Mother Confessor
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 18,677
- 45,532
Wa kumlipua hata jiwe jomoniii😒Wanini sasa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wa kumlipua hata jiwe jomoniii😒Wanini sasa?
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]Wa kumlipua hata jiwe jomoniii[emoji19]
😞😞[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
Yule hakuwa mtu wa roho mbayaVip yule mama wa kuitwa benadhir bhuto (sina hakika kam nimeandika sahihi)????
Huku wamejaa panya roadTz hakuna hata mmoja...?!
Atakuwa anapiga sana puliNilitegemea kuwaona wanawake wa shoka kama Condoleeza Rice Jasusi nguli na aliyekuwa mshauri wa masuala ya usalama na baadae kuwa Waziri wa Mambo ya Nje ya Marekani enzi za utawala wa George Bush.
Condoleeza Rice hajawahi kuolewa, kuwa na mume wala kuzaa mtoto. JASUSI mbobezi aliyeiva.
Hepi! Huyu alikuwaga anatumia umeme wa Direct Current wakati yupo Kinondoni... Ops am sorry Hepi, kumbe anazungumzia wadada, huyu Hepi wetu ni wa kiume!Tz hakuna hata mmoja...?!
Uko chini ya ulinzi!!!!😈Hepi! Huyu alikuwaga anatumia umeme wa Direct Current wakati yupo Kinondoni... Ops am sorry Hepi, kumbe anazungumzia wadada, huyu Hepi wetu ni wa kiume!
wew Una Hatar GanNipo mm