Kutoka Algeria: MC Alger 4 - 0 Young Africans

Kutoka Algeria: MC Alger 4 - 0 Young Africans

Hivi ni kwa nini Waarabu huwa hawaanzi nyumbani hizi mechi?
Hilo ni swali la msingi sana kujiuliza, toka nimeanza kufatilia soka, sijawahi kuona tunaanzia kwa waarabu, hapo kuna namna
 
Hela Zote walipeleka kuhonga Toto badala ya kuwapa Motisha Wachezaji wao!
Ile ml 40 waliyowapa Toto waibanie simba si heri wangewapa wachezaji wao kupunguza madeni ili kuwaongezea morali ya mchezo!!!
 
Hatimaye yametimia Mungu analipa.Wakimataifa acheni wivu Na majungu.Mlitakata Simba asikate Rufaa licha ya Kagera kufanya kosa la kumchezesha mchezaji mwenye kadi 3? Mngekuwa nyie msingekata Rufaa? Haya leo mmepata kipigo cha mbwa mwitu mmepigwa 4G kama mmesimama.Pelekeni mashtaka PCCB wawasaidie.Uwezo wa kucheza mashindano makubwa hamna Na bado mnang'ang'ania Ubingwa yako wapi ? Yamewashinda.
simba vs k.sugar,simba vs Toto,hapo jibu umepata
 
Hilo ni swali la msingi sana kujiuliza, toka nimeanza kufatilia soka, sijawahi kuona tunaanzia kwa waarabu, hapo kuna namna
1993. CAF Cup Simba 3-0 Al Harrach Algeria.uwanja wa taifa. Mechi ya marudiano Al Harrach 2-0 Simba. kumalizia nyumbani au ugenini siyo tatizo, tatizo ni mipango yetu wenyewe.
 
Kila mwaka wao ni kufungwa tu ,ss ubingwa mnang'ang'ania ya nini? KULE CLUB BINGWA MLIPIGWA MMERUDISHWA HUKU WASHINDI KICHAPO TENA ,HAA HAWA WA KIMATAIFA FEKI. HALAF HAWANAGA AIBU, MDOMO JUU TU HAYA MADOMO-KAYA. NGOJA WAJE UTAONA KWEL NI MIDOMO KAYA
 
1993. CAF Cup Simba 3-0 Al Harrach Algeria.uwanja wa taifa. Mechi ya marudiano Al Harrach 2-0 Simba. kumalizia nyumbani au ugenini siyo tatizo, tatizo ni mipango yetu wenyewe.
Swali letu ni kwanini wao kila mwaka waanze ugenini? Hatuzungumzii matokeo, uelewa wa vijana wa kitanzania wa miaka hii uko chini sana
 
Kila mwaka wao ni kufungwa tu ,ss ubingwa mnang'ang'ania ya nini? KULE CLUB BINGWA MLIPIGWA MMERUDISHWA HUKU WASHINDI KICHAPO TENA ,HAA HAWA WA KIMATAIFA FEKI. HALAF HAWANAGA AIBU, MDOMO JUU TU HAYA MADOMO-KAYA. NGOJA WAJE UTAONA KWEL NI MIDOMO KAYA
Mara ya mwisho mikia kushiriki mashindano ya kimataifa ilikuwa 2013, waligongwa 5 - 0 na Libolo ya Angola
 
April 15 2017 Yanga wanacheza mchezo wa marudiano wa kuwania kucheza hatua ya makundi ya Kombe la shirikisho dhidi ya MC Alger nchini Algeria.

Dakika ya 15 sasa hivi

Algiers 1-0 Yanga

April 15 nchini Algeria katika uwanja wa July 5 1962 mjini Al-Jaza’ir, Yanga ambao waliingia wakiwa wanahitaji sare ya aina yoyote ili waweze kupata nafasi ya kuingia katika hatua ya makundi ya Kombe la shirikisho barani Afrika, wamejikuta wakikubali kipigo cha magoli 4-0 na safari yao kuishia hapo.
View attachment 496611
Magoli ya MC Alger ambao waliingia uwanja wa July 5 1962 wakiwa na sapoti kubwa ya mashabiki wao yalifungwa na Aouadj dakika ya 14 na 91, Derrardja dakika ya 39 na Zerdab dakika ya 66, hivyo Yanga wanaondolewa katika michuano ya Kombe la shirikisho barani Afrika kwa jumla ya magoli 4-1.
Wakimataifa haooo [emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
20170415_045122.jpg
20170415_045122.jpg
 
Back
Top Bottom