Kutana na vijana waliowahi kulala usingizi wa miaka 309 nchini Jordan

Umevuruga tu, ulilpolinganisha Biblia na hizi hadith. Hakuna kitabu kinalingana na NENO!.

Sitaki kuuliza maswali kwa kuwa mwisho wa watumishi wa alaahi ni kutukana kwa kukosa hoja.

Wakati mwengine huwa UJANIDHALILISHA BILA SABABI MASKINI YA MUNGU! kwani lazma kila kitu ulete kejeli! soma jibu kwa hoja! imekuuma mleta mada kushusha nondo?!
 
Waarabu hawana Qur'an, na Biblos lilitungwa na Wayunani. Usiandike comment kijinga kijinga
Mtapata akili siku ujinga huu wa waarab utakapo watoka vichwani! [emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
Mtapata akili siku ujinga huu wa waarab utakapo watoka vichwani! [emoji13] [emoji13] [emoji13]
Kitabu kisicho na shaka ndani ya na muongozo kwa wamchao Mwenyezi Mungu. Herufi zake ni mim wau he, kama mnaweza kutengeneza lete kitabu chenu, kamwe hamtaweza !
Tokea wakati wa Muhammad mpaka leo kiko hivyo hivyo, hakuna old version wala new version wala agano jipya.
 
Umeleta mafunzo mazuri sana,hasa hili la kugeuzwa geuzwa,ili wasipate vidonda.Ndio sasa tunaona wagonjwa waliolala kitandani mda mrefu bila kugeuzwa,kupata vidonda,vinavyokula mpaka mfupa.
Ni somo zuri sana,mbali na tunavyoona katika kisa,hiki kuwako na huyu mbwa,inawezekana uko umuhimu fulani,kisayansi kwa kuweko mnyama huyu karibu na binadamu aliyelala,labda huwenda tafiti za baadaye,zikaja gunduwa,huo umuhimu wake.
 
Bangi hizi!kila siku mnashinda mmejifungia mnatafuta udhibitisho wa Quran kwenye bible!kimeandikwa na watu waliorogwa!
 
nimeelewa hapo kugeuza kuepusha BED SORES au DECUBITUS ULCER
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…