Abuu Kauthar
JF-Expert Member
- Jul 10, 2011
- 4,296
- 6,492
Jazakallahu kheir, somo zuri sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umevuruga tu, ulilpolinganisha Biblia na hizi hadith. Hakuna kitabu kinalingana na NENO!.
Sitaki kuuliza maswali kwa kuwa mwisho wa watumishi wa alaahi ni kutukana kwa kukosa hoja.
....ndo maana yake, wakati Muhammad anashushiwa aya za Qur'an ndo Mwenyezi Mungu alimuelezea hicho kisa. Na hao watu walikuwa Waislaam wakifuata mafundisho ya Yesu na walipinga ibada za masanamu ambazo watawalawalikuwa wanazichomekeaMkuu, kwa hiyo hao vijana waliamka baada ya hiyo miaka 300?
- KANA -
Mtapata akili siku ujinga huu wa waarab utakapo watoka vichwani! [emoji13] [emoji13] [emoji13]Waarabu hawana Qur'an, na Biblos lilitungwa na Wayunani. Usiandike comment kijinga kijinga
Kitabu kisicho na shaka ndani ya na muongozo kwa wamchao Mwenyezi Mungu. Herufi zake ni mim wau he, kama mnaweza kutengeneza lete kitabu chenu, kamwe hamtaweza !Mtapata akili siku ujinga huu wa waarab utakapo watoka vichwani! [emoji13] [emoji13] [emoji13]
Quran ya waarabu imetabiri kila jambo, cha ajabu wanaovumbua hivyo vitu ni wazungu wa biblia
Bangi hizi!kila siku mnashinda mmejifungia mnatafuta udhibitisho wa Quran kwenye bible!kimeandikwa na watu waliorogwa!Kitabu kisicho na shaka ndani ya na muongozo kwa wamchao Mwenyezi Mungu. Herufi zake ni mim wau he, kama mnaweza kutengeneza lete kitabu chenu, kamwe hamtaweza !
Tokea wakati wa Muhammad mpaka leo kiko hivyo hivyo, hakuna old version wala new version wala agano jipya.
Hakuna kulinganisha,na wala hakitalinganishwa na chochote,hiki kisa na vyengine vingi huwezi kukutana kwenye kitabu chochote kingine.Qur'an ni kitabu kilichokamilika.Bangi hizi!kila siku mnashinda mmejifungia mnatafuta udhibitisho wa Quran kwenye bible!kimeandikwa na watu waliorogwa!
Wewe kalia kuimba mapambio tuu, nibebe nibembeleze na utamu wa Yesu !Bangi hizi!kila siku mnashinda mmejifungia mnatafuta udhibitisho wa Quran kwenye bible!kimeandikwa na watu waliorogwa!
alah wenu alishapona macho?Hakuna kulinganisha,na wala hakitalinganishwa na chochote,hiki kisa na vyengine vingi huwezi kukutana kwenye kitabu chochote kingine.Qur'an ni kitabu kilichokamilika.
We bwege kweli, kwahiyo wayunani ni waafricaWaarabu hawana Qur'an, na Biblos lilitungwa na Wayunani. Usiandike comment kijinga kijinga
We falla wayunani si wazungu ! Myunani ni mgiriki we mgalatia mweusi !We bwege kweli, kwahiyo wayunani ni waafrica
Mzungu ni mtu mweupe wa ulaya, sasa ugiriki iko kwenu nyasaWe falla wayunani si wazungu ! Myunani ni mgiriki we mgalatia mweusi !
Myunani si mzungu, hata mchina ni mweupe !Mzungu ni mtu mweupe wa ulaya, sasa ugiriki iko kwenu nyasa
mungu wenu bado hajashuka msalabani !?alah wenu alishapona macho?