Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jerry Slaa knew too much land law for Samia's tastes and corrupt interest.Sasa jerry silaa mbona alikuwa anafanya kazi nzuri,, anahamishwaje
Hii nchi bwana
Huyo shoga yako anamzidi Lukuvi kwenye hiyo wizara?Sasa jerry silaa mbona alikuwa anafanya kazi nzuri,, anahamishwaje
Hii nchi bwana
Muwe mnatuambia na sababu za ukweli za kuwahamisha hamisha
Kama hawatoshi kwenye nafasi watumbuliwe tu
Machozi ya furaha 😅😅🤠Lucas Mwashambwa ana maoni gani kuhusiana na hili, je watu wametokwa na machozi ya furaha kwa utenguzi na uteuzi uliofanywa na mama?
Mwanangu ???!!Mbona Mwigulu Nchemba aliyesema tuhamie Burundi kaachwa?
Na hakuna Waziri aliyeboronga kwenye baraza la Mawaziri kama huyu Mwigulu.Mbona Mwigulu Nchemba aliyesema tuhamie Burundi kaachwa?
Wahuni a la PolepoleNa kuna kipindi wazee wa Mtama nao walikua hawamtaki yaani Nape alitaka amuaminishe mama kizimkazi kuwa yeye ndie mtalaam wa uchaguzi na hagusiki katika viongozi walikua wanachukiwa yule Nape yumo hapo mama kaupiga
utazisikia sababu siku wanaapishwa. waitSasa jerry silaa mbona alikuwa anafanya kazi nzuri,, anahamishwaje
Hii nchi bwana
Muwe mnatuambia na sababu za ukweli za kuwahamisha hamisha
Kama hawatoshi kwenye nafasi watumbuliwe tu
hata asiporudi ila wao wajue imekwisha hiyo.Kwani yeye atarudi??
Mwanangu. ???!Mwigulu ana kashfa ki bao mbona yeye ana lelewa?
Joseph Stalin wa Bongo 😳😅🤠 !Sijui Kwa Marope ila Mtama amejichimbia kaburi mwenyewe
Kama kweli wameondolewa kwa kuondolewa na sio kurejeshwa baada ya uchaguzi itakua jambo la heri.
Vipi kama yeye huyo huyo ndiye anayeleta habari humu?Huyo Tanzania Abroad Tv anachukua humu anapost huko na kujisifia
💵👁😇Na hakuna Waziri aliyeboronga kwenye baraza la Mawaziri kama huyu Mwigulu.
Saivi wafanyabiashara kupata dola za kuagizia bidhaa wananunua kwa black market ikiwemo kutoka kwa Wasaidizi wa Rais.
Kuna inflation kubwa sana kwenye bidhaa saivi kutokana na poor management ya uchumi unaosimamiwa na huyu Mwigulu ila Rais wala hasikii kuhusu yeye!
Hii nchi sijui vipaumbele vyake ni vipi kwa kweli!
Lucas amebubujikwa na machozi hatujajua ni ya furaha au huzuniLucas Mwashambwa ana maoni gani kuhusiana na hili, je watu wametokwa na machozi ya furaha kwa utenguzi na uteuzi uliofanywa na mama?