Kutimiza ahadi kwa kiongozi ni taswira ya heshima yake: Ahadi ya mama ya goli moja sh 10M kwa Simba

Kutimiza ahadi kwa kiongozi ni taswira ya heshima yake: Ahadi ya mama ya goli moja sh 10M kwa Simba

Ni kweli kabisa kushindwa kutimiza ahadi kwa mtu ni nonsense!! Haileti mantiki nzuri!! It is opposed to sense (hence nonsense) in failing to abide to one's pledges!! Kinachosikitisha ni haop wasaidizi ambao walipaswa kumsaidia mama, ndo wanakuwa wa kwanza kumwandalia mazingira ya kuonekana si wa kuaminika!!
Mkuu mambo mengine kama hukuelewa ni bora tu ukakaa kimya!! Kuliko kuji expose hivi na kuonekana HAMNAZO!! msigwa alitumia kiswahili kabisa hukumuelewa, daaa!!! Kwani teknolojia si ipo katafute ile clip uisikilize tena!! "KILA MECHI MTAKAYOSHINDA"
 
Uhusiano wa kiswahili na Dar ni kwamba asili ya Kiswahili kwa Tanzania ni ukanda wa pwani.
Ukimuona mkazi wa Dar hajui kiswahili huyo sio mswahili atakuwa mhamiaji.
Kwa taarifa yako pwani wanaojua kiswahili ni Tanga na wazaram wa bagamoyo,wamakonde,wandengereko, wazaram wa kisarawe,mkuranga wanaboronga kiswahili...radi wanaitwa Radu,korosho-koroshi
 
Dawa ya deni nikulipa.

kibu denis alivyokimbia bila kutumia akili asipate ata soda jamani., mpaka imefikia hatua chama anaenda kuomba juice kwa waarabu kweliiii?

mama wape makolo mil 30 yao wazee wa kufa kibabe, wakija kupigwa na mashujaa kwenye mshono kabla kidonda hakijapona wawe na mil 30 yao.
 
Timu ikiwa timu imeshinda ndilo tamko la mwisho la mama. Nililisikia.

Kwa kuwa umepata goli tu, bila ushindi wa mechi hiyo ulipwe? Ujinga huo.
Mbona Uto walilipwa hako kagoli kamoja japo walifungwa? Hiyo ndiyo akili au?
 
Wote tulisikia na tulielewa!! Kuwa mama amewaahidi simba sh 10M kwa kila goli watakalofunga!! Hayo maelezo ya ziada hakuyasema na hatukuyasikia (kuwa simba mpaka ishinde, kama angekuwa amesema hivyo, Msigwa asingekuwa na sababu ya kutoa maelezo na Simba isingetarajia pesa hizo) na yamekuja kusemwa baada ya jasho kuvuja na simba kupata magoli 2 hapo kwa Mkapa, hivyo mama kujua simba inatarajia hizo pesa.

Huko Misri Simba ilipata goli moja!! Mama anadaiwa sh 30M na Simba!! Naomba mama alinde heshima yake kwa kutunza na kutimiza ahadi yake!! Asitafute mpenyo wa kukwepa!! Halafu huko nyuma aliwahi kutoa hizo pesa kwa timu iliyofungwa!! Mama ni wa wote!!

Chonde chonde mama itabidi tu utoe hizo 30M. Vinginevyo hiyo haikuwa ahadi ya dhati bali ilikuwa ni kejeli kwa kuamini kuwa simba haina uwezo wa kufunga goli dhidi ya Al Ahly).

Bila kutimiza ahadi ujue kabisa kuwa umejipatia doa kubwa katika vigezo vya kuaminika na uadilifu!! Huyu mh Msigwa asikuingize chaka!!​
Vigezo na masharti kuzingatiwa!
 
Ni kweli kabisa kushindwa kutimiza ahadi kwa mtu ni nonsense!! Haileti mantiki nzuri!! It is opposed to sense (hence nonsense) in failing to abide to one's pledges!! Kinachosikitisha ni haop wasaidizi ambao walipaswa kumsaidia mama, ndo wanakuwa wa kwanza kumwandalia mazingira ya kuonekana si wa kuaminika!!
Maza naye ni mpenda sifa sn
 
Kwa lile pira papatu papatu almanusura... nadhani mlistahili viboko walau 10 kila mmoja kwa kulitia hasara na kuaibisha taifa.
 
Nyie ndio hua mna fail mitihani umeambiwa kati ya maswali 5 jibu mawili kwa kiherehere chako unajibu yote, siku ile ya Simba day Rais Samia alisema anatoa hela kwa kila goli kwenye mechi ya ushindi
 
Tafuta clip ya msigwa itazame tena zaidi ya mara 10 alafu uje ufute ujinga wako
 
Wote tulisikia na tulielewa!! Kuwa mama amewaahidi simba sh 10M kwa kila goli watakalofunga!! Hayo maelezo ya ziada hakuyasema na hatukuyasikia (kuwa simba mpaka ishinde, kama angekuwa amesema hivyo, Msigwa asingekuwa na sababu ya kutoa maelezo na Simba isingetarajia pesa hizo) na yamekuja kusemwa baada ya jasho kuvuja na simba kupata magoli 2 hapo kwa Mkapa, hivyo mama kujua simba inatarajia hizo pesa.

Huko Misri Simba ilipata goli moja!! Mama anadaiwa sh 30M na Simba!! Naomba mama alinde heshima yake kwa kutunza na kutimiza ahadi yake!! Asitafute mpenyo wa kukwepa!! Halafu huko nyuma aliwahi kutoa hizo pesa kwa timu iliyofungwa!! Mama ni wa wote!!

Chonde chonde mama itabidi tu utoe hizo 30M. Vinginevyo hiyo haikuwa ahadi ya dhati bali ilikuwa ni kejeli kwa kuamini kuwa simba haina uwezo wa kufunga goli dhidi ya Al Ahly).

Bila kutimiza ahadi ujue kabisa kuwa umejipatia doa kubwa katika vigezo vya kuaminika na uadilifu!! Huyu mh Msigwa asikuingize chaka!!​
wacheni mchezo na pesa za umma shindeni mechi..madunduka nyie
 
Aliyeahidi ni Msigwa na aliyekuja kusema hawalipi sababu hawajashinda ni Msigwa sasa wewe unatokaje Namtumbo huko kumwambia alikosea. Kwanini usiahidi wewe za kwako alafu uwape Simba wakifungwa, wakishinda au hata wakitoka draw?
 
Back
Top Bottom