Mahitaji
1)Embe bichi kubwa 1 au ndogo ndogo 4
2)Chumvi 2 tablespoon
3)Pilipili ya unga 1 tablespoon
4)Mdalasini wa kijit- 1 kijiti
5)Karafuu 1 (sio lazma)
6)1/2 Kijiko cha chai cha uwatu usiosagwa (uwatu-fenugreek)
7)Paprika 1/2 teaspoon au tandoor masala
8)Chupa ya kuhifadhia mango pickle yako
9)Mafuta ya kupukia 5 tablespoon
Namna ya kutaarisha
1)Osha embe na katakata vipande vidogo vidogo viwe square
2) Weka chumvi katika sufuria kaanga hadi iwe golden brown (usiweke maji)....wacha ipoe
3)Pasha mafuta moto then wacha yapoe kidogo...then add paprika,pilipili,bizari na viungo vyote.....changanya vizuri.....
4)Weka chumvi, na maembe changanya vizuriii
5)Wrap mchanganyiko wako then funika acha ikae overnight ili embe ilainike....
6)Siku ya pili tayari kwa kutumia....plz pendelea kuiweka juani ili embe ilainike vizuri zaid (sio lazima)....
1)Embe bichi kubwa 1 au ndogo ndogo 4
2)Chumvi 2 tablespoon
3)Pilipili ya unga 1 tablespoon
4)Mdalasini wa kijit- 1 kijiti
5)Karafuu 1 (sio lazma)
6)1/2 Kijiko cha chai cha uwatu usiosagwa (uwatu-fenugreek)
7)Paprika 1/2 teaspoon au tandoor masala
8)Chupa ya kuhifadhia mango pickle yako
9)Mafuta ya kupukia 5 tablespoon
Namna ya kutaarisha
1)Osha embe na katakata vipande vidogo vidogo viwe square
2) Weka chumvi katika sufuria kaanga hadi iwe golden brown (usiweke maji)....wacha ipoe
3)Pasha mafuta moto then wacha yapoe kidogo...then add paprika,pilipili,bizari na viungo vyote.....changanya vizuri.....
4)Weka chumvi, na maembe changanya vizuriii
5)Wrap mchanganyiko wako then funika acha ikae overnight ili embe ilainike....
6)Siku ya pili tayari kwa kutumia....plz pendelea kuiweka juani ili embe ilainike vizuri zaid (sio lazima)....
