Kutana na nyumba zinazohamishika zinazotengenezwa nchini Tanzania

Kutana na nyumba zinazohamishika zinazotengenezwa nchini Tanzania

Kwenye mitandao kutwa kushindana kuonesha na kutingisha makalio tu

Ova
Inasikitisha sana
Ukiangalia wanawake majirani zetu hata UG au Kenya utaona wanajikita kwenye mifugo na mengine ila wa kwetu ni laana tu na kutwa kuomba tu
Vijana wa hovyo na mademu kadhalika
Ni aibu sana halafu hawajui kuwa uchafu wao utabaki hadi wanazeeka na kufa
 
Nice idea Mbona marekan nyumba zao nyingi za mbao
 
Mafunzo yanatolewa na chuo GANI?
Maarifa yapo, ukiwa mchokonozi utayapata hata mitandaoni humu.

Mfano hapa nimetumia chat GTP; 👇

1. Heshimu Akili na Maoni Yake

Thamini fikra zake na mchango wake katika mazungumzo au maamuzi. Usihisi kutishiwa; badala yake, chukulia akili zake kama nguvu ya kuboresha uhusiano wenu.


2. Jifunze Kutoka Kwake

Mwanamke mwenye akili anaweza kuwa chanzo cha maarifa na motisha. Sikiliza kwa makini na uwe tayari kujifunza kutoka kwa uzoefu na maoni yake.


3. Wasiliana kwa Kina

Mwanamke mwenye akili anapenda mazungumzo yenye maana. Jadilini masuala makubwa ya maisha, mipango, au hata mada za kijamii na kiuchumi.


4. Kua Sambamba Naye

Hakikisha unajitahidi pia kukuza akili na ujuzi wako. Mwanamke mwenye akili ataheshimu juhudi zako za kujiboresha.


5. Heshimu Uhuru Wake wa Kufikiri

Acha afanye maamuzi bila kuhisi kushinikizwa au kudhibitiwa. Uhuru wa mawazo ni jambo muhimu kwake.


6. Usishindane Naye

Mahusiano si ushindani wa nani ana akili zaidi. Badala yake, fanyeni kazi kama timu, mkikamilishana kwa nguvu zenu.


7. Tambua Juhudi Zake

Mwanamke mwenye akili nyingi mara nyingi hufanya kazi kwa bidii kufanikisha malengo yake. Shukuru na kupongeza kazi yake bila kusita.


8. Kuwa Na Uhakika wa Nafasi Yako

Usiruhusu mafanikio au maarifa yake yakufanye uhisi duni. Kuwa thabiti na mwenye kujiamini, huku ukimpa msaada wa kihisia na kivitendo.


9. Kuwa Mwenye Msaada wa Vitendo

Saidia katika maeneo ambayo anaweza kuwa na changamoto, hata kama si mara zote atahitaji msaada.


Kuishi na mwanamke mwenye akili nyingi kunahitaji heshima ya pande zote, mawasiliano mazuri, na ushirikiano wa kweli.
 
Hii niliiona mda sasa
Kwa kweli ni nyumba nzuri kwa sehemu za joto
Kama mbao zitahimili miaka kadhaa sio mbaya
Ubunifu mzuri ila kwa vibaka sijui itakuwaje
Labda tupangane wengi kiusalama zaidi
humo kwenye wengi ndo navibaka wapo humohumo!
 
humo kwenye wengi ndo navibaka wapo humohumo!
Mnaishi familia 20 tu na ngome yenu 😄
Kuna wamarekani waliamua kujitenga na vurugu za watu
Wakaenda mbali na mji wakajenga nyumba zao hakuna vibaka wala nini
Yaani wamejenga mji wao tu kwa kujichagua
Ngoja na mimi nitafute watu tukaanze maisha ya pekee sehemu au unaonaje
 
Mnaishi familia 20 tu na ngome yenu 😄
Kuna wamarekani waliamua kujitenga na vurugu za watu
Wakaenda mbali na mji wakajenga nyumba zao hakuna vibaka wala nini
Yaani wamejenga mji wao tu kwa kujichagua
Ngoja na mimi nitafute watu tukaanze maisha ya pekee sehemu au unaonaje
tutawafata!
 
