Kutiwa nguvuni Mbowe isiwe sababu ya kukata tamaa. Tujipange tuwe na CHADEMA isiyokuwa mali ya watu

Kutiwa nguvuni Mbowe isiwe sababu ya kukata tamaa. Tujipange tuwe na CHADEMA isiyokuwa mali ya watu

Kamanda Asiyechoka

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2020
Posts
3,315
Reaction score
5,058
Najua ukweli wangu huwa unawachukiza. Lakini fitina kwangu mwiko nitasema kweli daima. Chama chetu ni mali ya watu binafsi. Ni mali ya watu ambao wakiwa hawapo kila kitu kinakwama.

Sasa Chairman yupo kunyavu. Kila kitu kipo likizo. Tusikate tamaa tuabadili mfumo wa Chama chetu.

My take: Sidhani kama chuo cha Mtei political academy kina umuhimu kwa muktadha wa chama chetu. Mwamba ni mbinafsi sana.
 
Najua ukweli wangu huwa unawachukiza. Lakini fitina kwangu mwiko nitasema kweli daima.

Chama chetu ni mali ya watu binafsi. Ni mali ya watu ambao wakiwa hawapo kila kitu kinakwama.

Sasa Chairman yupo kunyavu. Kila kitu kipo likizo.

Tusikate tamaa tuabadili mfumo wa Chama chetu.

My take: Sidhani kama chuo cha Mtei political academy kina umuhimu kwa muktadha wa chama chetu. Mwamba ni mbinafsi sana.
Dogo unakalia kitu cha ncha butu
 
Najua ukweli wangu huwa unawachukiza. Lakini fitina kwangu mwiko nitasema kweli daima.

Chama chetu ni mali ya watu binafsi. Ni mali ya watu ambao wakiwa hawapo kila kitu kinakwama.

Sasa Chairman yupo kunyavu. Kila kitu kipo likizo.

Tusikate tamaa tuabadili mfumo wa Chama chetu.

My take: Sidhani kama chuo cha Mtei political academy kina umuhimu kwa muktadha wa chama chetu. Mwamba ni mbinafsi sana.
Tumekusikia kamanda from L political C
 
Najua ukweli wangu huwa unawachukiza. Lakini fitina kwangu mwiko nitasema kweli daima.

Chama chetu ni mali ya watu binafsi. Ni mali ya watu ambao wakiwa hawapo kila kitu kinakwama.

Sasa Chairman yupo kunyavu. Kila kitu kipo likizo.

Tusikate tamaa tuabadili mfumo wa Chama chetu.

My take: Sidhani kama chuo cha Mtei political academy kina umuhimu kwa muktadha wa chama chetu. Mwamba ni mbinafsi sana.
Acha unaa kamanda mchovu
 
Najua ukweli wangu huwa unawachukiza. Lakini fitina kwangu mwiko nitasema kweli daima.

Chama chetu ni mali ya watu binafsi. Ni mali ya watu ambao wakiwa hawapo kila kitu kinakwama.

Sasa Chairman yupo kunyavu. Kila kitu kipo likizo.

Tusikate tamaa tuabadili mfumo wa Chama chetu.

My take: Sidhani kama chuo cha Mtei political academy kina umuhimu kwa muktadha wa chama chetu. Mwamba ni mbinafsi sana.
Naomba usitake nikutukane! Nakusihi sana, sijawahi kukuona ukizungumzia mambo ya Tozo, kupanda hovyo kwa bei za vitu, kila siku unawashwawashwa tu na Freeman.
 
Najua ukweli wangu huwa unawachukiza. Lakini fitina kwangu mwiko nitasema kweli daima.

Chama chetu ni mali ya watu binafsi. Ni mali ya watu ambao wakiwa hawapo kila kitu kinakwama.

Sasa Chairman yupo kunyavu. Kila kitu kipo likizo.

Tusikate tamaa tuabadili mfumo wa Chama chetu.

My take: Sidhani kama chuo cha Mtei political academy kina umuhimu kwa muktadha wa chama chetu. Mwamba ni mbinafsi sana.
Kada la LUMUMBA
 
Kabisa mkuu!

Siyo mtu anajitolea kumchallenge mwenyekiti kwenye chama alafu anaambiwa sumu haionjwi kwa kuramba!
 
Najua ukweli wangu huwa unawachukiza. Lakini fitina kwangu mwiko nitasema kweli daima.

Chama chetu ni mali ya watu binafsi. Ni mali ya watu ambao wakiwa hawapo kila kitu kinakwama.

Sasa Chairman yupo kunyavu. Kila kitu kipo likizo.

Tusikate tamaa tuabadili mfumo wa Chama chetu.

My take: Sidhani kama chuo cha Mtei political academy kina umuhimu kwa muktadha wa chama chetu. Mwamba ni mbinafsi sana.
Fitina na majungu ndo elimu ya mataga na masukumagang wote!! Wewe siyo kamanda ni wakudadavuliwa mzembe mwenye propaganda za kijinga!
 
Back
Top Bottom