Kutoka Butiama: Exclusive news

Kutoka Butiama: Exclusive news

Nadhani kwenye hili group la wajinga na Mafisadi ulilolitaja hapo juu nawe ni mmoja wapo
Nalazimika kusema hivyo kwa sababu, wewe umekuwa ukiwatetea hawa CCM hata kama wamefanya upuuzi, na ndo maana natumia maneno yako kukuweka kwenye group lenu
Pole sana kwa kuwa mjina na Fisadi pia, Kenya ya Mafisadi inakuja jiandae

nimeinama, nimeinuka, nimeokota kidude .......sawa nimekusikia, sasa tuongelee mada na si mchangia mada !
 
CCM ni sawa na nyumba iliyojaa wadudu, na mbaya zaidi mwenye nyumba anaamini wadudu hao wataruka na kuondoka wenyewe!! Kwa mtaji huo kila kukicha wanazidi kuzaliana ...

duh, post ya kwanza tu umemquote kada ! nadhani nitakukumbuka hapa think BIG ! karibu yakhe !
 
Kama kweli walikuwa na nia ya kuweka maua katika kaburi la Mwalimu, kwanini wasubiri mpaka kikao cha kamati kuu? Mara ya mwisho waliweka maua katika kaburi hilo ilikuwa lini? Hiyo ni picture opportunity tu wakimaliza kikao hicho wanaendeleza ufisadi kama kazi.

Kama marehemu wangekuwa wanasema Mwalimu angewafukuzilia mbali kwa unafiki wao kwa sababu Mwalimu alikuwa mkweli na alikuwa hamkopeshi mtu muulize Lowassa au Aboud Jumbe.

kuweka maua sio bigi deal, pengine (sina uhakika) walifanya hivyo mara ya mwisho hivyo picha hawakupigwa, it just happened kwamba kikao hiki kinafanyika butiama, hivyo wakaamua kwenda kumkumbuka muasisi wa chama chao !
hata wewe unaweza kwenda kuweka maua, na SIDHANI KUWEKA MAUA KATIKA KABURI LA NYERER NI UNAFIKI ! NAKATAA ! ebu kama utaweza kuikuza hiyo picha naomba ufanye hivyo halafu nitajie mafisadi unaowaona wewe katika hiyo picha ! Picha hiyo hiyo uliyoweka !

(Najua mafisadi wengine watapigwa picha wakiweka maua hizo labda zaweza kutoka siku 1-2-3 from now) lakini kilichokufanya mainly uandike ni hiyo picha, so plz call out a few names ya hao unaowaita wanafiki !

yule wa kati kati kafanana na kinana, sijui kama ni yeye !
 
Nadhani kwenye hili group la wajinga na Mafisadi ulilolitaja hapo juu nawe ni mmoja wapo
Nalazimika kusema hivyo kwa sababu, wewe umekuwa ukiwatetea hawa CCM hata kama wamefanya upuuzi, na ndo maana natumia maneno yako kukuweka kwenye group lenu
Pole sana kwa kuwa mjina na Fisadi pia, Kenya ya Mafisadi inakuja jiandae
Kamanda tulia, naona unajihami ili Mnyika asiitwe hapa
 
kuweka maua sio bigi deal, pengine (sina uhakika) walifanya hivyo mara ya mwisho hivyo picha hawakupigwa, it just happened kwamba kikao hiki kinafanyika butiama, hivyo wakaamua kwenda kumkumbuka muasisi wa chama chao !
hata wewe unaweza kwenda kuweka maua, na SIDHANI KUWEKA MAUA KATIKA KABURI LA NYERER NI UNAFIKI ! NAKATAA ! ebu kama utaweza kuikuza hiyo picha naomba ufanye hivyo halafu nitajie mafisadi unaowaona wewe katika hiyo picha ! Picha hiyo hiyo uliyoweka !

(Najua mafisadi wengine watapigwa picha wakiweka maua hizo labda zaweza kutoka siku 1-2-3 from now) lakini kilichokufanya mainly uandike ni hiyo picha, so plz call out a few names ya hao unaowaita wanafiki !

yule wa kati kati kafanana na kinana, sijui kama ni yeye !

