Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ikla pia inaonekana kila siku hulla kesho yake, means late hours usiku wa manane... sura utadhani amepokea kipondo cha Dr. Ulimboka, anaonekana mlevi chakari
kwa uvaaji huu lazima ana performance ya ukweli la sivyo angekuwa bench kitambo
Haha.Huyu havai hata pichu, ya nini kama sio anasa? Mwili mmoja unavaa nguo karibia nne peke yako wakati kuna watu hawana hata moja.
Hahaha kwa kweli aiseNi shida!hata wakulima vijijini wakienda sokoni wanavaa vizuri,huyu kapitiliza
Kwenye kutochana nywele walikuwa wanamsingizia. Picha namba mbili anaonekana anakipara sasa anachana nywele zipi?? Kwasiku za leo angekuwa kama dr shika, bilionea anayetembea kwa mguu toka mwenge hadi mbagalaRaphael Tenthani inasemekana kuwa ndiye mtangazaji mchafu zaidi kutokea duniani
Raphael mara zote utakazo kutana nae huwezi ukamkuta nadhifu , mara kwa mara utamkuta amevaa nguo zilizo chakaa na muda mwingine nguo zenye matobo au viraka
Raphael ingawa ni mwandishi wa habari katika shirika la habari la BBC nchini malawi lakini kwenye suala la usafi yeye limemkalia kushoto sana ,wakati mwingine unaweza ukakutana nae nywele hajachana, viatu vimeachama , mdomo unanuka na mara kwa mara anakuwa katika hali ya ulevi
Raphael amekuwa gumzo sana katika mitandao ya kijamii huku wengi wakimuhisi huenda anafanya hivyo ili asivunje masharti ya mganga
Ni kawaida kumuona Raphael akirusha habari akiwa mchafu bila kujali mahali husika alipo kuwepo.
View attachment 398186
View attachment 398188
Huyu Rweyemamu sio alikuwa DC enzi za JK!? Alikuwa mreeefu mwembamba hivi. RIP mwandishi
kweli mkuu wat matters most ni performance ya mtuthey mainly focus on the degree of performance, not otherwise