Kutana na Raphael Tenthani - mtangazaji mchafu zaidi duniani

Kutana na Raphael Tenthani - mtangazaji mchafu zaidi duniani

Alikuwa vizuri sana kwenye kazi yake, hapo chini ni tunzo (awards) alizopata wakati wa uhai wake.
  • Best Columnist, MISA Malawi Awards - 2012, for Daily Times
  • UN Media Award 2010, for Associated Press Millennium Development Goals (MDG) correspondence
  • Nyasatimes human Rights and Democracy Award, 2010
 
Raphael Tenthani inasemekana kuwa ndiye mtangazaji mchafu zaidi kutokea duniani



Raphael mara zote utakazo kutana nae huwezi ukamkuta nadhifu , mara kwa mara utamkuta amevaa nguo zilizo chakaa na muda mwingine nguo zenye matobo au viraka



Raphael ingawa ni mwandishi wa habari katika shirika la habari la BBC nchini malawi lakini kwenye suala la usafi yeye limemkalia kushoto sana ,wakati mwingine unaweza ukakutana nae nywele hajachana, viatu vimeachama , mdomo unanuka na mara kwa mara anakuwa katika hali ya ulevi





Raphael amekuwa gumzo sana katika mitandao ya kijamii huku wengi wakimuhisi huenda anafanya hivyo ili asivunje masharti ya mganga



Ni kawaida kumuona Raphael akirusha habari akiwa mchafu bila kujali mahali husika alipo kuwepo.







View attachment 398186





View attachment 398188
Kwenye kutochana nywele walikuwa wanamsingizia. Picha namba mbili anaonekana anakipara sasa anachana nywele zipi?? Kwasiku za leo angekuwa kama dr shika, bilionea anayetembea kwa mguu toka mwenge hadi mbagala
 
Back
Top Bottom