Kutana na Raphael Tenthani - mtangazaji mchafu zaidi duniani

Kutana na Raphael Tenthani - mtangazaji mchafu zaidi duniani

Hata mimi huwa nawapata sana mkuu.....ila huyu kazidi kidogo.
ni ugumu, watu kama hawa mi nawaelewa sana[/QUOTE]
Hata mimi huwa nawapata sana mkuu.....ila huyu kazidi kidogo.
 
yan angekuwa bongo ungesikia et sio mtangazaji ni............ wa nchi
 
Hata mimi huwa nawapata sana mkuu.....ila huyu kazidi kidogo.
ni ugumu, watu kama hawa mi nawaelewa sana
Hata mimi huwa nawapata sana mkuu.....ila huyu kazidi kidogo.[/QUOTE]
pale kwenye red carpet ndio kaua yani
 
Hizi kiki nyingine balaa! huyu anaweza kumhoji mtu km obama
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji3] *****
 
Bongoland ukivaa hivyo tayari umekosa kazi hata kama CV yako imesimama..!!
 
Ananikumbusha mwandishi mmoja ambae sasa hivi ni marehemu.. Alikuwa anaitwa Mnenge Suluja.. Alikuwa so rough na alikuwa anapiga sana ile konyagi pori (gongo).. But alikuwa vizuri sana upstairs..
...si kweli!.marehemu mzee Mnenge hakupata kuwa "so rough!";achilia mbali kwa kiasi hiki cha huyo Mmalawi!
..WaPePe!
 
Back
Top Bottom