Sukari Yenu
JF-Expert Member
- Dec 8, 2014
- 1,698
- 1,257
Hunijui kwa hiyo achana na mimi. Ninachomwambia namaanisha. Mimi nilithubutu kuacha kazi.Haha... Km muuza maji anakuzidi kipato mkuu usikasirike
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hunijui kwa hiyo achana na mimi. Ninachomwambia namaanisha. Mimi nilithubutu kuacha kazi.Haha... Km muuza maji anakuzidi kipato mkuu usikasirike
Sasa unataka kila mtu akuige kwa kuacha kazi na sasa unasota na hali mbaya mtaani naye asote km ww?Hunijui kwa hiyo achana na mimi. Ninachomwambia namaanisha. Mimi nilithubutu kuacha kazi.
Mi nasota? Hahaha bro pesa ninayoipata kwa week 4 au siku 20 za kazi yangu ni zaidi ya mara 4 ya mshahara niliokuwa nalipwa kwa mwezi.Sasa unataka kila mtu akuige kwa kuacha kazi na sasa unasota na hali mbaya mtaani naye asote km ww?
Mi sio mwehu niache kazi wakati sina sina ramani ya income.Sasa unataka kila mtu akuige kwa kuacha kazi na sasa unasota na hali mbaya mtaani naye asote km ww?
Wacha longo longo. Weka financial statements hapaMi nasota? Hahaha bro pesa ninayoipata kwa week 4 au siku 20 za kazi yangu ni zaidi ya mara 4 ya mshahara niliokuwa nalipwa kwa mwezi.
Maharage na supu vyote kwa pamoja?Asubuhi anapata breakfast nzito ambayo ni chapati mbili, maharage bakuli moja, supu ya utumbo bakuli moja, soda moja ya pepsi na maji ya masafi lita moja. Hiyo ni asubuhi tu. Jioni lazima apate bia mbili pia.
Ngoja nipate chai ya Tangawizi +asali +mdalasini.. Then narudi.
Wewe K nini? Namaanisha Kilaza....siko hapa kushindana na mtu. Mind your business.Wacha longo longo. Weka financial statements hapa
Mkuu naona hiyo avatar yako nawe no shabiki wa Dakar rally.
Pole sana mkuu, siku ukipata kibarua kipya, usiache kabla hujajua utafanya nn kwa kitaa...Wewe K nini? Namaanisha Kilaza....siko hapa kushindana na mtu. Mind your business.
[HASHTAG]#ForNoReason[/HASHTAG]
ni kweli kabisaWewe jamaa hiyo kazi kuanzia saa 10 alfajiri hadi saa 3 usiku si Ni kifo hicho??
Then unapata 750,000!!
Bora huyo mwenye degree anayepewa take home ya 500,000
Salaam wakuu,
Siku chache tu zilizopita, nilihamisha makazi yangu kutoka Sinza na kuhamia Magomeni Makanya.
Hapa pana shida ya maji sana. Sasa kuna kijana mmoja wa Kisukuma almaharufu kwa jina la Ngosha, anauza maji ya madumu kwa ajili ya matumizi. dumu moja anauza shilingi 500.
Ana jumla ya madumu 50. Huamka asubuhi na mapema sana majira ya saa kumi. Huyafuata maji na mkokoteni wake hadi majira ya saa moja, anakua amejaza madumu yote 50 na kuyaleta Makanya kuyauza.
Ikifika mida ya saa nane mchana, hua anakua ameuza madumu karibu 40, hivyo anafuata madumu mengine kama 20 hivi kwa ajili ya kuuza jioni. Anauza maji hadi saa tano usiku. Kuna wakati ikifika mida ya saa tatu usiku, anakuwa amemaliza maji na anakwenda kupumzika.
