Mhafidhina07
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 3,340
- 4,659
Market Economy/Free market economy
Globalization
Individualism
Tunakosea wapi?
Globalization
Individualism
Tunakosea wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaijua vieiteeeee wewe?🤔 just imagine!Viongozi wa kisiasa ni wabinafsi. Wanakula nchi wao na watoto wao.
Hilo haliwezekani .sema mfumo uliasisiwa tangu mwanzo ndio umetufikisha hapaZile top position walibidi wakae watu kutoka nje na sio wanasiasa wa Sisiemu
Taasisi inahitaji management nzuri na Kwa bahati mbaya sisi hatuna hiyo karama ya kuwa na good management so ilibidi waje watu wengine wakae hapo juuHilo haliwezekani .sema mfumo uliasisiwa tangu mwanzo ndio umetufikisha hapa
Hovyo sana hao jamaa. Wana kazi ya kuwajaza ujinga watoto wa walalahoi na kuwaita wazalendo ili wao waendelee kuchuma mema ya nchi.Unaijua vieiteeeee wewe?🤔 just imagine!
Market Economy/Free market economy
Globalization
Individualism
Tunakosea wapi?
Mfumo wa Ubepari unahitaji Watu wenye akili nzuri ili kuweza kuusimamia na kuuendesha katika nchi. Watu weusi wengi zaidi hawana uwezo wa aina hiyo ya kuweza kuumudu Ubepari.Market Economy/Free market economy
Globalization
Individualism
Tunakosea wapi?
Mfumo wa ubepari haufanyi kazi vizuri afrika? Wewe unaujuaje mana naona afrika ndo nganganga na unaenda kukomaa sasa. Soon tunaingia kwenye industrial economy.. tegemeq kuzaliwa tabaka lililokomaa na wafanyakazi wa bei rahsi ambao wana elim kubwa tu..vMarket Economy/Free market economy
Globalization
Individualism
Tunakosea wapi?