Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Refrain from CCMTumia ubongo kufikiri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Refrain from CCMTumia ubongo kufikiri
Kamuulize kwanza Makamu Mwenyekiti wa huko kwenuKabisa mkuu!
Siyo mtu anajitolea kumchallenge mwenyekiti kwenye chama alafu anaambiwa sumu haionjwi kwa kuramba!
MZIMU WA WATU WA KALEAna afadhali huyo ambaye mtaji wake ni binadamu anayeishi,kuliko yule ambaye anafuata mawazo ya mzimu uliyokwisha lala kaburini tangia march ambao hata kazi ndogo ya kuamka na kuongea haiwezi 🤣 🤣 🤣
Tuliza kishundu uliwe kiboga dadaTulia upigwe za uso.
Mnataka kutengeneza ugaidi nchi hii, Lakini kwa sasa haupo!Machaga gang na mabavicha yanezoea ugaidi?
Najua ukweli wangu huwa unawachukiza. Lakini fitina kwangu mwiko nitasema kweli daima. Chama chetu ni mali ya watu binafsi. Ni mali ya watu ambao wakiwa hawapo kila kitu kinakwama.
Sasa Chairman yupo kunyavu. Kila kitu kipo likizo. Tusikate tamaa tuabadili mfumo wa Chama chetu.
My take: Sidhani kama chuo cha Mtei political academy kina umuhimu kwa muktadha wa chama chetu. Mwamba ni mbinafsi sana.
We bwege unajua nini?
Kwa hiyo sisi chadema hatuna tofauti na hawa wenzetu wa ccm!Kamuulize kwanza Makamu Mwenyekiti wa huko kwenu
1. Hivi alifanya kosa gani?
2.Je alionja au alilishwa mkorogo?
Ahsante kwa ushirikiano.
Kawasalimie waliyohangaika kumuuguza utapata dondoo zaidi kuhusu mzee wenu.Kwa hiyo sisi chadema hatuna tofauti na hawa wenzetu wa ccm!
Kwahiyo sisi chadema na ccm hatuna tofauti!Kawasalimie waliyohangaika kumuuguza utapata dondoo zaidi kuhusu mzee wenu.
HapanaKwahiyo sisi chadema na ccm hatuna tofauti!
Ww unajua nnWe bwege unajua nini?
Tena kada Pro-max linajitekenyaKada la LUMUMBA
Ww muuza face.Acha mambo ya kipuuzi. Nani yupo Ccm?
kazi iendeleeNajua ukweli wangu huwa unawachukiza. Lakini fitina kwangu mwiko nitasema kweli daima. Chama chetu ni mali ya watu binafsi. Ni mali ya watu ambao wakiwa hawapo kila kitu kinakwama.
Sasa Chairman yupo kunyavu. Kila kitu kipo likizo. Tusikate tamaa tuabadili mfumo wa Chama chetu.
My take: Sidhani kama chuo cha Mtei political academy kina umuhimu kwa muktadha wa chama chetu. Mwamba ni mbinafsi sana.
Kahaba ni wewe na aliyekutuma uchuchumae mbele ya wanaumePumbavu mkubwa we kahaba.
Eti Kamanda ....Asiye choka...Mp..um..Vu sanaIla bingwa huwa unahangaika aisee?
Ujue JF nzima wanakuona pimbi tu