Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 752
- Thread starter
-
- #141
Ameisha tengeneza jina mujini ni seleburiti.......
yaani nimecheka mpaka nimeliaaa...haaa
Upupu!!!!!!!!!!!!!!!! Ze u.t.a.m.u
Ndugu zangu wanaJF napenda kuwafaamisha ya kwamba najiondoa kwenye Kijiji chetu hiki kwenda kutafuta maisha mapya huko Mjini.Nimeamua kujiondoa kutokana na kile ambacho kwa upande wangu nimeona kama ni kunyimwa haki yangu ya msingi hapa kwenye hiki kijiji cha JF.nimekulia hapa mmenisomesha nyote kwa njia tofauti hivyo basi nimejionea kwakuwa tayari nina elimu mliyonipatia sina budi kwenda kujitafutia maisha sehemu nyingine.Natoa sana shukran zangu kwenu kwa kipindichote tulichokuwa pamoja nilipata ushirikiano mzuri toka kwenu.Mungu hawabariki sana na pia na kiombea Kijiji hiki Amani na Upendo daima!
Ni mimi ndugu yenu
Carthbert C Lyimo
ndugu yangu, huku hata ukiachia ushuzi tu kwenye daladala na clouds wakakujua basi wewe ni celeb... ila sijui ni wanachanganya celebrity na cerebral disease? maana wote wanaojiita ma-celeb ni ma-cerebral tu![/QUOTE
LOLZ!
Hahahahah kwenye list ya Mseminary Amatus nadhani aliwekwa
Duuu watu wengine vituko!
Asa weye unasaka nini hukuWastaafu wa ze uta...m utawajua tu kwa kushabikia udaku na ujinga ujinga.....
wakati mwenzio alipata more than a hug kwa Etoo!!! ( Mimi sijasema)_
Ni bora angejitoma wakati mechi inachezwa kama huyu jamaa japo aambulie hug...
Wastaafu wa ze uta...m utawajua tu kwa kushabikia udaku na ujinga ujinga.....
Asa weye unasaka nini huku
Mkuu si ulijitoa humu JF? Mbona hilo haulijibu?
ni nani huyu dada,mwanamziki au?.
Richard Mabala mwandishi wa makala ya Kona Makengeza katika Gazeti la mwananchi Jumapili angeweza kumwita hivi, '' MJASILIAMWILI'Mjasiliamali
mjasiliamali mboni anazidi kupendeza!
Mjasiliamali