Ni unafiki kwa sababu maadili ya Mwalimu yote kama uongozi bora, kuwajali Watanzania, kutokuwa na tamaa ya utajiri, kuwa mkweli kwa wananchi mambo ambayo Mwalimu aliyaenzi sana sasa hivi katika hii CCM ya mafisadi hayamo. Sasa kama mambo ambayo muasisi wa chama aliyoyatukuza sana na CCM leo hawayafuati, halafu eti kwa kuwa wako Butiama basi kila fisadi anataka kuweka ua kwenye kaburi la Mwalimu! wakati huo huo mafisadi wa EPA bado wanatesa mtaani hata kutajwa wanaogopa eti wakitajwa nchi italipuka, mafisadi wa Richmonduli bado wanatesa mtaani sasa huo kama siyo unafiki nini. Sina haja ya kuwataja mafisadi kwani CCM inajulikana kama ni chama cha mafisadi, wanashindana nani atakuwa tajiri zaidi kuliko mwingine, wakati wananchi wanaumia.

Enzi za Mwalimu wote hao angeshawasweka lupango na mali zao kutaifishwa mara moja bila hata kukawia na wala nchi isingelipuka
 
Ni unafiki kwa sababu maadili ya Mwalimu yote kama uongozi bora, kuwajali Watanzania, kutokuwa na tamaa ya utajiri, kuwa mkweli kwa wananchi mambo ambayo Mwalimu aliyaenzi sana sasa hivi katika hii CCM ya mafisadi hayamo. Sasa kama mambo ambayo muasisi wa chama aliyoyatukuza sana na CCM leo hawayafuati, halafu eti kwa kuwa wako Butiama basi kila fisadi anataka kuweka ua kwenye kaburi la Mwalimu! wakati huo huo mafisadi wa EPA bado wanatesa mtaani hata kutajwa wanaogopa eti wakitajwa nchi italipuka, mafisadi wa Richmonduli bado wanatesa mtaani sasa huo kama siyo unafiki nini. Sina haja ya kuwataja mafisadi kwani CCM inajulikana kama ni chama cha mafisadi, wanashindana nani atakuwa tajiri zaidi kuliko mwingine, wakati wananchi wanaumia.

Enzi za Mwalimu wote hao angeshawasweka lupango na mali zao kutaifishwa mara moja bila hata kukawia na wala nchi isingelipuka

hold hold hold on ! wewe, uchafu wa wapuuzi wachache haimaniishi wote ni wachafu, na ndio maana nikakwambia niambie ni wangapi katika hiyo picha ni mafisadi, naona jii kimya ! Najua umetumia kigezo cha hiyo picha ya "watu safi" na kusema chama kizima ni kichafu. Lakini hiyo siyo, unajua ccm ina viongozi wangapi ?? kati ya hao ni wangapi wachafu ? na wangapi ni safi ? hata half haifiki, which is not even to make a conclusion kwa chama kizima ! CCM INA VIONGOZI ROUGHLY 7,000(sina uhakika). Kati ya hao naweza kusema pengine ni 120 ni mafisadi hodari na waliobobea, 400 mafisadi wadogowadogo (hawa kesi zao sana sana serikali za mitaani, sijui michango ya nyumba hadi nyumba) na hao wengine wooooooooote ni safi ! upo hapo !
Hayo maadili ya Nyerere hayafuatwi na viongozi wa ccm wangapi ? Najua ni wachache na sio wote, so kusema chama kizima thats totally ridiculous !
Hata mimi ningekuwa na hayo mamlaka ningetaifisha mali za mafisadi wote na kuwasweka lupango lakini chama chao ningewaachia na kutokikejeli maana najua wengine watakuja na kuendeleza hayo unayoita maadili ya nyerere !
Uongozi ni ubinaadamu, hata hayo maadili ya nyerere ni ubinaadamu ! So, tunataka viongozi watakaolinda maslahi/haki ya mwanadamu !
Kwa nini wewe usifanye msaada wa kutaja mafisadi wa EPA ili usaidie taifa ? wengine hatuwajui ! ila najua mimi simo !
 
butiamakaburi.jpg

Vigogo chama tawala Tanzania( CCM) wakiweka mataji ya maua katika kaburi la Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, nyumbani kwake Mwitongo, Butiama kabla ya kuanza mkutano wao.

