwezi ambayo hata hatozwi kodi. Hiyo ni take home.

Huyu kijana maisha yake ni mazuri, ana mke na watoto wawili. Amekodi vyumba vitatu kwa ajili ya kuishi yeye na familia yake. Mtoto wake wa kwanza yupo darasa la kwanza.

Asubuhi anapata breakfast nzito ambayo ni chapati mbili, maharage bakuli moja, supu ya utumbo bakuli moja, soda moja ya pepsi na maji ya masafi lita moja. Hiyo ni asubuhi tu. Jioni lazima apate bia mbili pia.

Kwa sasa amenunua kiwanja huko Mbezi na anajenga nyumba yenye rumu nne.
Huyu kijana hata mimi mshahara wangu ni mdogo zaidi ya anachoingiza.
kweli kusoma siyo kupata pesa mingi na kufanikiwa.

Wakati huo huo mimi ninawaza hapa napata wapi hela ya kodi mwezi ujao landlord ameanza kukumbusha.

Ngoja nipate chai ya Tangawizi +asali +mdalasini.. Then narudi.
kwahiyo huko anakokwenda kuchukuwa maji anachota bure?
kila mtu anafanya kazi kutokana na hadhi yake huwezi kuwa na degree halafu ukafanye kazi ya utwana kama hiyo tatizo si kupata pesa tatizo ni kupata pesa katika njia gani?
 
Yeye anauza 500, hununua bei gani?? Mbona kuna vitu vingine kama hujaviweka, ikiwemo changamoto
 
Hizo hesabu zako hazijazingatia mambo yafuatayo:
1.Yeye ananunua ndoo moja shilingi ngapi huko anakoenda kuchota?
Tuchukulie ananunua ndoo moja 200.
Ukichukua 200*50=10,000 kwa siku, 300,000 kwa mwezi. Kwahiyo toa 300,000 kutoka kwenye ile 750,000. Inabaki 450,000

2. Bili ya msosi na bia uliyoweka ni sawa na 9,000 kwa siku. Kwa mwezi ni 270,000. Ukitoa inabaki 180,000

3.Vyumba alivyopanga vitatu, kodi tuchukulie 60,000 kwa mwezi. Ukitoa inabaki 120,000

4.Nauli ya mtoto kwenda shule na hela ya kula, tuweke 1,000 kwa siku, 30,000 kwa mwezi. Hapo inabaki 90,000

5.Vocha, weka 500 kwa siku. 15,000 kwa mwezi. Inabaki 75,000

6.Mkaa, Mafuta taa, Gesi weka 2,000 kwa siku, 60,000 kwa mwezi. Inabaki 15,000

7. Matengenezo ya dumu likitoboka au baiskeli ikiharibika weka 5000 kwa mwezi. Inabaki 10,000

8.Weka ya saloon yeye na wife 5000 kwa mwezi. Inabaki 5000

9.Nauli nauli za bodaboda na daladala, weka 5000 kwa mwezi. Inabaki 0.

10. Huyo jamaa kakuona wewe mbumbumbu akakujaza ujinga na wewe ukaubeba bila kuhoji, hana kiwanja mbezi wala mfano wake
Haahahahahaja mkuu I salute you!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom