Kutekwa kwa MO , uongozi wa Simba uitishe Mkutano wa dharula

hahahaha sijasikia wakimtafuta dereva wake
 
Hawa matajiri wetu ubahili umewazidi..MTU kama Mo unashindwa kuwa na bodyguard's wa kazi kazi ....Jay Z analindwa mpaka na CIA unashindwaje kuwalipa makirikiri aaarrrggghhh
 
Hawa matajiri wetu ubahili umewazidi..MTU kama Mo unashindwa kuwa na bodyguard's wa kazi kazi ....Jay Z analindwa mpaka na CIA unashindwaje kuwalipa makirikiri aaarrrggghhh
Ndugu......suala LA bodyguard sidhani kama lina mashiko. Kwa nn
1.Kuwa na bodyguard lazima use na sababu(motives) za kwa nn uwe na bodyguards.
2.waeza kuwa na bodyguards na bado proffesional kidnapers wakakupata tu. So kwa hili LA Mo nadhani tusubiri tujue sababu has a ya utekaji. Maana huyu jamaa amekuwa akijichanganya sana Mara nyingine kwenye bodaboda akiwa na haraka zake,kwenye ngoma huko singida enzi za ubunge wake,mpirani pale uwanja wa taifa n.k
Na tukumbushane tu marehemu Dr mvungi alikuwa na silaha ya kujilinda but aliuwawa na silaha ikachukuliwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…