Sister Abigail
JF-Expert Member
- Sep 2, 2020
- 2,886
- 9,088
Habari wapenzi,
Nina mtihani nina 150,000 mkononi natakiwa nifanye kitu ili ifikapo tar 30 july niwe nimezalisha 350,000 la sivyo ..
Naombeni mawazo yenu.
Nini kinaingia ndani ya hiyo budget, hata kuuza matunda we nipe tu mchanganuo anagalau we leta idea yako itasaidia kuniokoa.
Yenye kuweza kuzalisha angalau 50,000-100,000 ndani ya week ama siku kumi.
Nina mtihani nina 150,000 mkononi natakiwa nifanye kitu ili ifikapo tar 30 july niwe nimezalisha 350,000 la sivyo ..
Naombeni mawazo yenu.
Nini kinaingia ndani ya hiyo budget, hata kuuza matunda we nipe tu mchanganuo anagalau we leta idea yako itasaidia kuniokoa.
Yenye kuweza kuzalisha angalau 50,000-100,000 ndani ya week ama siku kumi.