Kutoka Chato: Rais Magufuli amwapisha Mwigulu Nchemba kuwa Waziri wa Katiba na Sheria, Kwanini Mbuzi, papai, fenesi na Kware wawe na Corona?

Kweli kabisa ni makini ila umakini zaidi ungehakikisha hizo hujuma hazitokei in the first place..., pia tuhakikishe mashine sasa hivi haisemi negative, negative, negative wakati ni positive
 
akili ya kujificha kuogopa corona?
 
Hammaz,
Yaani mtu anadanganya hata kwenye Mambo dhahiri? Kwamba yeye Ni mtu wa kulaumu kila kitu kinachofanywa na wasaidizi wake, hivi kweli huyo ni rais wa nchi hii kweli? Mbona Kama hajui kinachoendelea?
 
Rais ni mjanja sana, kwenye maziko ya jaji kulikuwa na utitiri wa watu na yeye wala hakuhudhuria kwenye huo msongamano ila kwenye kuapishwa kwa Mwigulu ambapo yeye yupo kuna watu wawili tu![emoji2211][emoji2211][emoji2211]
 
Huwa hatuweki majina ya watu, huu ni uongo! Maabara do not deal with names they deal with sample lab numbers.
 

Hahahahaha, dah.
 
DURACEF, It's well noted by everyone herein,so this imply that nothing pertaining his Excellency you will concern about, I thank you for your decision,well! But unfeigned, psychologists advice!!

Don't take decision while you're in a happier mood eg you're deadly alcoholized ,

Also avoid taking actions or any while you're in baddest mood eg,someone hurt you,

It's my hope that none of the two above you're!!

This is an alarm to your decisions, I eulogize!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe unawashwa na nini kama nikionewa au nisipoonewa.. kama nimevunja katiba si uende ukafungue kesi au siku hizi mtu akifanya kosa anaulizwa kwanza kama anasema ameonewa au la.
Basi jiandae.....
 
Hana lolote anajaribu kuwatupia lawama watu wengine, kiufupi jamaa amefeli sana kwenye nafasi tuliyompa. Watu anaopambananao (wanaomtia hasira na ghadhabu muda wote) ambao sijui ni akina nani?, madhara yake yanawapata watanzania wote kiujumla.
 
Hii maabara inayozungumziwa na rais ni ya private au insmilikiwa na serikali hii hii anayoiongoza? Au sample huwa zinatumwa nje ya nchi?je hivyo vifo 16 amejuaje Kama vimesababishwa na corona? Je kwanini asitangaze tu kuwa Tanzania hakuna corona badala yake anaagiza miti shamba toka Madagascar,sasa hiyo miti shamba atskunywa Nani wakati maabara haiaminiki?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…