Kutenguliwa Nape na Makamba: Nampongeza Rais, walishaanza kujisahau

Kutenguliwa Nape na Makamba: Nampongeza Rais, walishaanza kujisahau

Doslamari

New Member
Joined
Jun 21, 2024
Posts
4
Reaction score
1,499
Nampongeza Rais wangu ni mtu mtulivu, anakupa muda usipojirekebisha anakuchapa, hongera mama. Nnape ana tabia ya kujisahau, alishaanza kibri kauli ya juzi ni ushahidi, ni mropokaji, anajidanganya CCM inamwogopa, inamtegemea.

CCM ni tofauti na vyama vingine, CCM haimtegemei mtu, iko juu ya kila mtu. Makamba ujuaji mwingi,nachukia sana akiongea, hana ule unyenyekevu wa kiuongozi. Anapenda sana makuu. Hata 2025 asiwarudishe nchi hii ina wenye sifa wenhi sana.

Uongozi wa juu unahitaji utulivu.

Pia soma > News Alert: - Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
 
Makamba na Nape wametumburiwa Tanzania 🇹🇿 imeturia kifupi watanzania wanayo furaha hisio elezeka
Furaha halisi bado hapo mkuu watu watashangilia kama Timu imepata goli tuendelee kuvuta subra atakaetumbuliwa ili tuwe na hiyo furaha...
 
Sasa jerry silaa mbona alikuwa anafanya kazi nzuri,, anahamishwaje
Hii nchi bwana
Muwe mnatuambia na sababu za ukweli za kuwahamisha hamisha
Kama hawatoshi kwenye nafasi watumbuliwe tu
 
Sasa jerry silaa mbona alikuwa anafanya kazi nzuri,, anahamishwaje
Hii nchi bwana
Muwe mnatuambia na sababu za ukweli za kuwahamisha hamisha
Kama hawatoshi kwenye nafasi watumbuliwe tu
Mihemko na kupenda sana vyombo vya habari, sasa kapelekwa huko awe nao karibu zaidi.
 
Kama kweli wameondolewa kwa kuondolewa na sio kurejeshwa baada ya uchaguzi itakua jambo la heri.
Wanasiasa wanatuonaga "mazuzu" sana Mkuu.
Hapo wamwondolewa ili kumsafishia mama njia 2025.
Utashangaa mara tu baada ya uchaguzi wa mwakani, wanarejea kwa 'kishindo cha wakoma'!
Kwa kweli wanasiasa wanatukosea sana.
 
Mihemko na kupenda sana vyombo vya habari, sasa kapelekwa huko awe nao karibu zaidi.
Hizi ni hadaaa za kucheza na vilaza wa hili Taifa, Raisi ameisha tengeneza maada ya wiki nzima, next week atakuja na maada mpya muendelee kujadili huku wao wanagawana nchi
 
Wanasiasa wanatuonaga "mazuzu" sana Mkuu.
Hapo wamwondolewa ili kumsafishia mama njia 2025.
Utashangaa mara tu baada ya uchaguzi wa mwakani, wanarejea kwa 'kishindo cha wakoma'!
Kwa kweli wanasiasa wanatukosea sana.
Mama anacheza na akili za wajinga wa hili Taifa.
 
Back
Top Bottom