Sister Abigail
JF-Expert Member
- Sep 2, 2020
- 2,886
- 9,088
Nina mashaka na weweNipe nikutunzie baada ya hizo week njoo uchukue 500,000 my [emoji12]
Dar es salaam...ubungoTaja mahali ulipo bibie waje wakupe mwongozo
HapanaBeti
Hiki kizungu baba[emoji119][emoji119][emoji119]
kmma unatema kohoz vile
Nina mashaka na wewe
Ingia ferry kachukue samaki wabichi wasafishe kisho kwauze buguruniHabari wapenzi,
Nina mtihani.nina 150,000 mkononi natakiwa nifanye kitu ili ifikapo tar 30 july niwe nimezalisha 350,000 la sivyo ..
Naombeni mawazo yenu.nini kinaingia ndani ya hiyo budget,hata kuuza matunda we nipe tu mchanganuo.anagalau.we leta idea yako itasaidia kuniokoa.
Yenye kuweza kuzalisha angalau 50,000-100,000 ndani ya week ama siku kumi.
Angalia mwenyewe bidhaa za kununua elfu 3 tatu kisha wewe kisha wewe uje kuuza elfu 5 mpaka 7.Dar es salaam...ubungo
Abigail Nabal ukipata ulete mrejesho
mi naona kama haiwezekani vile[emoji23] kama huna biashara au ajira tayari
Unataka kupiga hela ya mtuKwann [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
utaifanyia nini, tupe madini😂Usimkatishe tamaa, inawezekana anipe mimi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa hugher na higer ni lugha ya wapi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaa!! Watu mnajua kukera
Unataka kupiga hela ya mtu