Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #21
Umeitoa wapi hii ?Kashapatikana...tutulie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeitoa wapi hii ?Kashapatikana...tutulie
hahahaha sijasikia wakimtafuta dereva wakeLengo liwe kuwajulisha wanachama kilichotokea na kuwaomba walisaidie jeshi la polisi kupatikana kwa MO akiwa salama u salimini , ikumbukwe kwamba wanachama na wapenzi wa Simba ni wengi na wametapakaa nchi nzima , tusikae kimya as if lililotokea ni jambo la kawaida .
Naomba kuwasilisha .
Duh !hahahaha sijasikia wakimtafuta dereva wake
Ndugu......suala LA bodyguard sidhani kama lina mashiko. Kwa nnHawa matajiri wetu ubahili umewazidi..MTU kama Mo unashindwa kuwa na bodyguard's wa kazi kazi ....Jay Z analindwa mpaka na CIA unashindwaje kuwalipa makirikiri aaarrrggghhh
Kapatikania wapi? muwe mnajiridhisha kwanza na vyanzo vya taarifamungu mwema ameshapatikana