Kutenguliwa Nape na Makamba: Nampongeza Rais, walishaanza kujisahau

Kutenguliwa Nape na Makamba: Nampongeza Rais, walishaanza kujisahau

Sasa jerry silaa mbona alikuwa anafanya kazi nzuri,, anahamishwaje
Hii nchi bwana
Jerry Slaa knew too much land law for Samia's tastes and corrupt interest.

Samia anapenda watu watupu vichwani, ni rahisi kuwa manipulate. Watu corrupt, wasema ovyo wanao tisha tisha wananchi na kusaidia kudhibiti dola. Mwiguli types, Chalamila types, Bashe types. Complete meatheads.
 
Sasa jerry silaa mbona alikuwa anafanya kazi nzuri,, anahamishwaje
Hii nchi bwana
Muwe mnatuambia na sababu za ukweli za kuwahamisha hamisha
Kama hawatoshi kwenye nafasi watumbuliwe tu
Huyo shoga yako anamzidi Lukuvi kwenye hiyo wizara?
 
Mbona Mwigulu Nchemba aliyesema tuhamie Burundi kaachwa?
Na hakuna Waziri aliyeboronga kwenye baraza la Mawaziri kama huyu Mwigulu.

Saivi wafanyabiashara kupata dola za kuagizia bidhaa wananunua kwa black market ikiwemo kutoka kwa Wasaidizi wa Rais.

Kuna inflation kubwa sana kwenye bidhaa saivi kutokana na poor management ya uchumi unaosimamiwa na huyu Mwigulu ila Rais wala hasikii kuhusu yeye!

Hii nchi sijui vipaumbele vyake ni vipi kwa kweli!
 
Na kuna kipindi wazee wa Mtama nao walikua hawamtaki yaani Nape alitaka amuaminishe mama kizimkazi kuwa yeye ndie mtalaam wa uchaguzi na hagusiki katika viongozi walikua wanachukiwa yule Nape yumo hapo mama kaupiga
Wahuni a la Polepole
 
Sasa jerry silaa mbona alikuwa anafanya kazi nzuri,, anahamishwaje
Hii nchi bwana
Muwe mnatuambia na sababu za ukweli za kuwahamisha hamisha
Kama hawatoshi kwenye nafasi watumbuliwe tu
utazisikia sababu siku wanaapishwa. wait
 
Kama kweli wameondolewa kwa kuondolewa na sio kurejeshwa baada ya uchaguzi itakua jambo la heri.

Kilicho fanyika ni siasa kuwadanganya Wadanganyika watulie... hao jamaa sasa wanapewa jukumu rasmi la maandalizi ya kuiba kura. Watalifanya kwa weledi halafu watarudishwa baada ya uchaguzi baada ya kuombewa msamaha na Mzee Makamba, Kikwete na Kinana.
 
February bado anajihisi anaweza kuwa prezidaa baadae. Lakini anamuachaje wa fedha hapo. Aende na maji huyu
 
February bado anajihisi anaweza kuwa prezidaa baadae. Lakini anamuachaje wa fedha hapo. Aende na maji huyu
 
Na hakuna Waziri aliyeboronga kwenye baraza la Mawaziri kama huyu Mwigulu.

Saivi wafanyabiashara kupata dola za kuagizia bidhaa wananunua kwa black market ikiwemo kutoka kwa Wasaidizi wa Rais.

Kuna inflation kubwa sana kwenye bidhaa saivi kutokana na poor management ya uchumi unaosimamiwa na huyu Mwigulu ila Rais wala hasikii kuhusu yeye!

Hii nchi sijui vipaumbele vyake ni vipi kwa kweli!
💵👁😇
 
Ukijiaminisha kuwa wewe ni unteachable ndio shida
Kuna wanaodhani ushirikina utafanya yake kila wakati
Hata waganga hufa pia
 
Back
Top Bottom