mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah! Ila jamaa alifaidi. Angekuwa amechomekea shati lazima angeumbuka.
HahahahaDah! Ila jamaa alifaidi. Angekuwa amechomekea shati lazima angeumbuka.
Halafu kuna mtu anasema nina mbunge anayeniwakilisha bungeni!! pole sana!
Pepo la uzinzi ndilo lililofaidi, lakini mwenyewe aliishia kujiaibisha mbele ya jamii!! Ujue hakujua kama kuna mtu anampiga picha na mwisho wa siku anaanikwa hadharani!!Dah! Ila jamaa alifaidi. Angekuwa amechomekea shati lazima angeumbuka.
Hiyo manzi ina makusudi mpaka basi.
Samahani hivi kuna polisi mwenye akili za kujitegemea ambazo ni zake mwenyewe ambaye hajashikiliwa!!??
Huyo kangi ni mbunge wa jimbo gani?Halafu kuna mtu anasema nina mbunge anayeniwakilisha bungeni!! pole sana!
Kuna wakati alikuwa mbunge nadhani wa kahama huko kama sijakosea! Akapata skando ya kuomba rushwa alipokuwa kwenye kamati ya bunge wakitembelea mashirika ya umma.Huyo kangi ni mbunge wa jimbo gani?
Alikuwa ni Mbunge wa Jimbo la Mwibara Mkoani Mara.KU
Kuna wakati alikuwa mbunge nadhani wa kahama huko kama sijakosea! Akapata skando ya kuomba rushwa alipokuwa kwenye kamati ya bunge wakitembelea mashirika ya umma.
Ok Asante kwa kuweka kumbukumbu sawa!!Alikuwa ni Mbunge wa Jimbo la Mwibara Mkoani Mara.
Nchi hii uhuru umezidi kila mtu anaropoka tu ajuavyoWabongo bhana, Kwahy mtu asifurahi kisa mtasema hana tija.?
Sisi wabongo tuna matatizo ya akili, mtu akiishi hivi tunamlalamikia akiishi vinginevyo bado tutamlalamikia.Mbona rais wa ufaransa alikuwa anakula Bata fresh tu
Kuna wabunge wengine hawana mbwembwe wala vituko Ila hamna lolote wanalifanya
Akili kichwani mwako
Sent from my SM-G935T using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sisi wabongo tuna matatizo ya akili, mtu akiishi hivi tunamlalamikia akiishi vinginevyo bado tutamlalamikia.
Unaweza kumkuta mtoa mada yupo kwenye viwanja vyake vya kujidai lkn hakuna mtu amemlaumu kwa kuwepo eneo hilo.