Nilimuuliza siku biashara ikiwa mbaya, anakuwa ameuza madumu mangapi, akaniambia 50. Sasa tuchukue hii minimum tuifanye ndo kwa kila siku, kwa mwezi inakuwa ni pesa nyingi zaidi ya hata mtu anayelipwa mshahara wa degree.
Chukua 50x500= 25,000. Alafu chukua 25000x30=750,000. Kwahiyo huyo kijana anapata shilingi laki saba na nusu kwa mwezi ambayo hata hatozwi kodi. Hiyo ni take home.
Huyu kijana maisha yake ni mazuri, ana mke na watoto wawili. Amekodi vyumba vitatu kwa ajili ya kuishi yeye na familia yake. Mtoto wake wa kwanza yupo darasa la kwanza.
Asubuhi anapata breakfast nzito ambayo ni chapati mbili, maharage bakuli moja, supu ya utumbo bakuli moja, soda moja ya pepsi na maji ya masafi lita moja. Hiyo ni asubuhi tu. Jioni lazima apate bia mbili pia.
Kwa sasa amenunua kiwanja huko Mbezi na anajenga nyumba yenye rumu nne.
Huyu kijana hata mimi mshahara wangu ni mdogo zaidi ya anachoingiza.
kweli kusoma siyo kupata pesa mingi na kufanikiwa.
Wakati huo huo mimi ninawaza hapa napata wapi hela ya kodi mwezi ujao landlord ameanza kukumbusha.
Ngoja nipate chai ya Tangawizi +asali +mdalasin
Daaaaaa.. noma sana
Ndg, biashara zina kanuni zake, hapa hitaji distance ya kutoka mahali anapo uzia mani na huko anakoyachota, lakini pia huko anakoyachota husemi kama anapewa au anauziwa, na kama ana uziwa dumu ananunu sh. Ngapi? Zaidi ya yote huzungumzii gharama za uendeshaji, kama vile mkokoneni na ununuzi wa madumu n.kSalaam wakuu,
Siku chache tu zilizopita, nilihamisha makazi yangu kutoka Sinza na kuhamia Magomeni Makanya.
Hapa pana shida ya maji sana. Sasa kuna kijana mmoja wa Kisukuma almaharufu kwa jina la Ngosha, anauza maji ya madumu kwa ajili ya matumizi. dumu moja anauza shilingi 500.
Ana jumla ya madumu 50. Huamka asubuhi na mapema sana majira ya saa kumi. Huyafuata maji na mkokoteni wake hadi majira ya saa moja, anakua amejaza madumu yote 50 na kuyaleta Makanya kuyauza.
Ikifika mida ya saa nane mchana, hua anakua ameuza madumu karibu 40, hivyo anafuata madumu mengine kama 20 hivi kwa ajili ya kuuza jioni. Anauza maji hadi saa tano usiku. Kuna wakati ikifika mida ya saa tatu usiku, anakuwa amemaliza maji na anakwenda kupumzika.
Nilimuuliza siku biashara ikiwa mbaya, anakuwa ameuza madumu mangapi, akaniambia 50. Sasa tuchukue hii minimum tuifanye ndo kwa kila siku, kwa mwezi inakuwa ni pesa nyingi zaidi ya hata mtu anayelipwa mshahara wa degree.
Chukua 50x500= 25,000. Alafu chukua 25000x30=750,000. Kwahiyo huyo kijana anapata shilingi laki saba na nusu kwa mwezi ambayo hata hatozwi kodi. Hiyo ni take home.
Huyu kijana maisha yake ni mazuri, ana mke na watoto wawili. Amekodi vyumba vitatu kwa ajili ya kuishi yeye na familia yake. Mtoto wake wa kwanza yupo darasa la kwanza.
Asubuhi anapata breakfast nzito ambayo ni chapati mbili, maharage bakuli moja, supu ya utumbo bakuli moja, soda moja ya pepsi na maji ya masafi lita moja. Hiyo ni asubuhi tu. Jioni lazima apate bia mbili pia.
