unajua tajiri hii mada ni nzuri sana kuliko wengi wanavyodhani au pengine vile wewe hukutegemea ! Na hadi hivi sasa mjadala ni mzuri na nafikiri utakuwa mzuri zaidi pale utakapotaja wangapi wa hao unaowaita mafisadi wameweka maua kwa kutumia picha hiyo uliyosema ! SIPINGI YALE ULIYOSEMA KWAMBA MAFISADI WAPO, TENA MITAANI WAKITANUA, lakini ukweli lazima utasimama na nitausimamia, !! Swali simpo nimekuuliza, maana najua umetumia hiyo picha ili kuleta hii mada, na isingekuwepo hiyo picha sidhani kama hii thread pia ingekuwepo, ndio maana nikasema wataje au tutajie idadi ya "hao mafisadi waliomo kwenye hiyo picha uliyotumia kuandika hii thread".
Mafisadi ni watu wabaya sana, tena sana !
Lakini huwezi kutumia ubaya wa hao mafisadi na kuwapaka wengine rangi ya mafisadi ! Wao kukaa kimya haimaanishi kwamba nao ni mafisadi, unaweza ukapiga kelele bungeni kwa kuwakemea mafisadi ILI HALI WEWE MWENYEWE FISADI VILE VILE ! So, kimya kisikushitue mzee, kobe akiinama chini ujue....................... !!
Nia yangu sio kutetea mafisadi, ila isipokuwa mwenzetu umeona kwa kuwa wamevaa mashati ya kijani kibichi basi ukajua nao wamo, kumbe hawamo ! Maana najua hao watu maskini ya watu wameenda kwa nia njema, and from nowhere out the ordinary, mtu anawaita fisadi, ufisadi huo ni kwa kuvaa shati la kijani na kuweka maua katika kaburi au ufisadi upi huo ? na kama wa EPA, ni yupi kati ya hao alishiriki ? au ufisadi wa buzwagi ? nani kati yao alishiriki ? au Richmond ? yupi kati yao alishiriki ? I GUESS ITS NONE ! Sasa kama unataka kudeclear kwamba kuvaa shati la kijani ni ufisadi, COUNT ME IN !