Kutapisha choo choo za shule na kukimwaga mtoni ADHABU yake ni ipi?

Kutapisha choo choo za shule na kukimwaga mtoni ADHABU yake ni ipi?

Kabende Msakila

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2020
Posts
1,809
Reaction score
1,692
Jf,
SALAAM!
Yaani hapa KAKONKO mmiliki wa shule binafsi anaeonekana msomi anatiririsha choo kutoka shuleni kwake kwenda MTO MUHWAZI huku akijua maji hayo hutumiwa na wananchi wa Kijiji cha Muganza, Kanyonza, Kumwiyando, Kihomoka, na Ndabulibije!!!

Kitendo hiki kimetukatisha tamaa kwa kuwa maji hayo ndiyo kimbilio letu wananchi wa maeneo hayo (kuoga, kunywa, kufua, bustani nk).

Nachotaka kujua:-
Wananchi tufanyeje ili kukomesha ujinga huo???

Msakila Kabende
Kanyonza.
 
Jf,
SALAAM!
Yaani hapa KAKONKO mmiliki wa shule binafsi anaeonekana msomi anatiririsha choo kutoka shuleni kwake kwenda MTO MUHWAZI huku akijua maji hayo hutumiwa na wananchi wa Kijiji cha Muganza, Kanyonza, Kumwiyando, Kihomoka, na Ndabulibije!!!

Kitendo hiki kimetukatisha tamaa kwa kuwa maji hayo ndiyo kimbilio letu wananchi wa maeneo hayo (kuoga, kunywa, kufua, bustani nk).

Nachotaka kujua:-
Wananchi tufanyeje ili kukomesha ujinga huo???

Msakila Kabende
Kanyonza.
Hakuna uongozi wa wilaya au uchawi tu mnaogopa

USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
 
AWAMU HII INAWAPA KIBURI.
WAKATI MWINGINE FANYENI MAAMUZI MGUMU,
WAKATI MWINGINE HAKI INAPATIKANA KWA KUJICHUKULIA SHERIA MIKONONI.
KWANI HUKO KWENU KIBERITI NA PETROLI BEI GANI?
 
Back
Top Bottom