Kuthibitisha kosa la wizi mahakamani

Hakuna loss yeyote kk
 
Jamani anasema hajaiba mbona tunamgeuza kama samaki kibua. Yeye hajaiba arelax. Sometime waajiri wanatafuta kukutoa kwa kukutafutia kosa maana wanajua hawana mikataba mizuri ya ajiri na yule dogo juzi kawalamba mil 5 wengine kwa kutotoa mikataba ya ajira
Kimsingi Yeye anayekutuhimu ndiye anayetakiwa kuthibitisha pasipo shaka dai lake kuwa umeiba
 
Nashukuru sana
 
Write your reply...Km ni kweli umeiba basi anaoushahid wa kutosha na huenda ndio maana anajiamini kukuachisha kazi.so kuwa makini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…