Kuteleza si kuanguka , Simba kumtandika Mwarabu kwao

Arsenal alipofungwa bao 5 na Liverpool akaja kugeuza matokeo na kumtandika Chelsea bao 2 mtungi , hakuna haja ya watanzania kukata tamaa , leo ushindi ni wetu.

Nakala : Shafii Dauda
Al Ahyl wana wachezaji tisa tegemeo ni majeruhi, kwahiyo Simba washindwe wenyewe tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Eti nimeota matokeo yatakuwa Al Ahly 2: 2 Simba.
 
Amna izo ni mbwembwe tu hawana majeruhi hata kdg wanajarb kucheza na psychology za wachezaji wa simba ili wa zubae wesi focus kwenye michezo
Ngoja tuone hiyo baadae kama ni kweli majeruhi au ni janja ya kuwahadaa wachezaji wa Simba na benchi lake la ufundi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…