Kwa sasa amenunua kiwanja huko Mbezi na anajenga nyumba yenye rumu nne.
Huyu kijana hata mimi mshahara wangu ni mdogo zaidi ya anachoingiza.
kweli kusoma siyo kupata pesa mingi na kufanikiwa.
Wakati huo huo mimi ninawaza hapa napata wapi hela ya kodi mwezi ujao landlord ameanza kukumbusha.
Ngoja nipate chai ya Tangawizi +asali +mdalasini.. Then narudi.
Ndg, biashara zina kanuni zake, hapa hutaji distance ya kutoka mahali anapo uzia maji na huko anakoyachota, lakini pia huko anakoyachota husemi kama anapewa au anauziwa, na kama ana uziwa dumu ananunu sh. Ngapi? Zaidi ya yote huzungumzii gharama za uendeshaji, kama vile mkokoteni na ununuzi wa madumu n.k
Ni sawa na ndg yako kijijini akiambiwa mshahara unalipwa 500,000 anakupigia hesabu ya mwaka, hajui unakula,unalipa kod,usafiri n.k
Maana ya hii kitu ni nini mkuu
Nikuone akili yako ilivyopungufu hilo dumu anapewa free of charge..! Haya njoo huo mkokoteni hautaji services anafanya kazi bila supu ya 2000 na chapati....! Why upige hesabu kileiman hivyo..[emoji12]Salaam wakuu,
Siku chache tu zilizopita, nilihamisha makazi yangu kutoka Sinza na kuhamia Magomeni Makanya.
Hapa pana shida ya maji sana. Sasa kuna kijana mmoja wa Kisukuma almaharufu kwa jina la Ngosha, anauza maji ya madumu kwa ajili ya matumizi. dumu moja anauza shilingi 500.
Ana jumla ya madumu 50. Huamka asubuhi na mapema sana majira ya saa kumi. Huyafuata maji na mkokoteni wake hadi majira ya saa moja, anakua amejaza madumu yote 50 na kuyaleta Makanya kuyauza.
Ikifika mida ya saa nane mchana, hua anakua ameuza madumu karibu 40, hivyo anafuata madumu mengine kama 20 hivi kwa ajili ya kuuza jioni. Anauza maji hadi saa tano usiku. Kuna wakati ikifika mida ya saa tatu usiku, anakuwa amemaliza maji na anakwenda kupumzika.
Nilimuuliza siku biashara ikiwa mbaya, anakuwa ameuza madumu mangapi, akaniambia 50. Sasa tuchukue hii minimum tuifanye ndo kwa kila siku, kwa mwezi inakuwa ni pesa nyingi zaidi ya hata mtu anayelipwa mshahara wa degree.
Chukua 50x500= 25,000. Alafu chukua 25000x30=750,000. Kwahiyo huyo kijana anapata shilingi laki saba na nusu kwa mwezi ambayo hata hatozwi kodi. Hiyo ni take home.
Huyu kijana maisha yake ni mazuri, ana mke na watoto wawili. Amekodi vyumba vitatu kwa ajili ya kuishi yeye na familia yake. Mtoto wake wa kwanza yupo darasa la kwanza.
Asubuhi anapata breakfast nzito ambayo ni chapati mbili, maharage bakuli moja, supu ya utumbo bakuli moja, soda moja ya pepsi na maji ya masafi lita moja. Hiyo ni asubuhi tu. Jioni lazima apate bia mbili pia.
Kwa sasa amenunua kiwanja huko Mbezi na anajenga nyumba yenye rumu nne.
Huyu kijana hata mimi mshahara wangu ni mdogo zaidi ya anachoingiza.
kweli kusoma siyo kupata pesa mingi na kufanikiwa.
Wakati huo huo mimi ninawaza hapa napata wapi hela ya kodi mwezi ujao landlord ameanza kukumbusha.
Ngoja nipate chai ya Tangawizi +asali +mdalasini.. Then narudi.