Undisputed Hustler
JF-Expert Member
- Oct 8, 2020
- 462
- 1,235
Sasa hugher na higer ni lugha ya wapi
bora angeandika trab na trat
Sijawahi ona mtu wa kula bata alitunza hela.Nataka kumtunzia baba mchungaji [emoji23][emoji23][emoji23]
Chagua bidhaa ambayo inahit sana kwenye mauzo, fanya analysis .Habari wapenzi,
Nina mtihani.nina 150,000 mkononi natakiwa nifanye kitu ili ifikapo tar 30 july niwe nimezalisha 350,000 la sivyo ..
Naombeni mawazo yenu.nini kinaingia ndani ya hiyo budget,hata kuuza matunda we nipe tu mchanganuo.anagalau.we leta idea yako itasaidia kuniokoa.
Yenye kuweza kuzalisha angalau 50,000-100,000 ndani ya week ama siku kumi.
Kesha sema atalala nayo mbele 😁utaifanyia nini, tupe madini😂
utaifanyia nini, tupe madini[emoji23]
Sijawahi ona mtu wa kula bata alitunza hela.
Acha kuzengea hela isiyo yako plz
JITU BANDIA njoo umpe odds huyu mdau akuze mtajiHabari wapenzi,
Nina mtihani.nina 150,000 mkononi natakiwa nifanye kitu ili ifikapo tar 30 july niwe nimezalisha 350,000 la sivyo ..
Naombeni mawazo yenu.nini kinaingia ndani ya hiyo budget,hata kuuza matunda we nipe tu mchanganuo.anagalau.we leta idea yako itasaidia kuniokoa.
Yenye kuweza kuzalisha angalau 50,000-100,000 ndani ya week ama siku kumi.
We sema hujakutana na manguli wa kubet wakusaidie tu. Hiyo inarudi chap sanaaaaaaHapana
Mpe hapa hapa kuna wengine watajifunza piaHuo nimtaji mkubwa sana njoo nikupe odd 1.03 uhakika kwakila siku. Ndani yawiki3 utakua umetengeneza LAKI4 NAZAIDI.
Hey.anatania na mie simchukulii seriousSijawahi ona mtu wa kula bata alitunza hela.
Acha kuzengea hela isiyo yako plz
Kauze Ice cream, juice na cakes 77Dar es salaam...ubungo
Hiyo faida utaitoa wapi?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kweli baba mchungaji namtunzia vizuri na ataikuta na faida nimemzalishia
Naogopa kamari mzeeWe sema hujakutana na manguli wa kubet wakusaidie tu. Hiyo inarudi chap sanaaaaaa
Nafasi napataje..Kauze Ice cream, juice na cakes 77