Kutana na muuza maji ya madumu anayetengeneza pesa nyingi kwa mwezi zaidi ya mtu mwenye shahada

Kutana na muuza maji ya madumu anayetengeneza pesa nyingi kwa mwezi zaidi ya mtu mwenye shahada

Hata akiamua kua na nyumba ndogo anaweza na atahudumia vzur tu coz mke wake hana udhibiti wa income ya mme kama wale wa mishahara
 
Hunijui kwa hiyo achana na mimi. Ninachomwambia namaanisha. Mimi nilithubutu kuacha kazi.
Sasa unataka kila mtu akuige kwa kuacha kazi na sasa unasota na hali mbaya mtaani naye asote km ww?
 
Sasa unataka kila mtu akuige kwa kuacha kazi na sasa unasota na hali mbaya mtaani naye asote km ww?
Mi nasota? Hahaha bro pesa ninayoipata kwa week 4 au siku 20 za kazi yangu ni zaidi ya mara 4 ya mshahara niliokuwa nalipwa kwa mwezi.
 
Asubuhi anapata breakfast nzito ambayo ni chapati mbili, maharage bakuli moja, supu ya utumbo bakuli moja, soda moja ya pepsi na maji ya masafi lita moja. Hiyo ni asubuhi tu. Jioni lazima apate bia mbili pia.

Ngoja nipate chai ya Tangawizi +asali +mdalasini.. Then narudi.
Maharage na supu vyote kwa pamoja?

Stori za kipuuzi jukwaa lake si ni chit chat jamani?
 
Hahahaaaaaaa unanichekesha Sana kumbe ulikuwa hujui kusoma ni kutoa upumbavu kichwani na si kutoa umaskini
 
Wewe K nini? Namaanisha Kilaza....siko hapa kushindana na mtu. Mind your business.
[HASHTAG]#ForNoReason[/HASHTAG]
Pole sana mkuu, siku ukipata kibarua kipya, usiache kabla hujajua utafanya nn kwa kitaa...

Stress zakumaliza maskini ya rabi eee
 
Wewe jamaa hiyo kazi kuanzia saa 10 alfajiri hadi saa 3 usiku si Ni kifo hicho??
Then unapata 750,000!!
Bora huyo mwenye degree anayepewa take home ya 500,000
ni kweli kabisa
na akiomba mkopo wa myumba km yupo CRDB au mifuko ya jamii (NSSF, LAPF nk) hakosi milioni 300 na gari 2 atanunua na haijulikani marejesho atayaweza, sasa mtu unatmia misuli kusukuma kitoroli cha baiskeli dumu 10 tripu 5 masaa 15 eti chapati maharage na maji safi hayo anayouza kumbe machafu
 
Salaam wakuu,

Siku chache tu zilizopita, nilihamisha makazi yangu kutoka Sinza na kuhamia Magomeni Makanya.

Hapa pana shida ya maji sana. Sasa kuna kijana mmoja wa Kisukuma almaharufu kwa jina la Ngosha, anauza maji ya madumu kwa ajili ya matumizi. dumu moja anauza shilingi 500.

Ana jumla ya madumu 50. Huamka asubuhi na mapema sana majira ya saa kumi. Huyafuata maji na mkokoteni wake hadi majira ya saa moja, anakua amejaza madumu yote 50 na kuyaleta Makanya kuyauza.

Ikifika mida ya saa nane mchana, hua anakua ameuza madumu karibu 40, hivyo anafuata madumu mengine kama 20 hivi kwa ajili ya kuuza jioni. Anauza maji hadi saa tano usiku. Kuna wakati ikifika mida ya saa tatu usiku, anakuwa amemaliza maji na anakwenda kupumzika.

Nilimuuliza siku biashara ikiwa mbaya, anakuwa ameuza madumu mangapi, akaniambia 50. Sasa tuchukue hii minimum tuifanye ndo kwa kila siku, kwa mwezi inakuwa ni pesa nyingi zaidi ya hata mtu anayelipwa mshahara wa degree.

Chukua 50x500= 25,000. Alafu chukua 25000x30=750,000. Kwahiyo huyo kijana anapata shilingi laki saba na nusu kwa mwezi ambayo hata hatozwi kodi. Hiyo ni take home.

