Kutekwa kwa Sativa: Polisi anzieni hapa

Kutekwa kwa Sativa: Polisi anzieni hapa

Huihui2

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2012
Posts
7,021
Reaction score
11,475
Siku 4 zilizopita tarehe 23/ June/ 24, mnamo saa 8: 37 yeye mwenyewe Sativa254 au Edgar Mwakalebela alipost kwenye ukurasa wake wa Twitter (X) maneno haya hapa:

"Ukikoswa koswa na mshale wa jicho basi kichwa lazima kiwajibije"

Baada ya post hiyo ndiyo akapotea mpaka alipopatikana. Yawezekana aliotaka kuwapiga mshale wa jicho walimuwahi.

Naamini wale wanaodhani huyu katekwa na watu wa "system" wanabuni tu.

Akisha pata nafuu Polisi wamuulize ni nani alikuwa anawapelekea ujumbe huo.

PIA SOMA
- SATIVA: Nilitekwa nikapelekwa Karakana ya Polisi Osterybay kabla ya kusafirishwa sehemu zingine na nimepigwa risasi ya kichwa
 
Ulikuwa Unamfatilia Sativa hapo Zamani?

Unajua alikuwa anamaanisha Nini hapo?

Hapo alikuwa anazungumzia Wale watakaofungua Biashara kariakoo, Tusipotoshe

Screenshot_20240627_180027_X.jpg



Hspo Ilikuwa ni Saa Tano..
Kwanza Ilianza post Hii asubuhi Saa Tatu kabla hajapost hizo zote
Screenshot_20240627_180132_X.jpg



Iakini kabla ya Zote alipost hii akielezea Mshale
Screenshot_20240627_180214_X.jpg



TUSISAMBAZE CHUKI NA UONGO
 
Mkuu sasa unadhani walio mteka ni watu tu au mamlaka?
Both ways is possible. Kimsingi na mwenyewe alikuwa controversial kwenye social media.

Siwezi kushangaa yaliyompata. Tutumie mitandao kwa usalama bila hate speech
 
Back
Top Bottom