kombo mzalendo
Senior Member
- Dec 20, 2012
- 118
- 11
je kuna madhara yeyote au uhatarishi ukitoa mimba yenye mwezi mmoja..na je mimba inakua hatari zaidi kutolewa inapokua na miezi mingapi.
nahitaji kufahamishwa tafadhali
nahitaji kufahamishwa tafadhali