Kutangazwa hadharani wajumbe wa kamati nzima ya uchunguzi majengo Kariakoo ni kosa la kiufundi

Kutangazwa hadharani wajumbe wa kamati nzima ya uchunguzi majengo Kariakoo ni kosa la kiufundi

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Kamati ya kuchunguza majengo/ Maghorofa Kariakoo imetangazwa leo hadharani.

Wajumbe wote watakohusika katika kamati wamewekwa hadharani leo na Waziri Mkuu, hii inaweza kuwa kosa kubwa la kiufundi kwa sababu wenye majengo watakuwa wamepata fursa ya kuwajua wakaguzi na kujipanga mapema.

Katika kamati yenye wajumbe wengi hivyo sio rahisi kukosekana watu ambao wako tayari kufanya mazungumzo ya "kusaidiana" na wamiliki wa majengo nje ya kamati hali inayoweza kufanya ripoti kusingwa hapa na pale.

Nafikiri ilitosha kutangaza Mwenyekiti na katibu wa kamati tu, vinginevyo inaweza kulazimika tena kuunda kamati ya kuwafuatilia walio kwenye kamati.
 
Kamati ya kuchunguza majengo/ Maghorofa Kariakoo imetangazwa leo hadharani.

Wajumbe wote watakohusika katika kamati wamewekwa hadharani leo na Waziri Mkuu, hii inaweza kuwa kosa kubwa la kiufundi kwa sababu wenye majengo watakuwa wamepata fursa ya kuwajua wakaguzi na kujipanga mapema.

Katika kamati yenye wajumbe wengi hivyo sio rahisi kukosekana watu ambao wako tayari kufanya mazungumzo ya "kusaidiana" na wamiliki wa majengo nje ya kamati hali inayoweza kufanya ripoti kusingwa hapa na pale.

Nafikiri ilitosha kutangaza Mwenyekiti na katibu wa kamati tu, vinginevyo inaweza kulazimika tena kuunda kamati ya kuwafuatilia walio kwenye kamati.
Kufanya siri hakujawahi kuwa suluhisho kwenye mambo kama haya. Ni utendaji tu
 
Kamati ya kuchunguza majengo/ Maghorofa Kariakoo imetangazwa leo hadharani.

Wajumbe wote watakohusika katika kamati wamewekwa hadharani leo na Waziri Mkuu, hii inaweza kuwa kosa kubwa la kiufundi kwa sababu wenye majengo watakuwa wamepata fursa ya kuwajua wakaguzi na kujipanga mapema.

Katika kamati yenye wajumbe wengi hivyo sio rahisi kukosekana watu ambao wako tayari kufanya mazungumzo ya "kusaidiana" na wamiliki wa majengo nje ya kamati hali inayoweza kufanya ripoti kusingwa hapa na pale.

Nafikiri ilitosha kutangaza Mwenyekiti na katibu wa kamati tu, vinginevyo inaweza kulazimika tena kuunda kamati ya kuwafuatilia walio kwenye kamati.
Hiyo kamati haita kuja na jibu lolote
Bora kamati za walevi bar kuliko hizo kamati zaoo

Ova
 
Serikali haiwezi kubomoa maghorofa yaliyo chini ya viwango kariakoo wala kufanya chochote kitakachotibua biashara pale. Hiyo ni roho ya kodi za nchi.

Watakacho weza ni kuzuia ujenzi wa hivyo viduka vya chini.

Hiyo kamati ni kuwatuliza tu wadanganyika. Hata majina yakiwa hadharani hakuna shida.
 
Kamati ya kuchunguza majengo/ Maghorofa Kariakoo imetangazwa leo hadharani.

Wajumbe wote watakohusika katika kamati wamewekwa hadharani leo na Waziri Mkuu, hii inaweza kuwa kosa kubwa la kiufundi kwa sababu wenye majengo watakuwa wamepata fursa ya kuwajua wakaguzi na kujipanga mapema.

Katika kamati yenye wajumbe wengi hivyo sio rahisi kukosekana watu ambao wako tayari kufanya mazungumzo ya "kusaidiana" na wamiliki wa majengo nje ya kamati hali inayoweza kufanya ripoti kusingwa hapa na pale.

Nafikiri ilitosha kutangaza Mwenyekiti na katibu wa kamati tu, vinginevyo inaweza kulazimika tena kuunda kamati ya kuwafuatilia walio kwenye kamati.
Wamewatangaza ili kuwarahisishia wamiliki wa maghorofa wasipate tabu wakati wa kupenyenya kitu kidogo. Wasimsumbue boss kwa simu.
 
Kamati ya kuchunguza majengo/ Maghorofa Kariakoo imetangazwa leo hadharani.

Wajumbe wote watakohusika katika kamati wamewekwa hadharani leo na Waziri Mkuu, hii inaweza kuwa kosa kubwa la kiufundi kwa sababu wenye majengo watakuwa wamepata fursa ya kuwajua wakaguzi na kujipanga mapema.

Katika kamati yenye wajumbe wengi hivyo sio rahisi kukosekana watu ambao wako tayari kufanya mazungumzo ya "kusaidiana" na wamiliki wa majengo nje ya kamati hali inayoweza kufanya ripoti kusingwa hapa na pale.

Nafikiri ilitosha kutangaza Mwenyekiti na katibu wa kamati tu, vinginevyo inaweza kulazimika tena kuunda kamati ya kuwafuatilia walio kwenye kamati.
By the end of hii kazi watakuwa matajiri (if watakosa uaminifu), simu zao zitakuwa busy sana vile wamilikiwa majengo watakuwa wanapiga simu
 
By the end of hii kazi watakuwa matajiri (if watakosa uaminifu), simu zao zitakuwa busy sana vile wamilikiwa majengo watakuwa wanapiga simu
Penye udhia rupia itapenyezwa, ripoti itomaswe tomaswe.
 
Back
Top Bottom