Kutembelea Shamba la Kuku (wa mayai na nyama - hasa mayai) kwa ajili ya kujifunza

Kutembelea Shamba la Kuku (wa mayai na nyama - hasa mayai) kwa ajili ya kujifunza

muuza ubuyu

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2010
Posts
3,539
Reaction score
3,551
Habari wakuu, mimi naishi mkoani (kanda ya ziwa). Wiki ijayo ninakwenda Dar kwa ajili ya shughuli zangu binafsi. Katika huo muda nitakaokuwepo, nitakuwa na muda wa free hivyo natamani kupata namna ya kuutumia. Mimi ni mtu ambaye nataka kuwekeza katika mradi wa kuku wa mayai/nyama, ningeomba yeyote anayefanya biashara hii (hasa wa mayai) kuanzia elfu moja kwenda juu na kwa njia ya kisasa (cages) anikaribishe ili ikiwezekana nije kupata mawili matatu.

Lakini pia hata yule anayefanya biashara ya kusaga unga wa mahindi na ku package (asiwe wale wenye viwanda vikubwa, hapana, nahitaji mjasiliamali wa kati tu) nitashukuru sana. Hizi projects ni projects za ndoto yangu na ninaona muda wa kuanza kuzifanya ni huu na hivyo kuanza kwa kuona na kuuliza maswali mawili matatu basi nitafurahi sana.

Asanteni sana, na karibuni.
 
Zipo nyuzi nyingi sana khs ufugaji wa kuku,,, fukunyua utazikuta,,,,

Khs machine ya kusaga na packaging wadau watakuja kukupa ABC zake
 
Habari,
Karibu chianteng limited ni wauzaji wa Truck za HOWO Kwa Bei Nzuri

Pia tunazo SPARE PARTS ZOTE ZA HOWO,

Pia tuna mafundi waliobobea katika utengenezaji wa truck za HOWO.

Karibu sana

📍Tupo Kurasini opposite na Chuo Cha Diplomasia

☎️0748 270 719
Howo-371-dump-truck-for-sale-1-100885.jpg
IMG-20240613-WA0003.jpg
IMG-20240613-WA0005.jpg
 
N
Habari wakuu, mimi naishi mkoani (kanda ya ziwa). Wiki ijayo ninakwenda Dar kwa ajili ya shughuli zangu binafsi. Katika huo muda nitakaokuwepo, nitakuwa na muda wa free hivyo natamani kupata namna ya kuutumia. Mimi ni mtu ambaye nataka kuwekeza katika mradi wa kuku wa mayai/nyama, ningeomba yeyote anayefanya biashara hii (hasa wa mayai) kuanzia elfu moja kwenda juu na kwa njia ya kisasa (cages) anikaribishe ili ikiwezekana nije kupata mawili matatu.

Lakini pia hata yule anayefanya biashara ya kusaga unga wa mahindi na ku package (asiwe wale wenye viwanda vikubwa, hapana, nahitaji mjasiliamali wa kati tu) nitashukuru sana. Hizi projects ni projects za ndoto yangu na ninaona muda wa kuanza kuzifanya ni huu na hivyo kuanza kwa kuona na kuuliza maswali mawili matatu basi nitafurahi sana.

Asanteni sana, na karibuni.
Nenda kigamboni kwa tariq aka Mr. Kuku ana fanya vyote hivo
 
Habari,
Karibu chianteng limited ni wauzaji wa Truck za HOWO Kwa Bei Nzuri

Pia tunazo SPARE PARTS ZOTE ZA HOWO,

Pia tuna mafundi waliobobea katika utengenezaji wa truck za HOWO.

Karibu sana

📍Tupo Kurasini opposite na Chuo Cha Diplomasia

☎️0748 270 719View attachment 3023987View attachment 3023988View attachment 3023989
Sijui wewe ni dalali au sales man but I think you learn nothing uwezi kila Uzi wa mtu unaweka picha 1 kama Amna nwendelezo wa kazi yenu unaweza kuwatia shaka wanunuzi wa bidhaa yako. Simply advise
 
Sijui wewe ni dalali au sales man but I think you learn nothing uwezi kila Uzi wa mtu unaweka picha 1 kama Amna nwendelezo wa kazi yenu unaweza kuwatia shaka wanunuzi wa bidhaa yako. Simply advise
Hizo ni sample tu, thus why nimeweka na location ikitokea mtu anahitaji huduma anafika ofisini kwetu,

Mfano mzuri kampuni kubwa ya pepsi, ukizunguka katika barabara zote utakuta tangazo ambalo ni picha ya diamond platinumz na ni picha hiyohiyo katika matangazo yote utakayoyaona barabarani

Nashukuru Kwa ushauri wako Mzee, Karibu CHIANCHENG LTD Kwa huduma Nzuri
☎️0748270719
 
Back
Top Bottom