Kutengeneza nyumba kama hii inagharimu kiasi gani?

Hizo mbao usipopiga dawa zinaliwa zone

Pili nyumba za mbao na tofali ukubwa ukiwa sawa, nyumba sa mbao ni expensive.

Hii ya kwako inaweza kuwa cheap katakana na hizo mbao sio za kujengea whole house mara nyingi wanatumia mbao ngumu ndio maana zinakuwa gharama sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…