Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Usiwavunje moyoWazo zuri kabisa,kimbunga sasa🥴
Unazungushia ukuta bwana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usiwavunje moyoWazo zuri kabisa,kimbunga sasa🥴
🤣🤣🤣 Hapana siwavunji moyo mkuu..ni wazo tu...ukuta wa mbao?Usiwavunje moyo
Unazungushia ukuta bwana
Tena 😄 sio bajeti sasa hiyo🤣🤣🤣 Hapana siwavunji moyo mkuu..ni wazo tu...ukuta wa mbao?
🤣🤣🤣 We jamaa, naona unataka kuwaponzaTena 😄 sio bajeti sasa hiyo
Wakichoma moto 😄
Ila kweli moto adui mkubwa wa mjengo huo yaani urafiki na fire extinguisher ni muhimuTena 😄 sio bajeti sasa hiyo
Wakichoma moto 😄
Zamani watu walikuwa wanaweka decoration mbao kwenye cilling na floor TNG mbao mninga kwa sasa huo mziki labda uwe vzr kifedhaaNamshauri mbao ziwe decoration ya ndani na nje atafute materials imara eg. Bati
Sasa wanawake wengine kuanzia asubuhi mpk usiku anamsikiliza zuchu umbea sjui lokole nk hawezi kuwa nanakili hyoNafikiri alimuona baba yake akiwa na kipato kidogo ndio akapata wazo la kutengeneza nyumba za mbao
Kuhusu ubunifu wanawake pia wana mchango mkubwa sana kwenye technology na wanajulikana wengi, na sio kuwa hawamo kabisa kwenye ubunifu
Marekani na Japan kwenye nyumba nyingi ni za mbao mbona🤣🤣🤣 Hapana siwavunji moyo mkuu..ni wazo tu...ukuta wa mbao?
Za kupaa kama hizo tunazoshauriwa mkuu?Marekani na Japan kwenye nyumba nyingi ni za mbao mbona
Ova
Mi sijazikubali, sasa gharama za material ya kilinda mbao, mbao zenyewe si bora ujenge tofali!nyumba ni nzuri sana lakini ni hatari sana ukiwa na maadui wenye visasi na ww au mnaochukiana..maana wakimwaga mafuta ya taa anakuwasha humo ukiwa umelala ndani na hio nyumba ndio kuni hizo.. bora kwa nje na ndani waweke material isiyoshika moto kirahisi yaani mbao katikati.!
Wa kwetu mkuu zaidi ya kututafuna hata idea hawana kabisaSasa wanawake wengine kuanzia asubuhi mpk usiku anamsikiliza zuchu umbea sjui lokole nk hawezi kuwa nanakili hyo
Ova
Usinipangie😎Namshauri mbao ziwe decoration ya ndani na nje atafute materials imara eg. Bati
Akiwa kwa wazazi wake ndio ila akija kwako atakutesa hadi ufeKumbe kuna watoto wa kike wana akili namna hii? Karne hii?
Marekani na Japan kwenye nyumba nyingi ni za mbao mbona
Ova
[/QUOTE
Ni kweli
Kwenye mitandao kutwa kushindana kuonesha na kutingisha makalio tuWa kwetu mkuu zaidi ya kututafuna hata idea hawana kabisa
Wengi wao sio kubuni tu hata kujituma hawataki
ExceptionalShe is peculiar