Kutana na Selebu Mboni

Kutana na Selebu Mboni

attachment.php


Ni bora angejitoma wakati mechi inachezwa kama huyu jamaa japo aambulie hug...
 

Attachments

  • BRAZILCHIZI.jpg
    BRAZILCHIZI.jpg
    19.3 KB · Views: 640
Da bonge la eataimu..
Nadhani Wa-seminary wengine watahitaji kumfahamu zaidi
 
Nafikiri safari hii huyu dada aliambulia patupu, sidhani kama alipata hata nafasi ya kushikana mkono na mchezaji yeyote wa Brasil.

Au makuwadi wake waliweka dau kubwa????
 
Upupu!!!!!!!!!!!!!!!! Ze u.t.a.m.u
Ndugu zangu wanaJF napenda kuwafaamisha ya kwamba najiondoa kwenye Kijiji chetu hiki kwenda kutafuta maisha mapya huko Mjini.Nimeamua kujiondoa kutokana na kile ambacho kwa upande wangu nimeona kama ni kunyimwa haki yangu ya msingi hapa kwenye hiki kijiji cha JF.nimekulia hapa mmenisomesha nyote kwa njia tofauti hivyo basi nimejionea kwakuwa tayari nina elimu mliyonipatia sina budi kwenda kujitafutia maisha sehemu nyingine.Natoa sana shukran zangu kwenu kwa kipindichote tulichokuwa pamoja nilipata ushirikiano mzuri toka kwenu.Mungu hawabariki sana na pia na kiombea Kijiji hiki Amani na Upendo daima!

Ni mimi ndugu yenu
Carthbert C Lyimo

Duuu watu wengine vituko!
 
ndugu yangu, huku hata ukiachia ushuzi tu kwenye daladala na clouds wakakujua basi wewe ni celeb... ila sijui ni wanachanganya celebrity na cerebral disease? maana wote wanaojiita ma-celeb ni ma-cerebral tu![/QUOTE

LOLZ!
 
Back
Top Bottom