Chama kimejaa mafisadi ambao Mwalimu angekuwa hai angewasemea hovyo, leo wanajifanya eti wanaenda kutoa heshima zao kwenye kaburi la Mwalimu. Wana heshima gani hawa kwa Mwalimu! wakati wanafanya tofauti na Mwalimu alivyokuwa kama kiongozi ambaye alikuwa na maadili na wala hakuwa na tamaa ya utajiri au kuishi maisha ya fahari kubwa kuliko wale aliotuongoza. CCM acheni unafiki na usanii wenu

Hawa ni sawa na Fisi aliyejigunisha pembe za mbuzi na kuvamia mkutano wa nyumbu nyati na mbawala.

Unajua nini kitamwumbua?

Jua likizidi gundi inayeyuka, hapo ana uchaguzi, atoke Benz au ashikilie pembe zake zisidondoke. Kwi kwi kwi kwi.

Mungu kamwe hawafichi wanafiki.
 
hold hold hold on ! wewe, uchafu wa wapuuzi wachache haimaniishi wote ni wachafu, na ndio maana nikakwambia niambie ni wangapi katika hiyo picha ni mafisadi, naona jii kimya ! Najua umetumia kigezo cha hiyo picha ya "watu safi" na kusema chama kizima ni kichafu. Lakini hiyo siyo, unajua ccm ina viongozi wangapi ?? kati ya hao ni wangapi wachafu ? na wangapi ni safi ? hata half haifiki, which is not even to make a conclusion kwa chama kizima ! CCM INA VIONGOZI ROUGHLY 7,000(sina uhakika). Kati ya hao naweza kusema pengine ni 120 ni mafisadi hodari na waliobobea, 400 mafisadi wadogowadogo (hawa kesi zao sana sana serikali za mitaani, sijui michango ya nyumba hadi nyumba) na hao wengine wooooooooote ni safi ! upo hapo !
Hayo maadili ya Nyerere hayafuatwi na viongozi wa ccm wangapi ? Najua ni wachache na sio wote, so kusema chama kizima thats totally ridiculous !
Hata mimi ningekuwa na hayo mamlaka ningetaifisha mali za mafisadi wote na kuwasweka lupango lakini chama chao ningewaachia na kutokikejeli maana najua wengine watakuja na kuendeleza hayo unayoita maadili ya nyerere !
Uongozi ni ubinaadamu, hata hayo maadili ya nyerere ni ubinaadamu ! So, tunataka viongozi watakaolinda maslahi/haki ya mwanadamu !
Kwa nini wewe usifanye msaada wa kutaja mafisadi wa EPA ili usaidie taifa ? wengine hatuwajui ! ila najua mimi simo !

Samaki mmoja kati ya wengi wanaoshare mchuzi kwenye chungu kaoza, waliobaki wazima kweli? MmmH!
 
Samaki mmoja kati ya wengi wanaoshare mchuzi kwenye chungu kaoza, waliobaki wazima kweli? MmmH!

swadakta yakhe ! utakaochacha ni mchuzi, samaki watakuwa fresh hata siku 2 zaidi, ila mchuzi ndio utakaowafanya samaki wanuke, na "waafrika" tutadhani samaki wote wamechacha yakhe ! kwa hiyo mie sikulaumu ! acha nkachokoe chaza mie !
 
