Yes Chato kuna Ikulu ya ChatoHivi kumbe Chato kuna Ikulu? Nimeuliza Kuna Ikulu??
akili ya kujificha kuogopa corona?“Ugonjwa mpya unapoingia Watu huwa na uoga, UKIMWI ulipoingia kupitia Kagera ilikuwa ukikutana na Mtu mwenye UKIMWI unamkwepa, kulikuwa na Surua wakati inaingia ukiwa na Surua hakuna anayekuja kukutazama, kwahiyo niwahikikishie Watanzania ugonjwa huu utapita, tupunguze hofu”-Rais Magufuli baada ya kumuapisha Waziri Nchemba Chato
•
“Waziri Mwigulu Nchemba nimekuapisha hapa uende mkacheki vizuri Maabara inayohusika na upimaji corona kuna vitu vingi haviko sawa, kulikuwa kila siku ni positive positive, namshukuru sana Katibu Mkuu mpya” - JPM
•
“Tulifanya mambo kadhaa ili kujua ubora wa Maabara tukapeleka sampuli za wanyama, ndege na vitu vingine bila wao kujua, tukazipa majina ya Watu, tumepeleka sampuli ya mbuzi akawa positive, kondoo Negative, mapapai nayo positive, maana yake mbuzi,mapapai yote yana corona”-JPM
•
“Kama tunapeleka sampuli za wanyama zinakutwa Positive inawezekana wafanyakazi wa Maabara wanatumika na Mabeberu, kama mapapai, mbuzi yana corona WHO wanapaswa kufanya kazi kubwa ya ziada, kwa hili lililotokea lazima kuna Watu wameambiwa wana corona wakati hawana” -JPM
#MillardAyoCORONATZ
#JPMChato
Sent using Jamii Forums mobile app
Ipo Geita sio Chato
Kisheria...na kama kuna criminal elements hukoWaziri wa sheria kwenda kucheki maabara za upimaji wa covid 19 mbona sioni uhusiano hapo...!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo ndio mnayaweza kukebehi na kupingaMwigulu Nchemba ni waziri wa maabara ?
By the way leo mmeshapima mapapai mangapi?
Huwa hatuweki majina ya watu, huu ni uongo! Maabara do not deal with names they deal with sample lab numbers.Tulifanya mambo kadhaa ili kujua ubora wa Maabara tukapeleka sampuli za wanyama, ndege na vitu vingine bila wao kujua, tukazipa majina ya Watu, tumepeleka sampuli ya mbuzi akawa positive, kondoo Negative, mapapai nayo positive, maana yake mbuzi,mapapai yote yana corona”-JPM
•
Kuna mambo mengi ya kushangaza kuhusu Corona!. Kwanini watu wasizikiwe kwao?!.
Rais Magufuli amemshangaa Mkuu wa Mkoa wa Mtwara kutangaza kumzika Evod Mmanda Mtwara badala ya kwao Moshi, akauliza kwanini Evod Mmanda amezikwa Mtwara kwa lazima ambao sio kwao?!. Rais akasema hata kama ni kweli mtu amekufa kwa Corona, kwanini mwili usihifadhiwe vizuri na PPE kisha ndugu zake wapewe mwili wa ndugu yao wakazike?!.
P
Sheria ya kupima mapapai?Hayo ndio mnayaweza kukebehi na kupinga
Mwigulu kaambiwa afuatilie mambo ya kisheria,muda wa kusikiliza hotuba hamna mnakuja humu kupoozana stress tu
Basi jiandae.....Wewe unawashwa na nini kama nikionewa au nisipoonewa.. kama nimevunja katiba si uende ukafungue kesi au siku hizi mtu akifanya kosa anaulizwa kwanza kama anasema ameonewa au la.
Hii maabara inayozungumziwa na rais ni ya private au insmilikiwa na serikali hii hii anayoiongoza? Au sample huwa zinatumwa nje ya nchi?je hivyo vifo 16 amejuaje Kama vimesababishwa na corona? Je kwanini asitangaze tu kuwa Tanzania hakuna corona badala yake anaagiza miti shamba toka Madagascar,sasa hiyo miti shamba atskunywa Nani wakati maabara haiaminiki?“Ugonjwa mpya unapoingia Watu huwa na uoga, UKIMWI ulipoingia kupitia Kagera ilikuwa ukikutana na Mtu mwenye UKIMWI unamkwepa, kulikuwa na Surua wakati inaingia ukiwa na Surua hakuna anayekuja kukutazama, kwahiyo niwahikikishie Watanzania ugonjwa huu utapita, tupunguze hofu”-Rais Magufuli baada ya kumuapisha Waziri Nchemba Chato
• •
“Waziri Mwigulu Nchemba nimekuapisha hapa uende mkacheki vizuri Maabara inayohusika na upimaji corona kuna vitu vingi haviko sawa, kulikuwa kila siku ni positive positive, namshukuru sana Katibu Mkuu mpya” - JPM
• •
“Tulifanya mambo kadhaa ili kujua ubora wa Maabara tukapeleka sampuli za wanyama, ndege na vitu vingine bila wao kujua, tukazipa majina ya Watu, tumepeleka sampuli ya mbuzi akawa positive, kondoo Negative, mapapai nayo positive, maana yake mbuzi,mapapai yote yana corona”-JPM
•
“Kama tunapeleka sampuli za wanyama zinakutwa Positive inawezekana wafanyakazi wa Maabara wanatumika na Mabeberu, kama mapapai, mbuzi yana corona WHO wanapaswa kufanya kazi kubwa ya ziada, kwa hili lililotokea lazima kuna Watu wameambiwa wana corona wakati hawana”
Sent using Jamii Forums mobile app