Hakuna loss yeyote kkkama umekutikana na upungufu wa lita za mafuta na ukasimamishwa
bora ukubali yaishe
haya Makampuni ya watu binafsi si serikali imekuajiri na kukuwekea mafao hapo ndipo unaweza ishinda lakini sio Mkinga au Mchagga watakumaliza
ulichochuma kimbia nacho hao si waarabu wau wahindi watakumaliza
Kwenye gariMafuta unayodaiwa kuiba ni kutoka kisima, chombo cha usafiri au stoo?
Hakuna loss yeyote kk
jamaa yangu km umenyonya kwenye gari la mswahiliKwenye gari
Hahaa waswahili wanakaba mpaka penaltjamaa yangu km umenyonya kwenye gari la mswahili
wacha kabisa na wala usibishane naye muombe msamaha au usepe tu
Nashukuru sanaJamani anasema hajaiba mbona tunamgeuza kama samaki kibua. Yeye hajaiba arelax. Sometime waajiri wanatafuta kukutoa kwa kukutafutia kosa maana wanajua hawana mikataba mizuri ya ajiri na yule dogo juzi kawalamba mil 5 wengine kwa kutotoa mikataba ya ajira
Kimsingi Yeye anayekutuhimu ndiye anayetakiwa kuthibitisha pasipo shaka dai lake kuwa umeiba
Kazi ya polisi ni kukamata kuchunguza na kumfungulia mashtaka mshukiwa mahakamani,kazi ya mahakama ni kuthibitisha kosaPolisi waliona sina hatia Ila mwajiri yeye akadai nina kosa la wizi akaamua kunifukuza kazi.