Kutana na vijana waliowahi kulala usingizi wa miaka 309 nchini Jordan

Umevuruga tu, ulilpolinganisha Biblia na hizi hadith. Hakuna kitabu kinalingana na NENO!.

Sitaki kuuliza maswali kwa kuwa mwisho wa watumishi wa alaahi ni kutukana kwa kukosa hoja.
What does that mean? Specific..
 
Tatizo mko very radical na dini yenu, ila kwa kujifunza kisa hiki kinafundisha. Alafu hawa vijana Walikuwa wakristo, kipindi cha tukio la vijana hawa ilkuw ni miaka ya 200s AD , ambapo Ukristo ulikuwa haujarasimishwa kama dini kuu ya dola la Kirumi. Wakristo wa mwanzo (martyrs) waliuawa sana kwakuwa wale ma emperors walikuwa wapagani alafu Ukristo ulikuwa ndo adui mkubwa wa upagani kipindi hicho. Hili tukio la vijana hawa saba lilitokea kipindi cha mtawala (emperor) DECIUS 1 na waliamka katika utawala wa THEODESIUS II, iligundulika kupitia coin walokuwa nayo kipindi wanalala sa wakt wanaamka wakaitumia hiyo coin.
 
hivi ndio vitabu vya mungu zaburi alipewa daud tawrat mussa injili yesu quraan muhammad je biblia alipewa mtume gani ?
Mmekutana sasa, sisi tukiomba mtuthibitishie huyo mungu kuwa yupo mnashindwa mnarudi huku mara vitabu, mara torati ndio nini sasa hii inanitilia mashaka uwezekano wa mungu muweza wa yote ,mwenye upendo kuwepo kweli, kwasababu angekuepo hii migogoro isingewezekana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…