hold hold hold on ! wewe, uchafu wa wapuuzi wachache haimaniishi wote ni wachafu, na ndio maana nikakwambia niambie ni wangapi katika hiyo picha ni mafisadi, naona jii kimya ! Najua umetumia kigezo cha hiyo picha ya "watu safi" na kusema chama kizima ni kichafu. Lakini hiyo siyo, unajua ccm ina viongozi wangapi ?? kati ya hao ni wangapi wachafu ? na wangapi ni safi ? hata half haifiki, which is not even to make a conclusion kwa chama kizima ! CCM INA VIONGOZI ROUGHLY 7,000(sina uhakika). Kati ya hao naweza kusema pengine ni 120 ni mafisadi hodari na waliobobea, 400 mafisadi wadogowadogo (hawa kesi zao sana sana serikali za mitaani, sijui michango ya nyumba hadi nyumba) na hao wengine wooooooooote ni safi ! upo hapo !
Hayo maadili ya Nyerere hayafuatwi na viongozi wa ccm wangapi ? Najua ni wachache na sio wote, so kusema chama kizima thats totally ridiculous !
Hata mimi ningekuwa na hayo mamlaka ningetaifisha mali za mafisadi wote na kuwasweka lupango lakini chama chao ningewaachia na kutokikejeli maana najua wengine watakuja na kuendeleza hayo unayoita maadili ya nyerere !
Uongozi ni ubinaadamu, hata hayo maadili ya nyerere ni ubinaadamu ! So, tunataka viongozi watakaolinda maslahi/haki ya mwanadamu !
Kwa nini wewe usifanye msaada wa kutaja mafisadi wa EPA ili usaidie taifa ? wengine hatuwajui ! ila najua mimi simo !

Wote ni mafisadi tu ndio maana wamekaa kimya bila hata kuguna wakati mafisadi wa BoT na Richmonduli wakiendelea kutesa. Utakuwaji msafi halafu hata usigune na kuuliza jamani kulikoni? mbona hawa mafisadi waliokupua mabilioni ya pesa bado wameachwa mtaani wakiendelea kutesa na pesa zao walizokupua? Kwanini wasitupwe lupango wakati uchunguzi ukiendelea? Inakuwaje mkuu wa polisi nchini anasema hawa mafisadi ambao wamevunja sheria za nchi wakitajwa nchi italipuka? Wao ni nani hasa katika serikali ya Tanzania mpaka waogopewe hata Rais akivunja sheria za nchi inabidi aswekwe lupango? Lakini njemba za ufisadi zimekaa kimyaaaaa kama kila kitu ni shwari zimeweka mbele maslahi yao wenyewe na yale ya CCM wakati nchi inaangamia halafu zinadai eti zinaweka maua katika kaburi la Mwalimu eti kumuenzi Mwalimu! Watanzania sio wajinga kiasi hicho! unafiki wenu unatia kichefuchefu!
 
Wote ni mafisadi tu ndio maana wamekaa kimya bila hata kuguna wakati mafisadi wa BoT na Richmonduli wakiendelea kutesa. Utakuwaji msafi halafu hata usigune na kuuliza jamani kulikoni? mbona hawa mafisadi waliokupua mabilioni ya pesa bado wameachwa mtaani wakiendelea kutesa na pesa zao walizokupua? Kwanini wasitupwe lupango wakati uchunguzi ukiendelea? Inakuwaje mkuu wa polisi nchini anasema hawa mafisadi ambao wamevunja sheria za nchi wakitajwa nchi italipuka? Wao ni nani hasa katika serikali ya Tanzania mpaka waogopewe hata Rais akivunja sheria za nchi inabidi aswekwe lupango? Lakini njemba za ufisadi zimekaa kimyaaaaa kama kila kitu ni shwari zimeweka mbele maslahi yao wenyewe na yale ya CCM wakati nchi inaangamia halafu zinadai eti zinaweka maua katika kaburi la Mwalimu eti kumuenzi Mwalimu! Watanzania sio wajinga kiasi hicho! unafiki wenu unatia kichefuchefu!

unajua tajiri hii mada ni nzuri sana kuliko wengi wanavyodhani au pengine vile wewe hukutegemea ! Na hadi hivi sasa mjadala ni mzuri na nafikiri utakuwa mzuri zaidi pale utakapotaja wangapi wa hao unaowaita mafisadi wameweka maua kwa kutumia picha hiyo uliyosema ! SIPINGI YALE ULIYOSEMA KWAMBA MAFISADI WAPO, TENA MITAANI WAKITANUA, lakini ukweli lazima utasimama na nitausimamia, !! Swali simpo nimekuuliza, maana najua umetumia hiyo picha ili kuleta hii mada, na isingekuwepo hiyo picha sidhani kama hii thread pia ingekuwepo, ndio maana nikasema wataje au tutajie idadi ya "hao mafisadi waliomo kwenye hiyo picha uliyotumia kuandika hii thread".

