Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Leo/ jana Rais Samia kafanya tena ile kazi aiwezayo vizuri: kateua na kutengua baadhi ya watumishi wa serikali.
Ila safari hii yawezekana kaandika rekodi ambayo haijawahi kuandikwa duniani [nasimama kusahihishwa endapo nitakuwa nimekosea].
Kateua mtu ambaye keshakufa!
Hii ni aibu sana. Ni ishara inayoonyesha tunaongozwa na watu wasio makini kabisa.
Baadhi yetu tumeshaizungumzia hiyo tabia ya kuteua watu bila hata ya kuwajulisha na watu hao wanakuja kujua juu ya hizo teuzi zao kupitia mitandao ya kijamii au vyombo vya habari.
Binafsi nilianza kuiona hiyo tabia kipindi cha Rais Magufuli. Rais Samia naye naona anaiendeleza hiyo tabia kwa ari maradufu na kilele chake ndo hizi teuzi mpya!
Miaka 4 iliyopita tulijadili hiyo tabia.
Modus operandi ya Rais Magufuli ni ya ajabu!
Baada ya Rais Samia kuingia madarakani, tukalijadili tena hilo suala.
Mtu Pekee aliyekataa teuzi wakati wa Magufuli ni ndugu Maswanya
Mwaka jana napo tukaendelea kulijadili suala hilo hilo!
Kuteuliwa na mamlaka za nchi ni heshima kubwa, anayekataa basi kuna maovu anataka kuficha kwenye nafasi aliyo nayo
Leo tena/ jana suala hilo hilo limejirudia!
Wanateuliwa mpaka waliokufa.
Mbona ni jambo rahisi sana….ingalikuwa wateuliwa wanajulishwa kabla ya kuteuliwa kwao, aibu kama hizo za kuteua watu waliokwishakufa zisingekuwa zinatokea.
Just a simple phone call to the person letting them know ‘hey, I’m thinking of appointing you to this or that position, what do you think’?, would prevent all this embarrassment.
Bumboclats….
Pia soma:
Ila safari hii yawezekana kaandika rekodi ambayo haijawahi kuandikwa duniani [nasimama kusahihishwa endapo nitakuwa nimekosea].
Kateua mtu ambaye keshakufa!
Hii ni aibu sana. Ni ishara inayoonyesha tunaongozwa na watu wasio makini kabisa.
Baadhi yetu tumeshaizungumzia hiyo tabia ya kuteua watu bila hata ya kuwajulisha na watu hao wanakuja kujua juu ya hizo teuzi zao kupitia mitandao ya kijamii au vyombo vya habari.
Binafsi nilianza kuiona hiyo tabia kipindi cha Rais Magufuli. Rais Samia naye naona anaiendeleza hiyo tabia kwa ari maradufu na kilele chake ndo hizi teuzi mpya!
Miaka 4 iliyopita tulijadili hiyo tabia.
Modus operandi ya Rais Magufuli ni ya ajabu!
Baada ya Rais Samia kuingia madarakani, tukalijadili tena hilo suala.
Mtu Pekee aliyekataa teuzi wakati wa Magufuli ni ndugu Maswanya
Mwaka jana napo tukaendelea kulijadili suala hilo hilo!
Kuteuliwa na mamlaka za nchi ni heshima kubwa, anayekataa basi kuna maovu anataka kuficha kwenye nafasi aliyo nayo
Leo tena/ jana suala hilo hilo limejirudia!
Wanateuliwa mpaka waliokufa.
Mbona ni jambo rahisi sana….ingalikuwa wateuliwa wanajulishwa kabla ya kuteuliwa kwao, aibu kama hizo za kuteua watu waliokwishakufa zisingekuwa zinatokea.
Just a simple phone call to the person letting them know ‘hey, I’m thinking of appointing you to this or that position, what do you think’?, would prevent all this embarrassment.
Bumboclats….
Pia soma: