Kutengeneza 350,000 ndani ya week 3

Chukua mayai ya jumla ( kwa mkulima) nenda kwenye sehemu za chipsi uza kila Trey unaweka buku ukiuza 10 unatapa buku 5, speed yako mafanikio yako


Au chukua toyo jiunge bolt unaingiza pesa fasta,utauliza
Boda natoa wapi ? Sikia iyo laki 3 unusu kimbia kwa jamaa wanaitwa WATU wanakupa boda siku iyo iyo rejesho buku 8 kwa siku buku 8 iyo ni kichwa kimoja cha bolt

Fanya ivi nenda pale ubungo wanauza maziwa lita 1tsh 1000 chukua lita 10 ingia kitaa wauzie majirani unapoishi lita 1buku 2000 yakiisha una faida ya buku ten unarudi fasta unachukua tena lita 10,unawatafuta ndugu zako wauzie lita moja 2500 usiwaonee hurumaaa


Sent from my YAL using JamiiForums mobile app
 
Uza dagaa MCHELE wale wa mafungu tafuta mitaa ya uswahilini na kaanga mihogo ila iwe na udambwidbwi chachandu nzuri na kachumbari utakuja kunishukuru siku Tano tu mhogo mmoja uza jerO ila uwe unakata mikubwamikubwa
 
Hujasema kama utaizalisha bali umesema 'utamtunzia' sasa ni utunzaji gani usiozalisha kama sio kulala nazo mbele.

Nimesema nina mashaka na wewe

Mimi ndio najua nitaifanyaje izalishe, kikubwa anipe kwanza

Afu mbona unanibania sana!! Kwann lkn?!![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Uza dagaa MCHELE wale wa mafungu tafuta mitaa ya uswahilini na kaanga mihogo ila iwe na udambwidbwi chachandu nzuri na kachumbari utakuja kunishukuru siku Tano tu mhogo mmoja uza jerO ila uwe unakata mikubwamikubwa
Vipi ile mibichi nkinunua kwa jumla niuze?
 

Kama wewe ni pisi kali hiyo hela uliyonayo inaweza kuzalisha hata 3.5m ndani ya huo muda ulioazimia!
Cha msingi weka picha yako nione kama idea itakufaa depend wewe ni pisi kali kiasi gani!
 
Ina maana mkuu kakosekana kabisa wa kukuboost manamna gani then huko badae ukaja kumalizana nae?

Au ni vile unachoresha mchongo wa kuanza kufanya, utakao kuwa unakupa faida kwa mda mchache?
Sina mkuu..nso mana nomefikia hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…