Mafisadi ni watu wabaya sana, tena sana !
Lakini huwezi kutumia ubaya wa hao mafisadi na kuwapaka wengine rangi ya mafisadi ! Wao kukaa kimya haimaanishi kwamba nao ni mafisadi, unaweza ukapiga kelele bungeni kwa kuwakemea mafisadi ILI HALI WEWE MWENYEWE FISADI VILE VILE ! So, kimya kisikushitue mzee, kobe akiinama chini ujue....................... !!

Nia yangu sio kutetea mafisadi, ila isipokuwa mwenzetu umeona kwa kuwa wamevaa mashati ya kijani kibichi basi ukajua nao wamo, kumbe hawamo ! Maana najua hao watu maskini ya watu wameenda kwa nia njema, and from nowhere out the ordinary, mtu anawaita fisadi, ufisadi huo ni kwa kuvaa shati la kijani na kuweka maua katika kaburi au ufisadi upi huo ? na kama wa EPA, ni yupi kati ya hao alishiriki ? au ufisadi wa buzwagi ? nani kati yao alishiriki ? au Richmond ? yupi kati yao alishiriki ? I GUESS ITS NONE ! Sasa kama unataka kudeclear kwamba kuvaa shati la kijani ni ufisadi, COUNT ME IN !
 
Nadhani kwenye hili group la wajinga na Mafisadi ulilolitaja hapo juu nawe ni mmoja wapo
Nalazimika kusema hivyo kwa sababu, wewe umekuwa ukiwatetea hawa CCM hata kama wamefanya upuuzi, na ndo maana natumia maneno yako kukuweka kwenye group lenu
Pole sana kwa kuwa mjina na Fisadi pia, Kenya ya Mafisadi inakuja jiandae

sasa kama unajua kada ni fisadi, mbona wewe na wenzako (ambao "tunaendesha" kampeni ya kuadhibu mafisadi) mnaniachia iwapo mnajua mimi ni fisadi ? basi hata kutoa taarifa TAKUKURU unashindwa ? aah yakhe, tufanyie favor bana, ebu nenda TAKUKURU waambie waje wanikamate haraka sana ili nisipete mitaani ! Na itabidi mapesa yote niyarudishe ! teh teh, hata hiyo JF sijui kama ningekuwa naijua iwapo ningekuwa na hiyo mihela. Ningekuwa nalala brunei, naamka malaysia, lunch bukoba dinner sauzi !
 
unajua tajiri hii mada ni nzuri sana kuliko wengi wanavyodhani au pengine vile wewe hukutegemea ! Na hadi hivi sasa mjadala ni mzuri na nafikiri utakuwa mzuri zaidi pale utakapotaja wangapi wa hao unaowaita mafisadi wameweka maua kwa kutumia picha hiyo uliyosema ! SIPINGI YALE ULIYOSEMA KWAMBA MAFISADI WAPO, TENA MITAANI WAKITANUA, lakini ukweli lazima utasimama na nitausimamia, !! Swali simpo nimekuuliza, maana najua umetumia hiyo picha ili kuleta hii mada, na isingekuwepo hiyo picha sidhani kama hii thread pia ingekuwepo, ndio maana nikasema wataje au tutajie idadi ya "hao mafisadi waliomo kwenye hiyo picha uliyotumia kuandika hii thread".

Mafisadi ni watu wabaya sana, tena sana !
Lakini huwezi kutumia ubaya wa hao mafisadi na kuwapaka wengine rangi ya mafisadi ! Wao kukaa kimya haimaanishi kwamba nao ni mafisadi, unaweza ukapiga kelele bungeni kwa kuwakemea mafisadi ILI HALI WEWE MWENYEWE FISADI VILE VILE ! So, kimya kisikushitue mzee, kobe akiinama chini ujue....................... !!

