Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani kulikuwa na uchaguzi au WIZi mtupu?!hawa waliosema ushindi ni saa mbili asubuhi wasijue hata wanashindaje,bado unasubiri miujiza kutoka kwao!!!!!
Kwa uovu aliokwisha tekeleza hadi sasa, tayari ashafuzu kuwa mteja wa hukoSiro usicheze na maandamano haya. Utaishia ICC, utaiacha familia yako.
Lots of money?Above All You Need Money, and lots of it, ...
Mkuu...." Izi ndio Hoja na Point Safi kabisa "Kuandaa maandamano ni fani kunahitaji mipango madhubuti, hata kama una ajenda muhimu huwezi kukurupuka na kutangaza leo au kesho kuna maandamano, Seif alikuwa na ajenda lakini hakuwa na mipango madhubuti aliongozwa na mihemuko, hasira na jazba.
Wataalamu wa mipango ya maandamano wanasema ili maandamano yafanikiwe kuna hatua muhimu lazima zizingatiwe.
- Lazima kuwe na sababu (issue) inayogusa jamii. Unaweza kutangaza maandamano ukakuta watu hawana interest nayo.
- Chagua ‘theme’ kauli mbiu itakayokuwa common kwa wote itakayotoa hamasa mfano, uonevu sasa basi au wimbo wa ujasiri.
- Toa taarifa kwa taasisi za misaada kama Red Cross na andaa utaratibu wa misaada ya haraka kwa waandamanaji watakaozidiwa wakati wa maandamano mfano maji na huduma ya kwanza.
- Tayarisha eneo mwafaka destination la kutolea matamko yako (open space, ofisi za serikali, nk) usitoe matamko ofisini kwako.
- Alika ‘known public speakers’ watakaotoa hotuba fupi fupi zisizochosha mfano viongozi wa dini, wasanii nk.
- Andaa mziki na wasanii watakaoburudisha.
- Andaa shelters mahema, jukwaa kama kuna ulazima.
- Andaa mabango yenye kuvutia na kufikisha ujumbe mfupi (inclusive) usibague kundi lolote la jamii.
- Kama lazima pata vibali au toa taarifa kwa mamlaka husika.
- Alika vyombo vya habari vya ndani na vya nje ikiwezekana vipe taarifa mapema kwa simu ama maandishi, email nk.
- Tumia mitandao ya kijamii kama Twitter, Facebook, Instagram, You Tube nk kuhamasisha watu.
- Ijulishe jamii ya kimataifa, mashirika ya haki za binadamu na marafiki kusudio lako la kufanya maandamano ya amani ukinukuu vifungu vya sheria vinavyo kusapoti.
- Mwisho kabisa hakikisha wafuasi na waandamanaji hawavunji sheria wala kufanya fujo.
Hawa WAHINDI wa JAMANA PRINTERS Ni watuhumiwa kwa huu wizi wa kuraJamana printers watakuwa walitengeneza karatasi 12,500,000 zenye kura kwa Magufuli,
Thubutuu.. Kama rais anashtakiwa itakuwa iGP?Nauliza maana nimeambiwa Siro hawezi kushtakiwa ICC?
Wananchi wataandamana kwa kuwa kura zao zimeibwa na haki yao ya kuchagua viongozi imekanyagwaMimi ninacho waomba wale wanaotaka kuandamana waandamane wenyewe, maana hata walipokuwa wabunge walipwa mishahara ya ubunge hawakuja hadharani na kutugai hiyo mishahara yao
Watanzania ninao wajua mm hawatato toka sababu ya WOGA.Ili mjue kuwa Watanzania ndio waliompigia kura JPM kwa kukubalika kwake, mtaona hiyo siku kama kuna mtu ataandamana.
JPM ni RAIS na NABII. Mkono wa Mungu uliotukomboa kutokana na Janga la CORONA ndio huo huo utakaowapiga GANZI ya mwili mzima wale wote watakaojaribu kuandamana.
Mimi nashauri, msijaribu kuandamana kwani kilichotokea katika uchaguzi huu ni HASIRA za Wananchi wakati wa Kampeni. Kampeni zenu, hasa za MBELGIJI zilijaa Matusi, Kejeli, Visasi, Hasira na kuwaona Watanzania kama hawana akili.
Kuwaambia watu kuwa, Flyover, Mabasi ya mwendokasi, Barabara za njia nane, Vituo vya afya, Maji, Umeme, Elimu bure, SGR, Usafiri wa Anga nk. si Maendeleo wakati watu hao wamepata unafuu mkubwa, huko ni kuwapuuza Watanzania. Sasa wao wameamua kuwapa majibu kwa kutumia Sanduku la kura.
Watu bado wana hasira na Kampeni zetu za kitapeli kama hizo. Nawashauri, msiandamane. Hapo mtaharibu kabisa kabisa.
Threatening the government official or security force is the purnishable offence!Siro usicheze na maandamano haya. Utaishia ICC, utaiacha familia yako.
Hujui sheria ww.. Hao polisi ni washirika kwa huo wizi wa kura unaolalamikiwa, watakupa kibali?!hakikisha unaomba kibali cha kufanya maandamano.
Kaa kimya kuficha ujinga wakoMimi ninacho waomba wale wanaotaka kuandamana waandamane wenyewe, maana hata walipokuwa wabunge walipwa mishahara ya ubunge hawakuja hadharani na kutugai hiyo mishahara yao. Sasa iweje leo wanatuambia tuandamane na rusuzuku na mishahara wamekula wenyewe.
Naomba nani kwenye soko la Shekilango, Mgandini, Samunge, Mwanjelwa, Kiboroloni, aliepewa sehemu ya mshahara wa mbunge leo hii awe na nguvu ya kuandamana.
Tunaomba mlete familia zenu na ndugu zenu muandamane maana nyie ndio mtakao kosa mishahara ya ubunge kwa miaka mitano ijayo.
Wewe nakupa Red card haufai kabisaaa.Maandwmano kwa nchi za kidikteta ni suecide mission
Better option ilikua ni kutafuta silaha na kuingia porini kupambana
Silaha kwa silaha
Lakini MIKONO mtupu na wengine wanasilaha za kivita
Watauawa watu kadhaa wengine watapata ulemavu na wengi watajikuta jela
Mamilioni ya vijana wapo tayari kupambana na utawala dhalim lakini hawapo tayari kujipeleka wakaumizwe
Kumbuka unapigana na mtu mwenye silaha wewe MIKONO mitupu
Wee!! Anaye leta utani na amani ni huyo mhutu mwizi. Hatukubali,. Bora nikafe mbele ya kamera kuliko kufa kifaraMnatishia Libya waliandamana je Libya iko wapi sasa?? Msilete utani na amani
Hata mimi najua HiloWewe nakupa Red card haufai kabisaaa.
Hongera Magufuli,Hongera Mwinyi,Hongera CCM
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA