kombo mzalendo
Senior Member
- Dec 20, 2012
- 118
- 11
je kuna madhara yeyote au uhatarishi ukitoa mimba yenye mwezi mmoja..na je mimba inakua hatari zaidi kutolewa inapokua na miezi mingapi.
nahitaji kufahamishwa tafadhali
Kama huna la kumjibu pita kimya, hajaomba ushauri ila kauliza madhara
je kuna madhara yeyote au uhatarishi ukitoa mimba yenye mwezi mmoja..na je mimba inakua hatari zaidi kutolewa inapokua na miezi mingapi.
nahitaji kufahamishwa tafadhali
ni hatari zaidi inapokua na umri wa wiki 2 mpaka miezi 5,subiri ikiwa na miez 7 mpaka 9 ndio inakua rahisi kuitoa