Nia yangu sio kutetea mafisadi, ila isipokuwa mwenzetu umeona kwa kuwa wamevaa mashati ya kijani kibichi basi ukajua nao wamo, kumbe hawamo ! Maana najua hao watu maskini ya watu wameenda kwa nia njema, and from nowhere out the ordinary, mtu anawaita fisadi, ufisadi huo ni kwa kuvaa shati la kijani na kuweka maua katika kaburi au ufisadi upi huo ? na kama wa EPA, ni yupi kati ya hao alishiriki ? au ufisadi wa buzwagi ? nani kati yao alishiriki ? au Richmond ? yupi kati yao alishiriki ? I GUESS ITS NONE ! Sasa kama unataka kudeclear kwamba kuvaa shati la kijani ni ufisadi, COUNT ME IN !


Nikakujibu hivi, Utakuwaji msafi halafu hata usigune na kuuliza jamani kulikoni? mbona hawa mafisadi waliokupua mabilioni ya pesa bado wameachwa mtaani wakiendelea kutesa na pesa zao walizokupua? Kwanini wasitupwe lupango wakati uchunguzi ukiendelea? Inakuwaje mkuu wa polisi nchini anasema hawa mafisadi ambao wamevunja sheria za nchi wakitajwa nchi italipuka? Wao ni nani hasa katika serikali ya Tanzania mpaka waogopewe hata Rais akivunja sheria za nchi inabidi aswekwe lupango? Lakini njemba za ufisadi zimekaa kimyaaaaa kama kila kitu ni shwari zimeweka mbele maslahi yao wenyewe na yale ya CCM wakati nchi inaangamia?

Eboo! usitake kuniingizia maneno kinywani mwangu, eti kuvaa shati la kijani ni ufisadi!, kwani wako wana CCM mafisadi wengi hawavai hizi rangi za kijani na bado ni mafisadi wakubwa tu

Hivi hao waliokuwa wasafi ndani ya CCM hawasikii kelele za Watanzania kila kona ya nchi yetu wakasimama kidete ili kukisafisha chama hicho? 😕
Kama wapo mbona hatuwasikii wanaogopa nini kusema yale yanayopigiwa kelele na Watanzania kila kukicha. Kimya chao hao wasafi ndani ya CCM kinaashiria nini? Kumbuka kimya kingi kina MSHINDO!
 
Licha ya viongozi kadhaa wa CCM kuwahakikishia wananchi kuwa kikao cha NEC kinachoanza masaa machache yajao ni cha kawaida, hata hivyo dalili zote zinaonesha kuwa mkutano huu unaweza kuleta mshtuko wa moyo na tabasamu kwa wananchi.

Vyanzo vya kuaminika karibu na vyumba vya waheshimiwa vigogo wa CCM vimeiambia KLHN kuwa mood ya watu ni kama joto hasa baada ya wajumbe wa Kamati Kuu kupewa nyaraka kadhaa kuzipita na kutokana na uzito wa yaliyomo kwenye nyaraka hizo imeonekana Kamati Kuu itaendelea na kikao chake mapema asubuhi na hivyo kusogeza mbele kuanza kwa kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa.

Mojawapo ya vitu ambavyo yawezekana kutokea mapema kabla ya mkutano wa NEC kuanza ni baadhi ya wajumbe kuchukua maamuzi ya kuamua kujiuzulu toka Kamati Kuu/Halmashauri Kuu ya Taifa na hata kutangaza kuachia nafasi zao za kisiasa. Kama hili litatokea basi wajumbe hao hao waweza kufanya hivyo ili kuwahi (preemptying) maamuzi ya Halmashauri Kuu ya Taifa siku ya Jumapili.

Hadi hivi sasa kuna wajumbe kadhaa ambao wanaonekana kuwa na mashaka juu ya hatima yao licha ya kuhakikishiwa kuwa huu ni mkutano wa kawaida.

Vyovyote itakavyokuwa, kuna kila dalili kuwa kikao hiki hakina "chembe" ya ukawaida huku watu wa Agenda 21 wakijiandaa to make their move like on a chess board. Hata hivyo haijajulikana kama Mwenyekiti wa Chama anashikilia siri gani na kama atatumia kadi ya "Mizengwe".

Hadi hivi sasa wajumbe wengi wameshafika na wachache waliosalia wanatarajiwa kufika usikuu huu au mapema asubuhi ukiondoa wale ambao kutokana na maradhi wameshindwa kusafiri.

