Kuteuwa Wakurugenzi nje ya Utumishi wa Umma hakupaswi kufumbiwa Macho

Kuteuwa Wakurugenzi nje ya Utumishi wa Umma hakupaswi kufumbiwa Macho

Kimsingi, hakuna teuzi yeyote anayofanya Rais isiyokuwa na masharti. Wakurugenzi ni watumishi wa umma ambao ni permanent and pensionable. Wanatambulika kwenye muundo wa utumishi wa umma. Na sifa za kuwa mkurugenzi ni kuwa angalau umetumikia managerial position ya ukuu wa Idara kwa miaka mitano.

Makosa ya kuteua watendaji nje ya utumishi wa umma alianza nayo Magufuli, naona mama nae anaendeleza. Hii ni dhambi, inapaswa tuikemee kama ambavyo tulikemea DPW.

Mkurugenzi wa Tanesco alitoka nje ya utumishi wa umma. Tanesco imemshinda. Sasa wanamhamishia TTCL, si kwa sababu anaweza, bali hamna pa kumpeleka kwa sababu tayari kawa mtumishi wa umma wa ajira ya kudumu. Na mshahara wake hautashuka hata kama watampa kazi ya kufagia ofisi.

Huko halmashauri ni yale yale. Rais anateua mwenyekiti wa CCM kuwa mkurugenzi wa halmashauri. Kweli? Anajuwa kazi? Ana vigezo kwa mujibu wa utumishi wa umma na scheme of service? Kwa kawaida mkurugenzi anapaswa kuwa kawahi kuwa mkuu wa idara kwenye local government au hata kwenye madhirika ya umma. Sasa unaleta mtu kutoka nje. Inamaanisha watu waliopo ndani ya utumishi wa umma hawafai? Hii ni kuwadharau seniors walioko kwenye utumishi wa umma. Na kumbuka kwenye utumishi wa umma kuna succession plan. Mkurugenzi lazima aandae mtu ambae anaweza kushika nafasi yake kwa kuwa anamkaimisha na. Ndivyo utumishi wa umma unafanya kazi.
Sasa huyu wa kufundishwa kazi anawezaje andaa viongozi wengine? Remember, namna utumishi wa umma unafanya kazi ni tofauti kabisa na uongozi ktk siasa ama private sector.

Fikiria akaja Rais mwingine na akaona mkurugenzi huyu hafai, anamtengua. Atafanya kazi gani? Magufuli alikuwa anawatengua, anakaa kimya. Wanakaa kula mshahara bila kazi. Wakienda kuomba msamaha anawapa kazi nyingine kama ukatibu tawala. Ndo maana wage bill ilikuwa kubwa sana.

Jambo jingine, Mkurugenzi kupewa jukumu la kusimamia uchaguzi ni kwa sababu kikatiba mkurugenzi hapaswi kuwa kada wa chama chochote cha siasa. Sasa unamuweka kada, anawezaje kutenda haki?

Tukemee kwa nguvu zetu zote
Rais wetu aliahidi mabadiliko ila Sasa anachofanya ni tofauti. Kamuweka mkwe wake kuwa mkuu wa TAMISEMI ili asimamie vizuri ushindi wake. Licha ya hivyo kaanza kuweka mwenyekiti wa CCM kuwa Mkurugenzi akafanye ukada.
 
Tufikie Mahali tuache kulalamika.

Tuhakikishe haufanyiki uchaguzi wowote 2024/2025 kabla ya kupatikana Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi.

Amen.
Shida vyama vyetu havina msimamo, huo muda ukifika wanaenda kushiriki. Inabidi wawe wamoja sio kumuogopa CCM .
 
Mbarali CDM ilisusia,

Uchaguzi ujao wa MITAA na mkuu, hakuna kususia,

Tuhakikishe haufanyiki Kwa maandamano Hadi ipatikane Tume huru ya Uchaguzi Kwa kubadili vipengele kadhaa kwenye Katiba iliyopo.
CDM ikishiriki nitashangaa Sana. Acha hao ACT na washirika wenzake wa CCM washiriki.
 
Shida vyama vyetu havina msimamo, huo muda ukifika wanaenda kushiriki. Inabidi wawe wamoja sio kumuogopa CCM .
Kuna chama kingine Cha upinzani Tanganyika zaidi ya CDM?