Huyu kijana maisha yake ni mazuri, ana mke na watoto wawili. Amekodi vyumba vitatu kwa ajili ya kuishi yeye na familia yake. Mtoto wake wa kwanza yupo darasa la kwanza.

Asubuhi anapata breakfast nzito ambayo ni chapati mbili, maharage bakuli moja, supu ya utumbo bakuli moja, soda moja ya pepsi na maji ya masafi lita moja. Hiyo ni asubuhi tu. Jioni lazima apate bia mbili pia.

Kwa sasa amenunua kiwanja huko Mbezi na anajenga nyumba yenye rumu nne.
Huyu kijana hata mimi mshahara wangu ni mdogo zaidi ya anachoingiza.
kweli kusoma siyo kupata pesa mingi na kufanikiwa.

Wakati huo huo mimi ninawaza hapa napata wapi hela ya kodi mwezi ujao landlord ameanza kukumbusha.

Ngoja nipate chai ya Tangawizi +asali +mdalasin
















Daaaaaa.. noma sana
 
Salaam wakuu,

Siku chache tu zilizopita, nilihamisha makazi yangu kutoka Sinza na kuhamia Magomeni Makanya.

Hapa pana shida ya maji sana. Sasa kuna kijana mmoja wa Kisukuma almaharufu kwa jina la Ngosha, anauza maji ya madumu kwa ajili ya matumizi. dumu moja anauza shilingi 500.

Ana jumla ya madumu 50. Huamka asubuhi na mapema sana majira ya saa kumi. Huyafuata maji na mkokoteni wake hadi majira ya saa moja, anakua amejaza madumu yote 50 na kuyaleta Makanya kuyauza.

Ikifika mida ya saa nane mchana, hua anakua ameuza madumu karibu 40, hivyo anafuata madumu mengine kama 20 hivi kwa ajili ya kuuza jioni. Anauza maji hadi saa tano usiku. Kuna wakati ikifika mida ya saa tatu usiku, anakuwa amemaliza maji na anakwenda kupumzika.

Nilimuuliza siku biashara ikiwa mbaya, anakuwa ameuza madumu mangapi, akaniambia 50. Sasa tuchukue hii minimum tuifanye ndo kwa kila siku, kwa mwezi inakuwa ni pesa nyingi zaidi ya hata mtu anayelipwa mshahara wa degree.

Chukua 50x500= 25,000. Alafu chukua 25000x30=750,000. Kwahiyo huyo kijana anapata shilingi laki saba na nusu kwa mwezi ambayo hata hatozwi kodi. Hiyo ni take home.

Huyu kijana maisha yake ni mazuri, ana mke na watoto wawili. Amekodi vyumba vitatu kwa ajili ya kuishi yeye na familia yake. Mtoto wake wa kwanza yupo darasa la kwanza.

Asubuhi anapata breakfast nzito ambayo ni chapati mbili, maharage bakuli moja, supu ya utumbo bakuli moja, soda moja ya pepsi na maji ya masafi lita moja. Hiyo ni asubuhi tu. Jioni lazima apate bia mbili pia.

Kwa sasa amenunua kiwanja huko Mbezi na anajenga nyumba yenye rumu nne.
Huyu kijana hata mimi mshahara wangu ni mdogo zaidi ya anachoingiza.
kweli kusoma siyo kupata pesa mingi na kufanikiwa.

Wakati huo huo mimi ninawaza hapa napata wapi hela ya kodi mwezi ujao landlord ameanza kukumbusha.

Ngoja nipate chai ya Tangawizi +asali +mdalasini.. Then narudi.
Ndg, biashara zina kanuni zake, hapa hitaji distance ya kutoka mahali anapo uzia mani na huko anakoyachota, lakini pia huko anakoyachota husemi kama anapewa au anauziwa, na kama ana uziwa dumu ananunu sh. Ngapi? Zaidi ya yote huzungumzii gharama za uendeshaji, kama vile mkokoneni na ununuzi wa madumu n.k

Ni sawa na ndg yako kijijini akiambiwa unalipwa 500,000 anakupigia hesabu ya mwaka, hajui unakula,unalipa,usafiri n.k
 
