Kutenguliwa Nape na Makamba: Nampongeza Rais, walishaanza kujisahau

Kutenguliwa Nape na Makamba: Nampongeza Rais, walishaanza kujisahau

Kilicho fanyika ni siasa kuwadanganya Wadanganyika watulie... hao jamaa sasa wanapewa jukumu rasmi la maandalizi ya kuiba kura. Watalifanya kwa weledi halafu watarudishwa baada ya uchaguzi baada ya kuombewa msamaha na Mzee Makamba, Kikwete na Kinana.
You nailed it !!
Ndivyo itakavyokuwa !
Na wabongo wanajulikana kuwa huwa hawana kumbukumbu vichwani mwao maana memory card zao vichwani zimejaa kutokana na ubishani unaohusu Simba na Yanga. 😄🤣🤣
 
Ukijiaminisha kuwa wewe ni unteachable ndio shida
Kuna wanaodhani ushirikina utafanya yake kila wakati
Hata waganga hufa pia
Lakini huenda wamewekwa pembeni kwa sababu ya Kazi maalumu inayohusiana na Uchaguzi Mkuu wa 2025 !
Tecnics za msoga gang labda 😝🤦🏽‍♂️

Lakini Nape alishamwaga mchele mbele ya kuku wengi !
 
Hizi ni hadaaa za kucheza na vilaza wa hili Taifa, Raisi ameisha tengeneza maada ya wiki nzima, next week atakuja na maada mpya muendelee kujadili huku wao wanagawana nchi
Sawa at least kaondoka na hawa jamaa,Bado yule mishavu wa tozo pale.
Sijui kakosa mbadala amtoe pale.
 
Sasa jerry silaa mbona alikuwa anafanya kazi nzuri,, anahamishwaje
Hii nchi bwana
Muwe mnatuambia na sababu za ukweli za kuwahamisha hamisha
Kama hawatoshi kwenye nafasi watumbuliwe tu
kazi nziri anatofautiana na maamuzi ya mahakama
 
Back
Top Bottom