Ushirika na wasaliti hautofanikiwa, wakitangaza kushiriki, wanawekwwa kundi moja na CCCm!!
 
Kimsingi, hakuna teuzi yeyote anayofanya Rais isiyokuwa na masharti. Wakurugenzi ni watumishi wa umma ambao ni permanent and pensionable. Wanatambulika kwenye muundo wa utumishi wa umma. Na sifa za kuwa mkurugenzi ni kuwa angalau umetumikia managerial position ya ukuu wa Idara kwa miaka mitano.

Makosa ya kuteua watendaji nje ya utumishi wa umma alianza nayo Magufuli, naona mama nae anaendeleza. Hii ni dhambi, inapaswa tuikemee kama ambavyo tulikemea DPW.

Mkurugenzi wa Tanesco alitoka nje ya utumishi wa umma. Tanesco imemshinda. Sasa wanamhamishia TTCL, si kwa sababu anaweza, bali hamna pa kumpeleka kwa sababu tayari kawa mtumishi wa umma wa ajira ya kudumu. Na mshahara wake hautashuka hata kama watampa kazi ya kufagia ofisi.

Huko halmashauri ni yale yale. Rais anateua mwenyekiti wa CCM kuwa mkurugenzi wa halmashauri. Kweli? Anajuwa kazi? Ana vigezo kwa mujibu wa utumishi wa umma na scheme of service? Kwa kawaida mkurugenzi anapaswa kuwa kawahi kuwa mkuu wa idara kwenye local government au hata kwenye madhirika ya umma. Sasa unaleta mtu kutoka nje. Inamaanisha watu waliopo ndani ya utumishi wa umma hawafai? Hii ni kuwadharau seniors walioko kwenye utumishi wa umma. Na kumbuka kwenye utumishi wa umma kuna succession plan. Mkurugenzi lazima aandae mtu ambae anaweza kushika nafasi yake kwa kuwa anamkaimisha na. Ndivyo utumishi wa umma unafanya kazi.
Sasa huyu wa kufundishwa kazi anawezaje andaa viongozi wengine? Remember, namna utumishi wa umma unafanya kazi ni tofauti kabisa na uongozi ktk siasa ama private sector.

Fikiria akaja Rais mwingine na akaona mkurugenzi huyu hafai, anamtengua. Atafanya kazi gani? Magufuli alikuwa anawatengua, anakaa kimya. Wanakaa kula mshahara bila kazi. Wakienda kuomba msamaha anawapa kazi nyingine kama ukatibu tawala. Ndo maana wage bill ilikuwa kubwa sana.

Jambo jingine, Mkurugenzi kupewa jukumu la kusimamia uchaguzi ni kwa sababu kikatiba mkurugenzi hapaswi kuwa kada wa chama chochote cha siasa. Sasa unamuweka kada, anawezaje kutenda haki?

Tukemee kwa nguvu zetu zote
KIFUPI NAFASI ZA WAKURUGENZI ZITANGAZWE WATANZANIA WENYE SIFA ZAO WAOMBE
KISHA WALIOCHAGULIWA RAIS AWATEUE
UKADA UNALIGHARIMU TAIFA KODI ZA MASIKINI WANANCHI ZINALIWA NA HAWA MAKADA
 
Kimsingi, hakuna teuzi yeyote anayofanya Rais isiyokuwa na masharti. Wakurugenzi ni watumishi wa umma ambao ni permanent and pensionable. Wanatambulika kwenye muundo wa utumishi wa umma. Na sifa za kuwa mkurugenzi ni kuwa angalau umetumikia managerial position ya ukuu wa Idara kwa miaka mitano.

Makosa ya kuteua watendaji nje ya utumishi wa umma alianza nayo Magufuli, naona mama nae anaendeleza. Hii ni dhambi, inapaswa tuikemee kama ambavyo tulikemea DPW.

Mkurugenzi wa Tanesco alitoka nje ya utumishi wa umma. Tanesco imemshinda. Sasa wanamhamishia TTCL, si kwa sababu anaweza, bali hamna pa kumpeleka kwa sababu tayari kawa mtumishi wa umma wa ajira ya kudumu. Na mshahara wake hautashuka hata kama watampa kazi ya kufagia ofisi.

