Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
Najua ukweli wangu huwa unawachukiza. Lakini fitina kwangu mwiko nitasema kweli daima. Chama chetu ni mali ya watu binafsi. Ni mali ya watu ambao wakiwa hawapo kila kitu kinakwama.
Sasa Chairman yupo kunyavu. Kila kitu kipo likizo. Tusikate tamaa tuabadili mfumo wa Chama chetu.
My take: Sidhani kama chuo cha Mtei political academy kina umuhimu kwa muktadha wa chama chetu. Mwamba ni mbinafsi sana.
Sasa Chairman yupo kunyavu. Kila kitu kipo likizo. Tusikate tamaa tuabadili mfumo wa Chama chetu.
My take: Sidhani kama chuo cha Mtei political academy kina umuhimu kwa muktadha wa chama chetu. Mwamba ni mbinafsi sana.