Uchaguzi 2020 Kutangaza maandamano pekee hakutoshi, kunahitaji maandalizi. Tujiulize kwanini maandamano ya Seif Zanzibar hayakufanikiwa

Maandamano ya Seif yalifanikiwa pakubwa sana,tena yamezidi kupaisha mayowe ya kumfukuza Nunda mla watu.
Tuone hao wabunge wenu sasa, lazima watavaa mabuibui na viatu vya kuchuchumia.
 
Acha porojo mkuu. Tunataka demokrasia ya kweli. Siyo huu ujinga wa aliyeshinda kuwekwa pembeni, afu anatawala pimbi aliyeangukia pua kwny sanduku la kura. Never
 
Acha porojo mkuu. Tunataka demokrasia ya kweli. Siyo huu ujinga wa aliyeshinda kuwekwa pembeni, afu anatawala pimbi aliyeangukia pua kwny sanduku la kura. Never

Kwa hiyo kama unataka hiyo unayoiita demokrasia mimi nifanyeje sasa? Si uichukue nani kakuzuia?
 
Sababu kubwa ya kufeli kwa maandamano ya Mange ni mhamasishaji mkuu kuwa mbali na eneo la tukio.
 
Maandamano mbele ya watu wenye silaha za kivita ni suicide mission
Wazanzibari Tumechoka kuona damu za watu wetu tangu enzi za mkapa tunauawa tu
Sasa na sisi tunataka tupewe silaha tupambane na majeshi ya Burundi yaliopo hapa pemba
Bila silaha ni mauaji ya wazanzibari tu
Wallah tukipata mtutu huku watakimbia tu
Tumechoka kuona damu za watu wetu
 
Mm destination yangu ni ofisi ya Mkurugenzi ama gari lake. Nikiwa nimebeba petroli kwenye dumu la lita 5 na kiberiti.

Nikiwa mlangoni nakunywa nusu ya dumu la lita 5 nusu najimwagia halafu nawasha moto naenda kumkumbatia mkurugenzi.
Hahahahahaha nacheka kama mazuri,
Huu ujasiri wanao wakereketwa wa dini sio wa siasa.
 
Wanavyopewa za uso huko instance, sijui kama watapata usingizi Leo!
 
Hahahahahaha nacheka kama mazuri,
Huu ujasiri wanao wakereketwa wa dini sio wa siasa.
Wajinga Hawa
Wanataka kuandamana mbele yao kuna watu Wana silaha za kivita
Kama wanaakili watafute bunduki ili wapambane
Huku zanzibar kuna maelfu ya vijana wapo tayari na wanataka mtutu wapigane na majeshi ya Burundi yalioletwa pemba
 
Watanzania tuna mikwara sijawahi ona😀😀. Mtu real id kaficha, jinsia kaficha ila anataka kutuaminisha kuwa yuko tayari kwa lolote! Si mngeanza hata kwa kutumia verified IDs ili siku yenyewe tukiwaona tuwatambue au msipotokea tuwakumbushe kwamba mliahidi kuwa front line ila hatuwaoni.. Serious kwangu Sexless na Simba zee 33 mnachokifanya hapa ni utoto
 
Mimi nipo Pemba
Napinga maandamano yasiokua na tija
Kuna maelfu ya vijana wapo tayari kushika mtutu sio kuandamana mbele ya watu wenye silaha za kivita
Tumeuawa Sana wakati wa mkapa.. Tulipumzika wakati wa Jakaya... Sasa zaidi ya watu 50 wameuwawa na majeshi ya Burundi
Wallah tukipata mtutu Haya majeshi ya Burundi ambao hata kiswahili hawajui wataondoka tu
 
Mimi nafikiri ingekuwa vizuri kwanza kujua huku mitaani watu wamepokeaje hayo matokeo ya uchaguzi kuliko kukimbilia kutangaza maandamano tu.
 
Sexless jitangaze jina lako na unaishi wapi ili tukuone kwenye maandamano

Mimi nitakua nikikata kichwa kimoja kimoja maana damu yenu chafu inawawasha
Mimi nawadharau Sana watu wanaoenda kuandamana kijinga
Wanajua kabisa mbele yao kuna watu wanasilaha za kivita wao wapo MIKONO mitupu,,, ujinga huu

Kama wapo serious huku Zanzibar kuna maelfu ya vijana wanataka silaha ili waweze kupambana Ndio patakua patamu
Kilio cha Wazanzibari kwa Sasa ni mtutu ili tuheshimiane
 
Wanakwenda kudharirika,maana hakuna mtu atakayejitokeza,maandamano yanataja tu tarehe,hakuna pahala pa kukutania kuanzia mda gani
 
Sababu kubwa ya kufeli kwa maandamano ya Mange ni mhamasishaji mkuu kuwa mbali na eneo la tukio.
Weee nani kasema. Watu waliogopa kipigo cha mbwa koko. Kila ukitaka kutoka ndani unasikia sauti utapigwa uchakae na ukijua kuwa hawa watu hawashindwi unatulia zako ndani
 
Wale raia wa belarusi wanaondamana kumtaka rais wao aondoke madarakani kama wangekaa waanze kuwaza hayo wasingefika hatua waliyofikia kwa sababu, maandamano hupata uungwaji mkono mara baada ya hayo maandamano kulipuka na kuenea lakini hivi hivi sahau.Raia wakichoka wataamka wenyewe hata hawataitaji viongozi wa kisiasa wawahamasishe.
 
Hata Libya maandamano yalianza kama utani lkn baadaye ikawa hatari.

Watu wanaongelea eti Zanzibar imeshindikana. Pemba ni eneo dogo Sana na population siyo kubwa kiviiiile.

Sasa yamekuja huku bara. Mtaona.
Umesema Libya kumbuka hii Tanzania na sijaona wakuandamana kabisa.

Hivi yale maandamano ya Mange yalifikia wapi?
 
Kwan ktk mikutano yake lissu alitaja mahakama ya kadhi na sheria za kiislam?,,au ndo kusaliti Iman za wapemba kisa unafiki wa siasa,,,unawaongopea wa zanzibar,,sidhan Kama vyombo husika hasa vya nje vitachukua hatua za kuikomboa Zanzibar ili Hali wanasema waislam wote Ni magaidi,,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…