Huko halmashauri ni yale yale. Rais anateua mwenyekiti wa CCM kuwa mkurugenzi wa halmashauri. Kweli? Anajuwa kazi? Ana vigezo kwa mujibu wa utumishi wa umma na scheme of service? Kwa kawaida mkurugenzi anapaswa kuwa kawahi kuwa mkuu wa idara kwenye local government au hata kwenye madhirika ya umma. Sasa unaleta mtu kutoka nje. Inamaanisha watu waliopo ndani ya utumishi wa umma hawafai? Hii ni kuwadharau seniors walioko kwenye utumishi wa umma. Na kumbuka kwenye utumishi wa umma kuna succession plan. Mkurugenzi lazima aandae mtu ambae anaweza kushika nafasi yake kwa kuwa anamkaimisha na. Ndivyo utumishi wa umma unafanya kazi.
Sasa huyu wa kufundishwa kazi anawezaje andaa viongozi wengine? Remember, namna utumishi wa umma unafanya kazi ni tofauti kabisa na uongozi ktk siasa ama private sector.

Fikiria akaja Rais mwingine na akaona mkurugenzi huyu hafai, anamtengua. Atafanya kazi gani? Magufuli alikuwa anawatengua, anakaa kimya. Wanakaa kula mshahara bila kazi. Wakienda kuomba msamaha anawapa kazi nyingine kama ukatibu tawala. Ndo maana wage bill ilikuwa kubwa sana.

Jambo jingine, Mkurugenzi kupewa jukumu la kusimamia uchaguzi ni kwa sababu kikatiba mkurugenzi hapaswi kuwa kada wa chama chochote cha siasa. Sasa unamuweka kada, anawezaje kutenda haki?

Tukemee kwa nguvu zetu zote
Umeongea point tupu tatizo wanatuona manyani
 
Waliokosa ubunge akawapa uded
Ubalozi umekuwa deal ya wakubwa kwenda kupunzika na kuwa acha career diplomats wakisugua mabench
Nasikia hata ujaji una harufu hiyo hiyo. Je tutafika?
 
Kimsingi, hakuna teuzi yeyote anayofanya Rais isiyokuwa na masharti. Wakurugenzi ni watumishi wa umma ambao ni permanent and pensionable. Wanatambulika kwenye muundo wa utumishi wa umma. Na sifa za kuwa mkurugenzi ni kuwa angalau umetumikia managerial position ya ukuu wa Idara kwa miaka mitano.

Makosa ya kuteua watendaji nje ya utumishi wa umma alianza nayo Magufuli, naona mama nae anaendeleza. Hii ni dhambi, inapaswa tuikemee kama ambavyo tulikemea DPW.

Mkurugenzi wa Tanesco alitoka nje ya utumishi wa umma. Tanesco imemshinda. Sasa wanamhamishia TTCL, si kwa sababu anaweza, bali hamna pa kumpeleka kwa sababu tayari kawa mtumishi wa umma wa ajira ya kudumu. Na mshahara wake hautashuka hata kama watampa kazi ya kufagia ofisi.

Huko halmashauri ni yale yale. Rais anateua mwenyekiti wa CCM kuwa mkurugenzi wa halmashauri. Kweli? Anajuwa kazi? Ana vigezo kwa mujibu wa utumishi wa umma na scheme of service? Kwa kawaida mkurugenzi anapaswa kuwa kawahi kuwa mkuu wa idara kwenye local government au hata kwenye madhirika ya umma. Sasa unaleta mtu kutoka nje. Inamaanisha watu waliopo ndani ya utumishi wa umma hawafai? Hii ni kuwadharau seniors walioko kwenye utumishi wa umma. Na kumbuka kwenye utumishi wa umma kuna succession plan. Mkurugenzi lazima aandae mtu ambae anaweza kushika nafasi yake kwa kuwa anamkaimisha na. Ndivyo utumishi wa umma unafanya kazi.
Sasa huyu wa kufundishwa kazi anawezaje andaa viongozi wengine? Remember, namna utumishi wa umma unafanya kazi ni tofauti kabisa na uongozi ktk siasa ama private sector.

