Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
waseme nini wakti wao ndio wahusika
Msibani mchawi ndie hujifanya ana uchungu sana na Marehemu!
waseme nini wakti wao ndio wahusika
nimesoma gazeti la tz daima la leo ukweli nimelitoa thamani hili gazeti tena sana ni bora hata magazeti ya udaku lakini hili gazeti liko moja kwa moja kwenye mfumo wa uchochezi na kupindisha ukweli wa mambo.. kwanza napata tabu na elimu ya mhariri wa gazeti la tz daima kama kweli anaweledi wa uandishi wa habari au ni kachanjanja tu anaandika kinachoelekezwa na mwenye gazeti hilo .............. kwenye mtandao wa fb wengi na wapo watu wanaingia na id ya majina ya watu wengine na majina mengine ni ya kutunga .... leo habari ambayo huna uhakika kama ni ridhiwani au nape kasema unakuja kuiweka kwenye ukurasa wa mbele na ref yake facebook!!!!!! hata kama tz daima liko kisiasa kwa ajili ya kuipaisha chadema lakini kuna umuhimu wa kuhakiki habari mnazozitoa .... juzi juzi wametoka omba radha kwa taarifa ya uongo kuhusu kufukuzwa kwa mwema,nchimbi wasira... na taarifa nyingi za uongo mwindishi anakuw ni" na waandishi wetu"
TUKIO la kutekwa, kuteswa na kujeruhiwa vibaya kwa Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri (TEF) Absalom Kibanda usiku wa kuamkia Jumatano wiki hii, limechukua sura mpya baada ya mtu aliyejitambulisha kama Ridhiwani Kikwete akitumia ukurasa wake wa mtandao wa facebook kutoa maneno ya kejeli, akihoji kama nae ametekwa na Ikulu.
[TD="bgcolor: #ffffff"][/TD]
na Waandishi wetu
[TD="width: 140, bgcolor: #ffffff"]![]()
[/TD]
waseme nini wakti wao ndio wahusika
hakika kuna taaria nyingi juu ya kujeruhiwa kwa bwana absalom kibanda mwenykt wa jukwaa la wahariri,miongoni mwa taarifa hizo ni kuwa bwana mbowe kama bosi wa awali wa bwana kibanda anahusika
wanajanvi mm naona hili linaunganishwa na lile a chacha wangwe nakukipa mashaka chama chetu,,,,,
nashaur mbowe ajitokeze na kuweka wazi endapo kama hawakuwa na maelewano na kibanda mpaka kutishiana maisha au ni uzushi tu wa watu