Shida sio nyumba ya kuhamishika shida ni bei ya iyo nyumba ni nafuu na watu wanaweza imudu kununua?
 
Mfanyabishara wa mbao anayefahamika kwa jina la Peter Stephano mkazi wa Maji ya chai wilaya ya Arumeru mkoani Arusha, ameanzisha kiwanda kidogo cha kutengeneza nyumba za kisasa zinazoweza kuhamishwa kwa madai ya kutaka kuendana na maendeleo dunia ya sasa.

Peter akizungumza na GADI TV wilayani humo, amesema wazo hilo amelipata kwa mwanae wa kike baada ya kupita zaidi miaka 20 akiwa anafanya biashara ya kuuza mbao pamoja fanicha mbalimbali.

Aidha, Laura Peter ambaye ni mtoto wa mfanyabishara huyo, amesema wazo hilo aliwasilisha kwa baba yake kwa lengo la kuweka kumbukumbu lakini kwasasa wazo hilo limepanuka na kuwa wazo la kibishara kutokana na watu mbalimbali kuvutiwa zaidi na kuonyesha nia kuhitaji kutengenezewa nyumba za mfumo huo.

Hata hivyo, Laura amesema kwakuzingatia ubora wa nyumba hizo wanatumia mbao zenye ubora wa hali ya juu, na miongoni mwa nyumba hizo zitafungwa tairi ili kurahisisha uhamaji wake.


View: https://www.facebook.com/share/v/19mZ8rks12/

Always kutoka kaskazini💪🏿💪🏿💪🏿
 
Aidha, Laura Peter ambaye ni mtoto wa mfanyabishara huyo, amesema wazo hilo aliwasilisha kwa baba yake kwa lengo la kuweka kumbukumbu lakini kwasasa wazo hilo limepanuka na kuwa wazo la kibishara kutokana na watu mbalimbali kuvutiwa zaidi na kuonyesha nia kuhitaji kutengenezewa nyumba za mfumo huo.
Kuna jitu litajitokeza na kusema lilimpa binti wazo
 
Maarifa yapo, ukiwa mchokonozi utayapata hata mitandaoni humu.

Mfano hapa nimetumia chat GTP; 👇

1. Heshimu Akili na Maoni Yake

Thamini fikra zake na mchango wake katika mazungumzo au maamuzi. Usihisi kutishiwa; badala yake, chukulia akili zake kama nguvu ya kuboresha uhusiano wenu.


2. Jifunze Kutoka Kwake

Mwanamke mwenye akili anaweza kuwa chanzo cha maarifa na motisha. Sikiliza kwa makini na uwe tayari kujifunza kutoka kwa uzoefu na maoni yake.


3. Wasiliana kwa Kina

Mwanamke mwenye akili anapenda mazungumzo yenye maana. Jadilini masuala makubwa ya maisha, mipango, au hata mada za kijamii na kiuchumi.


4. Kua Sambamba Naye

Hakikisha unajitahidi pia kukuza akili na ujuzi wako. Mwanamke mwenye akili ataheshimu juhudi zako za kujiboresha.


5. Heshimu Uhuru Wake wa Kufikiri

Acha afanye maamuzi bila kuhisi kushinikizwa au kudhibitiwa. Uhuru wa mawazo ni jambo muhimu kwake.


6. Usishindane Naye

Mahusiano si ushindani wa nani ana akili zaidi. Badala yake, fanyeni kazi kama timu, mkikamilishana kwa nguvu zenu.


7. Tambua Juhudi Zake

Mwanamke mwenye akili nyingi mara nyingi hufanya kazi kwa bidii kufanikisha malengo yake. Shukuru na kupongeza kazi yake bila kusita.


8. Kuwa Na Uhakika wa Nafasi Yako

Usiruhusu mafanikio au maarifa yake yakufanye uhisi duni. Kuwa thabiti na mwenye kujiamini, huku ukimpa msaada wa kihisia na kivitendo.


9. Kuwa Mwenye Msaada wa Vitendo

Saidia katika maeneo ambayo anaweza kuwa na changamoto, hata kama si mara zote atahitaji msaada.


Kuishi na mwanamke mwenye akili nyingi kunahitaji heshima ya pande zote, mawasiliano mazuri, na ushirikiano wa kweli.
Safi sana
 
Back
Top Bottom