Fikiria akaja Rais mwingine na akaona mkurugenzi huyu hafai, anamtengua. Atafanya kazi gani? Magufuli alikuwa anawatengua, anakaa kimya. Wanakaa kula mshahara bila kazi. Wakienda kuomba msamaha anawapa kazi nyingine kama ukatibu tawala. Ndo maana wage bill ilikuwa kubwa sana.

Jambo jingine, Mkurugenzi kupewa jukumu la kusimamia uchaguzi ni kwa sababu kikatiba mkurugenzi hapaswi kuwa kada wa chama chochote cha siasa. Sasa unamuweka kada, anawezaje kutenda haki?

Tukemee kwa nguvu zetu zote
umeumia 🤣
una ajira ya kudumu tena unapewa ajira nyingine na wasio na ajira wafanye nini?

Acha gubu watu wengine nao wapate ulaji pia khaaaa
 
Kada wa chama anakuwaje DED ambayo ni purely position ya kiutendaji katika utumishi wa umma, tangu lini majukumu ya DED yakawa ni pamoja na kufanya siasa? nchi imeshafika mahala pabaya sana na likija swala la katiba mpya wanaendeleza danadana ili waendelee kubaki na mamlaka yaliyopitiliza kiwango...​
 
Ccm imeharibu hii nchi,ila kuna wapuuzi wanagalagala,abusrd
 
Kimsingi, hakuna teuzi yeyote anayofanya Rais isiyokuwa na masharti. Wakurugenzi ni watumishi wa umma ambao ni permanent and pensionable. Wanatambulika kwenye muundo wa utumishi wa umma. Na sifa za kuwa mkurugenzi ni kuwa angalau umetumikia managerial position ya ukuu wa Idara kwa miaka mitano.

Makosa ya kuteua watendaji nje ya utumishi wa umma alianza nayo Magufuli, naona mama nae anaendeleza. Hii ni dhambi, inapaswa tuikemee kama ambavyo tulikemea DPW.

Mkurugenzi wa Tanesco alitoka nje ya utumishi wa umma. Tanesco imemshinda. Sasa wanamhamishia TTCL, si kwa sababu anaweza, bali hamna pa kumpeleka kwa sababu tayari kawa mtumishi wa umma wa ajira ya kudumu. Na mshahara wake hautashuka hata kama watampa kazi ya kufagia ofisi.

Huko halmashauri ni yale yale. Rais anateua mwenyekiti wa CCM kuwa mkurugenzi wa halmashauri. Kweli? Anajuwa kazi? Ana vigezo kwa mujibu wa utumishi wa umma na scheme of service? Kwa kawaida mkurugenzi anapaswa kuwa kawahi kuwa mkuu wa idara kwenye local government au hata kwenye madhirika ya umma. Sasa unaleta mtu kutoka nje. Inamaanisha watu waliopo ndani ya utumishi wa umma hawafai? Hii ni kuwadharau seniors walioko kwenye utumishi wa umma. Na kumbuka kwenye utumishi wa umma kuna succession plan. Mkurugenzi lazima aandae mtu ambae anaweza kushika nafasi yake kwa kuwa anamkaimisha na. Ndivyo utumishi wa umma unafanya kazi.
Sasa huyu wa kufundishwa kazi anawezaje andaa viongozi wengine? Remember, namna utumishi wa umma unafanya kazi ni tofauti kabisa na uongozi ktk siasa ama private sector.

Fikiria akaja Rais mwingine na akaona mkurugenzi huyu hafai, anamtengua. Atafanya kazi gani? Magufuli alikuwa anawatengua, anakaa kimya. Wanakaa kula mshahara bila kazi. Wakienda kuomba msamaha anawapa kazi nyingine kama ukatibu tawala. Ndo maana wage bill ilikuwa kubwa sana.

Jambo jingine, Mkurugenzi kupewa jukumu la kusimamia uchaguzi ni kwa sababu kikatiba mkurugenzi hapaswi kuwa kada wa chama chochote cha siasa. Sasa unamuweka kada, anawezaje kutenda haki?

