Mtu mwenyewe kumbe matusi na vitisho vilikuwa ni ndiyo lugha yake ya kawaida!! Basi amepata alichokuwa anakutafuta.Ulikuwa Unamfatilia Sativa hapo Zamani?
Unajua alikuwa anamaanisha Nini hapo
Akaunti yake imejaa matusi tuWanaharakati/wakosoaji wengine ni uchwara kabisa
Mkuu sasa unadhani walio mteka ni watu tu au mamlaka?Huyu Sativa hakuwa mkosoaji bali ni mtukanaji
View attachment 3027736
Kabisa jamaa Hana stara kabisaWakati mwingine ukiwa unakosoa kwa lugha kali au matusi, ni vyema ukawa anyomous kuliko kuanika sura yako na maisha yako mitandaoni.
Naona Mshale umeingia baina ya Scalp na Fuvu huyo Jamaa ana Bahati sana.Huu mshale mbona umekaa kimazingaumbwe, hapo umetoboa fuvu la kichwa?. Ubongo mbona haujatoka hata kidogo