- Thread starter
- #21
Hakuna loss yeyote kkkama umekutikana na upungufu wa lita za mafuta na ukasimamishwa
bora ukubali yaishe
haya Makampuni ya watu binafsi si serikali imekuajiri na kukuwekea mafao hapo ndipo unaweza ishinda lakini sio Mkinga au Mchagga watakumaliza
ulichochuma kimbia nacho hao si waarabu wau wahindi watakumaliza