Tukemee kwa nguvu zetu zote
Haijalishi mtu anateuliwa kutoka wapi, kikubwa watu wateuliwe kwa kuzingatia weledi wao unaendana na maeneo wanayopelekwa na uwezekano wa wao kuleta mabadiliko chanya kwa kutegemea uzoefu na mambo aliyowahi fanya anaeteuliwa . Hizi teuzi zenye msukumo wa kisiasa hazitatufikisha popote kama taifa.
 
Magufuli aliamua “kutengua” nguvu ya utumishi wa umma, kuwaondolea watumishi ile hali ya kujiamini kwamba wako kikatiba na kisheria kutumikia umma na badala yake wajue wanatumika kwa ridhaa na huruma yake. Wasahau dhana ya kutumikia umma (public service); badala yake wajue kwamba kipaumbele ni kumtumikia yeye binafsi. Kwamba he can hire and fire them anyway, anyhow as it pleases him. Akatupilia mbali miongozo yote ya schemes of service.

Rais wa awamu ya sita naye kagundua huo ni mkakati wenye manufaa sana kwake; hivyo kaushikilia. Unampa uhuru wa kuchezesha watumishi wa umma kama kete za draft watumikie maslahi yake. Pia unamwezesha kugawa fursa za ajira kwa vijana wake, ndugu, jamaa, marafiki na machawa bila vikwazo. Hata kijana anayemaliza chuo tu anaweza kupewa ukurugenzi! Indeed, civil service is virtually dead and buried in Tz.

Hapa ndipo jeuri ya viongozi wa CCM ilipofikia tangu walivyorithi madaraka makuu ya uRais (absolute presidential power) toka kwa Nyerere ambayo hawana mpango wa kuyaachia.

Tawala za kidikteta hushamiri pasipo na sheria wala kanuni za haja.
 
Kimsingi, hakuna teuzi yeyote anayofanya Rais isiyokuwa na masharti. Wakurugenzi ni watumishi wa umma ambao ni permanent and pensionable. Wanatambulika kwenye muundo wa utumishi wa umma. Na sifa za kuwa mkurugenzi ni kuwa angalau umetumikia managerial position ya ukuu wa Idara kwa miaka mitano.

Makosa ya kuteua watendaji nje ya utumishi wa umma alianza nayo Magufuli, naona mama nae anaendeleza. Hii ni dhambi, inapaswa tuikemee kama ambavyo tulikemea DPW.

Mkurugenzi wa Tanesco alitoka nje ya utumishi wa umma. Tanesco imemshinda. Sasa wanamhamishia TTCL, si kwa sababu anaweza, bali hamna pa kumpeleka kwa sababu tayari kawa mtumishi wa umma wa ajira ya kudumu. Na mshahara wake hautashuka hata kama watampa kazi ya kufagia ofisi.

Huko halmashauri ni yale yale. Rais anateua mwenyekiti wa CCM kuwa mkurugenzi wa halmashauri. Kweli? Anajuwa kazi? Ana vigezo kwa mujibu wa utumishi wa umma na scheme of service? Kwa kawaida mkurugenzi anapaswa kuwa kawahi kuwa mkuu wa idara kwenye local government au hata kwenye madhirika ya umma. Sasa unaleta mtu kutoka nje. Inamaanisha watu waliopo ndani ya utumishi wa umma hawafai? Hii ni kuwadharau seniors walioko kwenye utumishi wa umma. Na kumbuka kwenye utumishi wa umma kuna succession plan. Mkurugenzi lazima aandae mtu ambae anaweza kushika nafasi yake kwa kuwa anamkaimisha na. Ndivyo utumishi wa umma unafanya kazi.
Sasa huyu wa kufundishwa kazi anawezaje andaa viongozi wengine? Remember, namna utumishi wa umma unafanya kazi ni tofauti kabisa na uongozi ktk siasa ama private sector.

Fikiria akaja Rais mwingine na akaona mkurugenzi huyu hafai, anamtengua. Atafanya kazi gani? Magufuli alikuwa anawatengua, anakaa kimya. Wanakaa kula mshahara bila kazi. Wakienda kuomba msamaha anawapa kazi nyingine kama ukatibu tawala. Ndo maana wage bill ilikuwa kubwa sana.

