Kkimondoa
JF-Expert Member
- May 31, 2014
- 4,453
- 4,933
TAMISEMI walitangaza kuwa watatoa ajira 2219 lakini wametoa 1709 tu dah, na mbali na hilo tarehe ya kuriport ni tar 24 hadi 30 mwezi huu huu.
Lakini pamoja na hilo wamedai kuwa kuna walimu ambao hawakuajiriwa na vigezo vilivyo tumika ni umri aisee hii nchi hii!?
Lakini pamoja na hilo wamedai kuwa kuna walimu ambao hawakuajiriwa na vigezo vilivyo tumika ni umri aisee hii nchi hii!?