Ndg, biashara zina kanuni zake, hapa hutaji distance ya kutoka mahali anapo uzia maji na huko anakoyachota, lakini pia huko anakoyachota husemi kama anapewa au anauziwa, na kama ana uziwa dumu ananunu sh. Ngapi? Zaidi ya yote huzungumzii gharama za uendeshaji, kama vile mkokoteni na ununuzi wa madumu n.k

Ni sawa na ndg yako kijijini akiambiwa mshahara unalipwa 500,000 anakupigia hesabu ya mwaka, hajui unakula,unalipa kod,usafiri n.k
 
1508987243977.jpg
 
Salaam wakuu,

Siku chache tu zilizopita, nilihamisha makazi yangu kutoka Sinza na kuhamia Magomeni Makanya.

Hapa pana shida ya maji sana. Sasa kuna kijana mmoja wa Kisukuma almaharufu kwa jina la Ngosha, anauza maji ya madumu kwa ajili ya matumizi. dumu moja anauza shilingi 500.

Ana jumla ya madumu 50. Huamka asubuhi na mapema sana majira ya saa kumi. Huyafuata maji na mkokoteni wake hadi majira ya saa moja, anakua amejaza madumu yote 50 na kuyaleta Makanya kuyauza.

Ikifika mida ya saa nane mchana, hua anakua ameuza madumu karibu 40, hivyo anafuata madumu mengine kama 20 hivi kwa ajili ya kuuza jioni. Anauza maji hadi saa tano usiku. Kuna wakati ikifika mida ya saa tatu usiku, anakuwa amemaliza maji na anakwenda kupumzika.

Nilimuuliza siku biashara ikiwa mbaya, anakuwa ameuza madumu mangapi, akaniambia 50. Sasa tuchukue hii minimum tuifanye ndo kwa kila siku, kwa mwezi inakuwa ni pesa nyingi zaidi ya hata mtu anayelipwa mshahara wa degree.

Chukua 50x500= 25,000. Alafu chukua 25000x30=750,000. Kwahiyo huyo kijana anapata shilingi laki saba na nusu kwa mwezi ambayo hata hatozwi kodi. Hiyo ni take home.

Huyu kijana maisha yake ni mazuri, ana mke na watoto wawili. Amekodi vyumba vitatu kwa ajili ya kuishi yeye na familia yake. Mtoto wake wa kwanza yupo darasa la kwanza.

Asubuhi anapata breakfast nzito ambayo ni chapati mbili, maharage bakuli moja, supu ya utumbo bakuli moja, soda moja ya pepsi na maji ya masafi lita moja. Hiyo ni asubuhi tu. Jioni lazima apate bia mbili pia.

Kwa sasa amenunua kiwanja huko Mbezi na anajenga nyumba yenye rumu nne.
Huyu kijana hata mimi mshahara wangu ni mdogo zaidi ya anachoingiza.
kweli kusoma siyo kupata pesa mingi na kufanikiwa.

Wakati huo huo mimi ninawaza hapa napata wapi hela ya kodi mwezi ujao landlord ameanza kukumbusha.

Ngoja nipate chai ya Tangawizi +asali +mdalasini.. Then narudi.
Nikuone akili yako ilivyopungufu hilo dumu anapewa free of charge..! Haya njoo huo mkokoteni hautaji services anafanya kazi bila supu ya 2000 na chapati....! Why upige hesabu kileiman hivyo..[emoji12]
 
Na wewe kwanini utoke SINZA uhamie MAGOMENI MAKANYA...??? Mbn kama unapiga rivasi mkuu..??

Wenzako wanaimprove kwa kutoka Makanya kwenda Sinza.
 
Ulichokisahau mkuu, ni ulinganifu wa muda wa kazi + nguvu zinazotumika in relation to amount of money inapatikana kwa mwezi.

Plus, jamaa akiugua hatoingiza kiasi cha pesa za madumu 50 kwa kipindi chote anaumwa...

Pia hata wenye diploma wana masurufu ya vikao na safari, so anaweza enda katika kikao cha siku 5 akatoka na zaidi ya 600,000/=, hafu hapo mshahara haujajumuishwa... Then unacompare na muuza maji!

Anza upya mkuu, mafikirio yako bado hayana mashiko sana...

Anyway, wewe una level gani ya elimu? Degree?
Nina mashaka nawe[emoji1]
 
Back
Top Bottom