Kwa mujibu wa Katiba ya CCM - Ibara ya 108

Kazi za Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifa
zitakuwa zifuatazo:-
(1) Kutoa uongozi wa Siasa ya CCM kwa
jumla kwa Tanzania nzima.
Kwa hiyo
itakuwa na uwezo wa kubuni, kujadili,
kuamua na kutoa Miongozo ya Siasa ya
CCM katika mambo mbalimbali.
(2) Kueneza Itikadi na Siasa ya CCM,
kuongoza mafunzo ya Siasa ya CCM na
kukuza nadharia na Itikadi ya CCM ya
Ujamaa na Kujitegemea.
(3) Kuongoza na kusimamia ujezi wa Ujamaa
na Kujitegemea nchini.

(4) Kuandaa Ilani ya CCM ya Uchaguzi na
kutoa msukumo wa utekelezaji wa Ilani
hiyo.
(5) Kufikisha maazimio na maagizo ya CCM
katika Mikoa na kufikiria na kutoa uamuzi
juu ya mapendekezo kutoka vikao vya
CCM vya chini.
(6) Kuona kwamba shughuli za Maendeleo
na za Ulinzi na Usalama wa Taifa
zinazingatiwa.
(7) Kuandaa mikakati na mbinu za kampeni za
uchaguzi na kampeni nyinginezo za kitaifa.
(8) Kudumisha uangalizi juu ya vitendo vya
Wanachama na Viongozi wa CCM na
endapo itadhihirika kwamba tabia na
mwenendo wa Mwanachama fulani
vinamwondolea sifa za Uanachama au
Uongozi itakuwa na uwezo wa kumwachisha
au kumfukuza Uanachama au Uongozi alio
nao.
Kuhusu mtu aliyeachishwa au
kufukuzwa Uanachama, Halmashauri Kuu ya
CCM ya Taifa ndiyo itakayokuwa na uwezo
wa mwisho wa kumrudishia Uanachama
wake kwa mujibu wa Katiba, endapo
itaridhika kuwa amejirekebisha.
(9) Kuziongoza Halmashauri Kuu za CCM za
Mikoa kuhusu vitendo na njia zinazofaa
za kuimarisha CCM na za kuleta
maendeleo.
(10) Kuandaa Katiba, Kanuni na kuweka
taratibu za kuongoza shughuli mbalimbali
za CCM.
(11) Kuandaa Mkutano Mkuu wa CCM wa Taifa
(12) Kuteua Makatibu wa CCM wa Mikoa.....

(22) Kumwachisha au kumfukuza Uongozi
kiongozi yeyote ambaye uteuzi wake wa
mwisho ulifanywa na Halmashauri Kuu ya
CCM ya Taifa.


mkuu kipengele cha 13 hadi 21 mbona hujaviorodhesha?


jengine si lazima kikao hiki kiangalie vipao mbele ulivyovitaja kuna mengi ya kujadiliwa.

subiri uone au unataka useme mie niliwahi kusema?


na jua pia ikiwa kinyume watu watakucheka na kushusha
 
bana wewe naona umekuwa mgumu kuelewa, nimekwambia kupigia kelele ifisadi isikusumbue, kwani EL hakupigia kelele huo ufisadi ? Naaam, see you get it now ! Hivyo ndivyo ninavyomaanisha, kukaa kimya haimaanishi kwamba unaunga mkono ufisadi, la hasha ! si unakumbuka hata wengine walidiriki kusema "hata angekuwa mume wangu ningemtaja"......tooooo late, baada ya kujua bunge litakuwa sucked up ! Anyway, watu wanapigia sana kelele kuhusu ufisadi !

Kumbuka: Kupigia domo ufisadi haimaanishi wewe sio fisadi ! ref: EL & MBOWE)
 
yote ni sehemu ya uchambuzi wa habari Mtu wa Pwani, kwani nani kasema tuko katika mashindano? Tatizo ni nyinyi ambao mnasubiri mwanakijiji aboronge ili mumshushue lakini akiwa sawa mnapata kigugumizi. Well, nimejifunza kuishi na pande zote mbili za maisha.
 
Back
Top Bottom