Jambo jingine, Mkurugenzi kupewa jukumu la kusimamia uchaguzi ni kwa sababu kikatiba mkurugenzi hapaswi kuwa kada wa chama chochote cha siasa. Sasa unamuweka kada, anawezaje kutenda haki?

Tukemee kwa nguvu zetu zote
Uko sahihi kabisa na umeliweka vizuri jambo hili.
Utumishi wa umma umegawanyika katika makundi mawili: civil service na millitary service. Civil servants na millitary servants ni uttumishi wa kudumu (permanent) na unaongozwa na kanuni kuu (principle) ya kwamba watakuwa watiifu kwa mwanasiasa yo yote atakayekuwa madarakani. Wao civil servants na millitary servants hawaruhusiwi kuwa wanasiasa wala kuwa wanachama wa chama cho cho chote cha siasa.

Utumishi wa kisiasa (polititical servants) aka wanasiasa, ni utumishi wa kuwakilisha matakwa ya watu/umma. Uongozi katika utumishi wa kisiasa hupatikana kwa kuchaguliwa na umma au chama cha siasa. Utumishi huu wa kisiasa si wa kudumu na hauna pensheni.

Tatizo ni kwamba wanasiasa wameanza kuyachanganya haya makundi. Wanasiasa wamekuwa wakichukua uongozi wa civil service kwa kofia ya kuteuliwa na rais badala ya civil service commission kama ambavyo sheria ya utumishi wa umma inavyoelekeza. Ni wakuu wa wilaya na mikoa pekee huko wilayani na mikoani ndiyo wanapaswa kuteuliwa moja kwa moja na raisi kama wawakilishi wake wa kisiasa
 
Acheni wivu

OIG.TKdhvj2EVMQ6oX7.jpeg
 
Kimsingi, hakuna teuzi yeyote anayofanya Rais isiyokuwa na masharti. Wakurugenzi ni watumishi wa umma ambao ni permanent and pensionable. Wanatambulika kwenye muundo wa utumishi wa umma. Na sifa za kuwa mkurugenzi ni kuwa angalau umetumikia managerial position ya ukuu wa Idara kwa miaka mitano.

Makosa ya kuteua watendaji nje ya utumishi wa umma alianza nayo Magufuli, naona mama nae anaendeleza. Hii ni dhambi, inapaswa tuikemee kama ambavyo tulikemea DPW.

Mkurugenzi wa Tanesco alitoka nje ya utumishi wa umma. Tanesco imemshinda. Sasa wanamhamishia TTCL, si kwa sababu anaweza, bali hamna pa kumpeleka kwa sababu tayari kawa mtumishi wa umma wa ajira ya kudumu. Na mshahara wake hautashuka hata kama watampa kazi ya kufagia ofisi.

Huko halmashauri ni yale yale. Rais anateua mwenyekiti wa CCM kuwa mkurugenzi wa halmashauri. Kweli? Anajuwa kazi? Ana vigezo kwa mujibu wa utumishi wa umma na scheme of service? Kwa kawaida mkurugenzi anapaswa kuwa kawahi kuwa mkuu wa idara kwenye local government au hata kwenye madhirika ya umma. Sasa unaleta mtu kutoka nje. Inamaanisha watu waliopo ndani ya utumishi wa umma hawafai? Hii ni kuwadharau seniors walioko kwenye utumishi wa umma. Na kumbuka kwenye utumishi wa umma kuna succession plan. Mkurugenzi lazima aandae mtu ambae anaweza kushika nafasi yake kwa kuwa anamkaimisha na. Ndivyo utumishi wa umma unafanya kazi.
Sasa huyu wa kufundishwa kazi anawezaje andaa viongozi wengine? Remember, namna utumishi wa umma unafanya kazi ni tofauti kabisa na uongozi ktk siasa ama private sector.

Fikiria akaja Rais mwingine na akaona mkurugenzi huyu hafai, anamtengua. Atafanya kazi gani? Magufuli alikuwa anawatengua, anakaa kimya. Wanakaa kula mshahara bila kazi. Wakienda kuomba msamaha anawapa kazi nyingine kama ukatibu tawala. Ndo maana wage bill ilikuwa kubwa sana.

