Kutana na nyumba zinazohamishika zinazotengenezwa nchini Tanzania

Kutana na nyumba zinazohamishika zinazotengenezwa nchini Tanzania

KING MIDAS

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2010
Posts
8,589
Reaction score
16,936
Mfanyabishara wa mbao anayefahamika kwa jina la Peter Stephano mkazi wa Maji ya chai wilaya ya Arumeru mkoani Arusha, ameanzisha kiwanda kidogo cha kutengeneza nyumba za kisasa zinazoweza kuhamishwa kwa madai ya kutaka kuendana na maendeleo dunia ya sasa.

Peter akizungumza na GADI TV wilayani humo, amesema wazo hilo amelipata kwa mwanae wa kike baada ya kupita zaidi miaka 20 akiwa anafanya biashara ya kuuza mbao pamoja fanicha mbalimbali.

Aidha, Laura Peter ambaye ni mtoto wa mfanyabishara huyo, amesema wazo hilo aliwasilisha kwa baba yake kwa lengo la kuweka kumbukumbu lakini kwasasa wazo hilo limepanuka na kuwa wazo la kibishara kutokana na watu mbalimbali kuvutiwa zaidi na kuonyesha nia kuhitaji kutengenezewa nyumba za mfumo huo.

Hata hivyo, Laura amesema kwakuzingatia ubora wa nyumba hizo wanatumia mbao zenye ubora wa hali ya juu, na miongoni mwa nyumba hizo zitafungwa tairi ili kurahisisha uhamaji wake.


View: https://www.facebook.com/share/v/19mZ8rks12/
 
Mfanyabishara wa mbao anayefahamika kwa jina la Peter Stephano mkazi wa Maji ya chai wilaya ya Arumeru mkoani Arusha, ameanzisha kiwanda kidogo cha kutengeneza nyumba za kisasa zinazoweza kuhamishwa kwa madai ya kutaka kuendana na maendeleo dunia ya sasa.

Peter akizungumza na GADI TV wilayani humo, amesema wazo hilo amelipata kwa mwanae wa kike baada ya kupita zaidi miaka 20 akiwa anafanya biashara ya kuuza mbao pamoja fanicha mbalimbali.

Aidha, Laura Peter ambaye ni mtoto wa mfanyabishara huyo, amesema wazo hilo aliwasilisha kwa baba yake kwa lengo la kuweka kumbukumbu lakini kwasasa wazo hilo limepanuka na kuwa wazo la kibishara kutokana na watu mbalimbali kuvutiwa zaidi na kuonyesha nia kuhitaji kutengenezewa nyumba za mfumo huo.

Hata hivyo, Laura amesema kwakuzingatia ubora wa nyumba hizo wanatumia mbao zenye ubora wa hali ya juu, na miongoni mwa nyumba hizo zitafungwa tairi ili kurahisisha uhamaji wake.


View: https://www.facebook.com/share/v/19mZ8rks12/

Ukiwa mbunifu mjini haulali njaa, wala hutopita mabarabarani kuomba mikate, na wala kudanga haitokiwa sehemu ya maisha yako
 
Mfanyabishara wa mbao anayefahamika kwa jina la Peter Stephano mkazi wa Maji ya chai wilaya ya Arumeru mkoani Arusha, ameanzisha kiwanda kidogo cha kutengeneza nyumba za kisasa zinazoweza kuhamishwa kwa madai ya kutaka kuendana na maendeleo dunia ya sasa.

Peter akizungumza na GADI TV wilayani humo, amesema wazo hilo amelipata kwa mwanae wa kike baada ya kupita zaidi miaka 20 akiwa anafanya biashara ya kuuza mbao pamoja fanicha mbalimbali.

Aidha, Laura Peter ambaye ni mtoto wa mfanyabishara huyo, amesema wazo hilo aliwasilisha kwa baba yake kwa lengo la kuweka kumbukumbu lakini kwasasa wazo hilo limepanuka na kuwa wazo la kibishara kutokana na watu mbalimbali kuvutiwa zaidi na kuonyesha nia kuhitaji kutengenezewa nyumba za mfumo huo.

Hata hivyo, Laura amesema kwakuzingatia ubora wa nyumba hizo wanatumia mbao zenye ubora wa hali ya juu, na miongoni mwa nyumba hizo zitafungwa tairi ili kurahisisha uhamaji wake.


View: https://www.facebook.com/share/v/19mZ8rks12/

Safi sana
KOngole kwa Laura na big up kwa baba
 
Namshauri mbao ziwe decoration ya ndani na nje atafute materials imara eg. Bati
 
Wanawake wana ubunifu ila mfumo dume unawakwamisha
Women are Emotional, wao wako vizuri kwenye kazi zinazohusu watu like Secretary, Assistant, Nursing, Hotel maid, Councelling, Child care etc

Men are Logical, Ukizungumzia ubunifu, Kila kazi ya ubuni hapa duniani ni Man made [Ndege, Train za umeme, Majengo, Madaraja, Mifumo ya fedha, Magari, Nuclear plants etc] n.k


Sasa lazima nishangae ninapoona mwanamke wa mtindo huu, She is so smart, confident and Logic.
 
Women are Emotional, wao wako vizuri kwenye kazi zinazohusu watu like Secretary, Assistant, Nursing, Hotel maid, Councelling, Child care etc

Men are Logical, Ukizungumzia ubunifu, Kila kazi ya ubuni hapa duniani ni Man made [Ndege, Train za umeme, Majengo, Madaraja, Mifumo ya fedha, Magari, Nuclear plants etc] n.k


Sasa lazima nishangae ninapoona mwanamke wa mtindo huu, She is so smart, confident and Logic.
She is peculiar
 
Women are Emotional, wao wako vizuri kwenye kazi zinazohusu watu like Secretary, Assistant, Nursing, Hotel maid, Councelling, Child care etc

Men are Logical, Ukizungumzia ubunifu, Kila kazi ya ubuni hapa duniani ni Man made [Ndege, Train za umeme, Majengo, Madaraja, Mifumo ya fedha, Magari, Nuclear plants etc] n.k


Sasa lazima nishangae ninapoona mwanamke wa mtindo huu, She is so smart, confident and Logic.
Nafikiri alimuona baba yake akiwa na kipato kidogo ndio akapata wazo la kutengeneza nyumba za mbao
Kuhusu ubunifu wanawake pia wana mchango mkubwa sana kwenye technology na wanajulikana wengi, na sio kuwa hawamo kabisa kwenye ubunifu
 
Back
Top Bottom