white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,566
- 13,770
Mkuu mambo mengine kama hukuelewa ni bora tu ukakaa kimya!! Kuliko kuji expose hivi na kuonekana HAMNAZO!! msigwa alitumia kiswahili kabisa hukumuelewa, daaa!!! Kwani teknolojia si ipo katafute ile clip uisikilize tena!! "KILA MECHI MTAKAYOSHINDA"Ni kweli kabisa kushindwa kutimiza ahadi kwa mtu ni nonsense!! Haileti mantiki nzuri!! It is opposed to sense (hence nonsense) in failing to abide to one's pledges!! Kinachosikitisha ni haop wasaidizi ambao walipaswa kumsaidia mama, ndo wanakuwa wa kwanza kumwandalia mazingira ya kuonekana si wa kuaminika!!
Hao wanaosema 'mvua kanyesha kwelikweli Leo's..vipi huko kwenu mvua kanyesha!?...wakazi wa asili wa dar hawasemi kibu kafunga goli,wanasema kibu kashinda goliYaani watu wa Dar wasijue Kiswahili ujue wewe mtu pori!
Kwa taarifa yako pwani wanaojua kiswahili ni Tanga na wazaram wa bagamoyo,wamakonde,wandengereko, wazaram wa kisarawe,mkuranga wanaboronga kiswahili...radi wanaitwa Radu,korosho-koroshiUhusiano wa kiswahili na Dar ni kwamba asili ya Kiswahili kwa Tanzania ni ukanda wa pwani.
Ukimuona mkazi wa Dar hajui kiswahili huyo sio mswahili atakuwa mhamiaji.
Dar mbona wamejaa vilaza wengi tu!Yaani watu wa Dar wasijue Kiswahili ujue wewe mtu pori!
Mbona Uto walilipwa hako kagoli kamoja japo walifungwa? Hiyo ndiyo akili au?Timu ikiwa timu imeshinda ndilo tamko la mwisho la mama. Nililisikia.
Kwa kuwa umepata goli tu, bila ushindi wa mechi hiyo ulipwe? Ujinga huo.
Sawa, inabidi nikuamini. Msigwa alisema hivyo!! Ila kumbuka Yanga alilipwa japo alifungwa!! Hapo tuseme ni upendeleo au?Msigwa alisema toka siku ya kwanza, kila goal la ushindi
Vigezo na masharti kuzingatiwa!Wote tulisikia na tulielewa!! Kuwa mama amewaahidi simba sh 10M kwa kila goli watakalofunga!! Hayo maelezo ya ziada hakuyasema na hatukuyasikia (kuwa simba mpaka ishinde, kama angekuwa amesema hivyo, Msigwa asingekuwa na sababu ya kutoa maelezo na Simba isingetarajia pesa hizo) na yamekuja kusemwa baada ya jasho kuvuja na simba kupata magoli 2 hapo kwa Mkapa, hivyo mama kujua simba inatarajia hizo pesa.
Huko Misri Simba ilipata goli moja!! Mama anadaiwa sh 30M na Simba!! Naomba mama alinde heshima yake kwa kutunza na kutimiza ahadi yake!! Asitafute mpenyo wa kukwepa!! Halafu huko nyuma aliwahi kutoa hizo pesa kwa timu iliyofungwa!! Mama ni wa wote!!
Chonde chonde mama itabidi tu utoe hizo 30M. Vinginevyo hiyo haikuwa ahadi ya dhati bali ilikuwa ni kejeli kwa kuamini kuwa simba haina uwezo wa kufunga goli dhidi ya Al Ahly).
Bila kutimiza ahadi ujue kabisa kuwa umejipatia doa kubwa katika vigezo vya kuaminika na uadilifu!! Huyu mh Msigwa asikuingize chaka!!
Maza naye ni mpenda sifa snNi kweli kabisa kushindwa kutimiza ahadi kwa mtu ni nonsense!! Haileti mantiki nzuri!! It is opposed to sense (hence nonsense) in failing to abide to one's pledges!! Kinachosikitisha ni haop wasaidizi ambao walipaswa kumsaidia mama, ndo wanakuwa wa kwanza kumwandalia mazingira ya kuonekana si wa kuaminika!!
wacheni mchezo na pesa za umma shindeni mechi..madunduka nyieWote tulisikia na tulielewa!! Kuwa mama amewaahidi simba sh 10M kwa kila goli watakalofunga!! Hayo maelezo ya ziada hakuyasema na hatukuyasikia (kuwa simba mpaka ishinde, kama angekuwa amesema hivyo, Msigwa asingekuwa na sababu ya kutoa maelezo na Simba isingetarajia pesa hizo) na yamekuja kusemwa baada ya jasho kuvuja na simba kupata magoli 2 hapo kwa Mkapa, hivyo mama kujua simba inatarajia hizo pesa.
Huko Misri Simba ilipata goli moja!! Mama anadaiwa sh 30M na Simba!! Naomba mama alinde heshima yake kwa kutunza na kutimiza ahadi yake!! Asitafute mpenyo wa kukwepa!! Halafu huko nyuma aliwahi kutoa hizo pesa kwa timu iliyofungwa!! Mama ni wa wote!!
Chonde chonde mama itabidi tu utoe hizo 30M. Vinginevyo hiyo haikuwa ahadi ya dhati bali ilikuwa ni kejeli kwa kuamini kuwa simba haina uwezo wa kufunga goli dhidi ya Al Ahly).
Bila kutimiza ahadi ujue kabisa kuwa umejipatia doa kubwa katika vigezo vya kuaminika na uadilifu!! Huyu mh Msigwa asikuingize chaka!!
Wacheni pia kuahidi pesa ambazo hamna uwezo wa kuzitoa!!wacheni mchezo na pesa za umma shindeni mechi..madunduka nyie