Ziltan
JF-Expert Member
- Aug 20, 2011
- 2,672
- 6,880
Habari wadau
Nafikiria kufanya biashara ya namna hii. Yaani nachukua bidhaa kama nguo za watoto. Simu ndogo hizi na accessories zake. Nazunguka kwenye masoko na vijiwe kuvinadi kwa kutumia mziki mkubwa. Naombeni mawazo yenu kwa ujumla, changamoto, maboresho nk.
Karibuni
Nafikiria kufanya biashara ya namna hii. Yaani nachukua bidhaa kama nguo za watoto. Simu ndogo hizi na accessories zake. Nazunguka kwenye masoko na vijiwe kuvinadi kwa kutumia mziki mkubwa. Naombeni mawazo yenu kwa ujumla, changamoto, maboresho nk.
Karibuni