Jambo jingine, Mkurugenzi kupewa jukumu la kusimamia uchaguzi ni kwa sababu kikatiba mkurugenzi hapaswi kuwa kada wa chama chochote cha siasa. Sasa unamuweka kada, anawezaje kutenda haki?

Tukemee kwa nguvu zetu zote
Chawa wanakula shavu 10 then wanajitokeza 10,000 wakidhani watateuliwa. Ni mbinu ya kuwashika akili.
 
Jambo jingine, Mkurugenzi kupewa jukumu la kusimamia uchaguzi ni kwa sababu kikatiba mkurugenzi hapaswi kuwa kada wa chama chochote cha siasa. Sasa unamuweka kada, anawezaje kutenda haki?
Wasipofanya hivyo 2025 hawarudi
 
T
Kimsingi, hakuna teuzi yeyote anayofanya Rais isiyokuwa na masharti. Wakurugenzi ni watumishi wa umma ambao ni permanent and pensionable. Wanatambulika kwenye muundo wa utumishi wa umma. Na sifa za kuwa mkurugenzi ni kuwa angalau umetumikia managerial position ya ukuu wa Idara kwa miaka mitano.

Makosa ya kuteua watendaji nje ya utumishi wa umma alianza nayo Magufuli, naona mama nae anaendeleza. Hii ni dhambi, inapaswa tuikemee kama ambavyo tulikemea DPW.

Mkurugenzi wa Tanesco alitoka nje ya utumishi wa umma. Tanesco imemshinda. Sasa wanamhamishia TTCL, si kwa sababu anaweza, bali hamna pa kumpeleka kwa sababu tayari kawa mtumishi wa umma wa ajira ya kudumu. Na mshahara wake hautashuka hata kama watampa kazi ya kufagia ofisi.

Huko halmashauri ni yale yale. Rais anateua mwenyekiti wa CCM kuwa mkurugenzi wa halmashauri. Kweli? Anajuwa kazi? Ana vigezo kwa mujibu wa utumishi wa umma na scheme of service? Kwa kawaida mkurugenzi anapaswa kuwa kawahi kuwa mkuu wa idara kwenye local government au hata kwenye madhirika ya umma. Sasa unaleta mtu kutoka nje. Inamaanisha watu waliopo ndani ya utumishi wa umma hawafai? Hii ni kuwadharau seniors walioko kwenye utumishi wa umma. Na kumbuka kwenye utumishi wa umma kuna succession plan. Mkurugenzi lazima aandae mtu ambae anaweza kushika nafasi yake kwa kuwa anamkaimisha na. Ndivyo utumishi wa umma unafanya kazi.
Sasa huyu wa kufundishwa kazi anawezaje andaa viongozi wengine? Remember, namna utumishi wa umma unafanya kazi ni tofauti kabisa na uongozi ktk siasa ama private sector.

Fikiria akaja Rais mwingine na akaona mkurugenzi huyu hafai, anamtengua. Atafanya kazi gani? Magufuli alikuwa anawatengua, anakaa kimya. Wanakaa kula mshahara bila kazi. Wakienda kuomba msamaha anawapa kazi nyingine kama ukatibu tawala. Ndo maana wage bill ilikuwa kubwa sana.

Jambo jingine, Mkurugenzi kupewa jukumu la kusimamia uchaguzi ni kwa sababu kikatiba mkurugenzi hapaswi kuwa kada wa chama chochote cha siasa. Sasa unamuweka kada, anawezaje kutenda haki?

Tukemee kwa nguvu zetu zote
Tunaposema Katiba Mpya ni MUHIMU SANA Sasa kupatikana muwe mnatuelewa. Katiba Mpya siyo suala la Wanasiasa peke yao bali ni suala linalowahusu Raia wote waliopo kwenye nchi hii.
 
Kuna kitu hukijui au unakisahau.
Siyo kila kiongozi wa CCM hajapitia utumishi wa umma kabla ya kupewa uongozi CCM.
Sasa siku akirudishwa serikalini huwezi kusema hana uzoefu kwenye utumishi wa umma.
Mfano kuna katibu wa CCM mkoa fulani wa kaskazini alikuwa mwalimu serikalini kwa miaka mingi.
 
Back
Top Bottom